Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali inafaidika na migogoro ya walimu?

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimetangaza mgogoro na Serikali kwa kushindwa kufanyia kazi madai mbalimbali ya walimu yanayofikia Sh61 bilioni, yakiwamo malimbikizo ya mishahara na likizo za walimu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Halmashauri Kilwa yasema inafaidika na gesi

HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilwa imesema kwa kiasi kikubwa inafaidika vilivyo na rasilimali zilimo ndani ya wilaya hiyo, ikiwemo gesi asilia. Kutokana na faida hiyo, halmashauri hiyo imeandaa miradi mikubwa mitatu itakayowashirikisha wadau, na inatarajiwa kuanzia mwezi Machi mwaka huu mpaka Juni itakuwa imeshaanza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yashambuliwa kukithiri migogoro ya ardhi

MBUNGE wa Viti Maalumu, Moza Abeid (CUF), ameishambulia serikali na kueleza kuwa migogoro mingi ya ardhi ambayo inaonekana kupamba moto nchini inachangiwa kwa kiasi kikubwa na serikali. Moza alisema kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali imelala migogoro ya wakulima na wafugaji?

Mwaka 1994, niliulizwa swali hili nilipofanyiwa usaili wa kazi katika ofisi za Shirika la Chakula Duniani (FAO), jijini Rome nchini Italia. Jibu nililotoa halikukubalika.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali imalize migogoro yake na wafanyabiashara

Mgomo uliofanywa na wafanyabiashara wa maduka katika baadhi ya mikoa nchini kwa siku mbili mfululizo wiki hii umedhihirisha kwamba mgogoro wa siku nyingi kati ya wafanyabiashara hao na Serikali kuhusu matumizi ya mashine za kutolea risiti za elektroniki (EFD), bado haujapata suluhisho la kudumu. 

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri viongozi kusababisha migogoro

SERIKALI imekiri kuwapo kwa baadhi ya viongozi wa serikali ambao wamekuwa ni sehemu ya migogoro katika Wilaya ya Meatu. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahamoud Mgimwa, alitoa kauli hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Kinana aibana serikali vifo migogoro ya ardhi

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ametaka viongozi wote wa serikali waliozembea na kusababisha kuendelea kutokea kwa mauji baina ya wakulima na wafugaji wilayani Kiteto kuwajibika haraka.

 

9 years ago

Global Publishers

Serikali yaandaa mkakati kukomesha migogoro ya ardhi

1Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Ukuzaji wa Viumbe Majini, Kajitanus Osewe, Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini, Dk. Abdu Hyghaimo na Ofisa Mawasiliano wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Judith Mhina.

2.Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo hapa nchini, Dk.Abdu Hyghaimo (wapili kushoto) akitoa ufafanuzi wa jambo.Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini, Dk. Abdu Hyghaimo (wapili kushoto) akitoa ufafanuzi wa jambo.

3.Wanahabari wakifuatilia mkutano huo. Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.

SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, ipo mbioni kuandaa waraka wa matumizi endelevu ya ardhi utakaowezesha kupata suluhu...

 

9 years ago

Habarileo

‘Serikali ijizatiti kukomesha migogoro wakulima, wafugaji’

MBUNGE wa Viti Maalumu, Gimbi Masaba (Chadema) ameiomba serikali kujizatiti kukomesha migogoro ya mara kwa mara kati ya wakulima na wafugaji ambayo imekuwa ikigharimu maisha ya watu na mifugo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini migogoro haiishi kati ya Machinga, Serikali?

Jiji la Mwanza linakadiriwa kuwa na wafanyabiashara kati ya 2,800 hadi 3,000 wanaojishughulisha na biashara mbalimbali huku likitajwa kuwa jiji la pili kuchangia pato la Taifa .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani