Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHAKAMA YAAMURU UPANDE WA MASHTAKA KUKAMILISHA UPESI UPELELEZI KESI YA UHUJUMU UCHUMI YA TITO MAGOTI NA MWENZAKE

Na Karama Kenyunko- Michuzi Tv.

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeuamuru upande wa mashtaka kukamilisha upelelezi haraka wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti (26) na mwenzake, ili shauri hilo liweze kuendelea katika hatua nyingine.

Katika kesi hiyo, Magoti, anashtakiwa pamoja na mtaalamu wa masuala ya Tehama, Theodory Gyan (36), ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya kutakatisha fedha ambazo ni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAHOJI UPELELEZI WA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI OFISA ELIMU KWA UMMA LHRC

Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya jamii.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka katika  kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Tito Magoti (26) na mwenzake kueleza hali ya upelelezi umefikia wapi kama unakwenda mbele au la.
Tito anashtakiwa na mwenzake mbaye ni mtaalamu wa masuala ya Tehama Theodory Gyan (36) ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha wa Sh.milioni 17,...

 

5 years ago

Michuzi

WALIOKUWA VIGOGO KAMPUNI YA ACACIA WANAOKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI WAANDIKA BARUA KULALAMIKIA UPELELEZI KUCHUKUA MUDA MREFU

 Na Karama Kenyunko Michuzi TV

ALIYEKUWA Makamu wa Rais wa Kampuni ya ACASIA Deo Mwanyika na wenzake wanaokabiliwa na mashtaka ya tuhuma za uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wameandikia barua katika Mahakama ya hiyo wakilalamikia upelelezi katika kesi yao kuchukua muda mrefu.

Washtakiwa hao wamedai hayo leo Mei 8, mwaka 2020 mbele ya Hakimu mkazi Mfawidhi, Godfrey Isaya, kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa na upande wa mashtaka ulioongozwa na Wakili wa Serikali Ester...

 

5 years ago

Michuzi

WAFIKISHWA KORTINI KWA KUKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI YENYE MASHTAKA SABA ,LIMO LA KUFANYA UDANGANYIFU KATIKA SIMU ZA KIMATAIFA

Na Karama Kenyunko, Michuzi TV.

RAIA wa Armenia Vardan Mkhitaryan mkazi wa Mbezi jijini Dar es Salaam na Rosemary Mwamezi mkazi wa Makumbusho, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, yenye mashtaka saba yakiwemo ya kufanya udanganyifu kwenye mawasiliano ya simu za kimataifa na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya sh.milioni 44.5.

Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo leo Juni 8, mwaka 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi...

 

10 years ago

Mwananchi

Ushahidi upande wa mashtaka kesi ya Ponda wafungwa

Upande wa mashtaka katika kesi ya jinai inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, umefunga ushahidi wao baada ya kupeleka mashahidi tisa.Shahidi wa mwisho wa upande wa mashtaka askari E.9295 D/CPL, Juma Koroto kutoka Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai(RCO), Morogoro ambaye alikuwa mpelelezi wa kesi hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

UPANDE WA MASHTAKA KATIKA KESI YA LISSU WAOMBA SIKU 14

Mdhamini wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu mwenye suti ya Kaki akitoka mahakama baada shauri lao maombi yao kuomba mahakam itoe amri ya kumkamata kuahirishwa. Kushoto ni wakili wake Nyaronyo Kicheele
UPANDE wa mashtaka katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Singida Mjini, Tundu Lisu umeiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kuwapatia muda wa wiki mbili (Siku 14 ) kwa ajili ya  kupitia na kuchambua maombi ya wadhamini wa mshtakiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Raia wa China aunganishwa kesi ya uhujumu uchumi

Raia wa China, Li Ling Ling ameunganishwa katika kesi ya uhujumu uchumi kwa  kuchora michoro ya kihalifu ya kusafirisha nyara za serikali zenye thamani ya Sh 267.4 milioni na matumizi mabaya ya madaraka inayowakabili maofisa usalama wanne wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania (TAA).

 

5 years ago

Michuzi

MKAZI WA BUNJU KIZIMBANI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI

Na Karama Kenyunko globu ya jamii 
MFANYABIASHARA Msiniege Mwakatumbula (56), Mkazi wa Bunju jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka mawili likiwemo la kukutwa akifanya biashara ya madini isivyo halali  mali Serikali na utakatishaji wa fedha.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa  serikali Mwandamizi Wankyo Simon imedai kuwa, Machi Mosi, 2020 huko katika eneo la Bunju B lililopo...

 

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI



Na Karama Kenyunko, Michuzi TV

MFANYABIASHARA, Edgael Lema (43) mkazi wa Goba jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka nane likiwemo la kukutwa na magogo yenye thamani ya zaidi ya Sh. Milioni 383.

Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Vicky Mwaikambo na Wakili wa Serikali Mwamdamizi Maternus Marandu imedai mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani