WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAENDELEA KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA MAWASILIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-L18JCeoEIno/VeWCg5qi2sI/AAAAAAAH1hA/WJ5UDUGsQNE/s72-c/001.VODASHOP.jpg)
Ofisa Mkuu wa Idara ya Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Tanzania, Keith Tukei (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo katika maduka ya Shoppers plaza Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.Wengine katika picha kushoto ni mteja wa kwanza kufika kupata huduma katika duka hilo Bw.Argylle Tsvakai na Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni hiyo, Rosalynn Mworia.
Mteja wa kwanza kufika katika duka jipya la Vodacom Tanzania Bw.Argylle Tsvakai...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZFVQGyC-7Kht1uFNsz93xamcEC0o4MxHaMYdhdXUTYuv4mFat2isLgzUgrqR9nFcUfULnuif3osoQYdPtTkrpyTADqCTC97C/001.VODASHOP.jpg?width=650)
WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM KUENDELEA KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA MAWASILIANO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b3_6SbxawIc/Vkspvn-ZwtI/AAAAAAAIGbM/vkorSoLEObM/s72-c/Sharif%2B01.jpg)
Serikali Kuboresha Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam
Serikali inatarajia kuzalisha maji lita milioni 270 kwa siku baada ya kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa Chanzo cha Maji cha Ruvu Chini na upanuzi wa mtambo wa kusafishia maji.
Mradi huo unaotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Kimarekani la Millenium Challenge Co-operation umegharimu kiasi cha shilingi bilioni 66.24 na unatarajiwa kukamilika wakati wowote baada ya kukamilika kwa kazi ya kulaza bomba linalosafirisha maji toka Ruvu chini kuja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjI*82EBJGBPZBUn*DCTdx1PD*qAkhlhuaJp8ibKU*VXmVhXyrRp5fM9av3yh6v*AYt1PrzCy6RIhcgznSPuaMQp/006.HYATT.jpg)
WATANZANIA WAENDELEA KUNUFAIKA NA GHARAMA NAFUU ZA MAWASILIANO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ta_EnrsS8fA/UvccUMFKhvI/AAAAAAAFL4U/UIfwNLOGwpY/s72-c/unnamed+(28).jpg)
WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WATIMKA NA BODABODA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ta_EnrsS8fA/UvccUMFKhvI/AAAAAAAFL4U/UIfwNLOGwpY/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zjSusBh9Ge8/UvccUU1D1tI/AAAAAAAFL4c/zptspmpe43s/s1600/unnamed+(29).jpg)
11 years ago
GPLWAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WATIMKA NA BODABODA
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Serikali khuduma ya maji kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam.
Na. Georgina Misama – Maelezo
[DAR ES SALAAM] Serikali inatarajia kuzalisha maji lita milioni 270 kwa siku baada...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lxXkLGJZ-2c/XsAnRnt3MMI/AAAAAAALqfI/UAyQtzsIWZ8e4jY580hdEsZvl3aFDRrtwCLcBGAsYHQ/s72-c/5bb50332-4927-4ead-9a73-381cbdc824d7.jpg)
KLABU YA SIMBA,MO DEWJI WAGAWA BARAKOA BURE KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM KUJIKINGA NA CORONA
Klabu ya Simba kwa kushirikiana na Taasisi ya Mo Dewji wametoa msaada wa Barakoa kwa wananchi wa maeneo mbalimbali ndani ya Jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.
Akizungumza na waandish wa habari wakati wa tukio hilo, Msaidizi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu ya Simba Rispa Hatib amesema tukio hilo ni la siku tatu kuanzia leo Jumamosi na litahitimishwa siku ya Jumatatu.
Amesema, janga hili ni la Dunia na nchi nzima kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO yawaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar na mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s1600/Untitled1.png)
Kukosekana kwa huduma hii kulitokana na kazi ya mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (cross-connection) katika mtambo wa Ruvu Chini eneo la Mpiji, Bagamoyo na eneo la Chuo Kikuu Ardhi...
11 years ago
GPLWAKAZI WA KINONDONI WASOGEZEWA ZAIDI HUDUMA ZA MAWASILIANO