Serikali inafaidika na migogoro ya walimu?
Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimetangaza mgogoro na Serikali kwa kushindwa kufanyia kazi madai mbalimbali ya walimu yanayofikia Sh61 bilioni, yakiwamo malimbikizo ya mishahara na likizo za walimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Feb
Halmashauri Kilwa yasema inafaidika na gesi
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilwa imesema kwa kiasi kikubwa inafaidika vilivyo na rasilimali zilimo ndani ya wilaya hiyo, ikiwemo gesi asilia. Kutokana na faida hiyo, halmashauri hiyo imeandaa miradi mikubwa mitatu itakayowashirikisha wadau, na inatarajiwa kuanzia mwezi Machi mwaka huu mpaka Juni itakuwa imeshaanza.
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Serikali yashambuliwa kukithiri migogoro ya ardhi
MBUNGE wa Viti Maalumu, Moza Abeid (CUF), ameishambulia serikali na kueleza kuwa migogoro mingi ya ardhi ambayo inaonekana kupamba moto nchini inachangiwa kwa kiasi kikubwa na serikali. Moza alisema kuwa...
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Serikali imelala migogoro ya wakulima na wafugaji?
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Serikali imalize migogoro yake na wafanyabiashara
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Serikali yakiri viongozi kusababisha migogoro
SERIKALI imekiri kuwapo kwa baadhi ya viongozi wa serikali ambao wamekuwa ni sehemu ya migogoro katika Wilaya ya Meatu. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahamoud Mgimwa, alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Habarileo08 Mar
Kinana aibana serikali vifo migogoro ya ardhi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ametaka viongozi wote wa serikali waliozembea na kusababisha kuendelea kutokea kwa mauji baina ya wakulima na wafugaji wilayani Kiteto kuwajibika haraka.
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Serikali yaandaa mkakati kukomesha migogoro ya ardhi
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Ukuzaji wa Viumbe Majini, Kajitanus Osewe, Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini, Dk. Abdu Hyghaimo na Ofisa Mawasiliano wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Judith Mhina.
Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini, Dk. Abdu Hyghaimo (wapili kushoto) akitoa ufafanuzi wa jambo.
Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.
SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, ipo mbioni kuandaa waraka wa matumizi endelevu ya ardhi utakaowezesha kupata suluhu...
9 years ago
Habarileo24 Dec
‘Serikali ijizatiti kukomesha migogoro wakulima, wafugaji’
MBUNGE wa Viti Maalumu, Gimbi Masaba (Chadema) ameiomba serikali kujizatiti kukomesha migogoro ya mara kwa mara kati ya wakulima na wafugaji ambayo imekuwa ikigharimu maisha ya watu na mifugo.
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Kwa nini migogoro haiishi kati ya Machinga, Serikali?