MAHAKAMA YAAMURU UPANDE WA MASHTAKA KUKAMILISHA UPESI UPELELEZI KESI YA UHUJUMU UCHUMI YA TITO MAGOTI NA MWENZAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-KTywAcDfpgo/XpbwFcYf9wI/AAAAAAALnB0/kPnmwm2T4Lww5oOt_FvedE3znlz0iR5fQCLcBGAsYHQ/s72-c/TITO%2BMAGOTI.jpg)
Na Karama Kenyunko- Michuzi Tv.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeuamuru upande wa mashtaka kukamilisha upelelezi haraka wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti (26) na mwenzake, ili shauri hilo liweze kuendelea katika hatua nyingine.
Katika kesi hiyo, Magoti, anashtakiwa pamoja na mtaalamu wa masuala ya Tehama, Theodory Gyan (36), ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya kutakatisha fedha ambazo ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h0gO7sjtK70/Xk1H9HusgaI/AAAAAAALeYY/tMHmjKz2xU0hjZN4r-s_ncQXOtGTq0DGwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA YAHOJI UPELELEZI WA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI OFISA ELIMU KWA UMMA LHRC
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Tito Magoti (26) na mwenzake kueleza hali ya upelelezi umefikia wapi kama unakwenda mbele au la.
Tito anashtakiwa na mwenzake mbaye ni mtaalamu wa masuala ya Tehama Theodory Gyan (36) ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha wa Sh.milioni 17,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KN_5YQb4C-o/XvX1bHboxBI/AAAAAAALvkg/tTwNozKEDbwD6c3n_651oLxuOUEcb8QVACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QH8eYzciVvY/XrVg2eKjwjI/AAAAAAALpfI/DvB6eOuaCLEtURh2sVhAVO9pkOIr4Ik_wCLcBGAsYHQ/s72-c/sheria.jpg)
WALIOKUWA VIGOGO KAMPUNI YA ACACIA WANAOKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI WAANDIKA BARUA KULALAMIKIA UPELELEZI KUCHUKUA MUDA MREFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-QH8eYzciVvY/XrVg2eKjwjI/AAAAAAALpfI/DvB6eOuaCLEtURh2sVhAVO9pkOIr4Ik_wCLcBGAsYHQ/s400/sheria.jpg)
ALIYEKUWA Makamu wa Rais wa Kampuni ya ACASIA Deo Mwanyika na wenzake wanaokabiliwa na mashtaka ya tuhuma za uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wameandikia barua katika Mahakama ya hiyo wakilalamikia upelelezi katika kesi yao kuchukua muda mrefu.
Washtakiwa hao wamedai hayo leo Mei 8, mwaka 2020 mbele ya Hakimu mkazi Mfawidhi, Godfrey Isaya, kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa na upande wa mashtaka ulioongozwa na Wakili wa Serikali Ester...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SZ5fwCDHE-E/Xt5FPpRFvLI/AAAAAAALtE0/zqDQVzGvIUYeZjH91heb4mou_5cpDsrgwCLcBGAsYHQ/s72-c/1223.jpg)
WAFIKISHWA KORTINI KWA KUKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI YENYE MASHTAKA SABA ,LIMO LA KUFANYA UDANGANYIFU KATIKA SIMU ZA KIMATAIFA
RAIA wa Armenia Vardan Mkhitaryan mkazi wa Mbezi jijini Dar es Salaam na Rosemary Mwamezi mkazi wa Makumbusho, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, yenye mashtaka saba yakiwemo ya kufanya udanganyifu kwenye mawasiliano ya simu za kimataifa na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya sh.milioni 44.5.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo leo Juni 8, mwaka 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi...
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ushahidi upande wa mashtaka kesi ya Ponda wafungwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kiYewCQY-Sg/Xk_iYp72qHI/AAAAAAALer8/9LUPiSFGOvg6usMIV00cPuWacfcyPdECwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-21%2Bat%2B4.54.22%2BPM.jpeg)
UPANDE WA MASHTAKA KATIKA KESI YA LISSU WAOMBA SIKU 14
![](https://1.bp.blogspot.com/-kiYewCQY-Sg/Xk_iYp72qHI/AAAAAAALer8/9LUPiSFGOvg6usMIV00cPuWacfcyPdECwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-21%2Bat%2B4.54.22%2BPM.jpeg)
UPANDE wa mashtaka katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Singida Mjini, Tundu Lisu umeiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kuwapatia muda wa wiki mbili (Siku 14 ) kwa ajili ya kupitia na kuchambua maombi ya wadhamini wa mshtakiwa...
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Raia wa China aunganishwa kesi ya uhujumu uchumi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_P_ye_pqr0k/XpmYTegq-_I/AAAAAAALnOk/ZcQs47jPrfg_Kn1NCamocRMF8lBKOOPOgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B2.15.32%2BPM.jpeg)
MKAZI WA BUNJU KIZIMBANI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-_P_ye_pqr0k/XpmYTegq-_I/AAAAAAALnOk/ZcQs47jPrfg_Kn1NCamocRMF8lBKOOPOgCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B2.15.32%2BPM.jpeg)
MFANYABIASHARA Msiniege Mwakatumbula (56), Mkazi wa Bunju jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka mawili likiwemo la kukutwa akifanya biashara ya madini isivyo halali mali Serikali na utakatishaji wa fedha.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Mwandamizi Wankyo Simon imedai kuwa, Machi Mosi, 2020 huko katika eneo la Bunju B lililopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-I6ZObg_5YAw/XrqTXob9r9I/AAAAAAALp7Y/hfcfVEY5WIocLGZab-3n8bPe-rtQH_F8QCLcBGAsYHQ/s72-c/fd967115-ecc6-41a7-90ea-6bb56b6dbd9d.jpg)
MFANYABIASHARA AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-I6ZObg_5YAw/XrqTXob9r9I/AAAAAAALp7Y/hfcfVEY5WIocLGZab-3n8bPe-rtQH_F8QCLcBGAsYHQ/s400/fd967115-ecc6-41a7-90ea-6bb56b6dbd9d.jpg)
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV
MFANYABIASHARA, Edgael Lema (43) mkazi wa Goba jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka nane likiwemo la kukutwa na magogo yenye thamani ya zaidi ya Sh. Milioni 383.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Vicky Mwaikambo na Wakili wa Serikali Mwamdamizi Maternus Marandu imedai mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu,...