‘Serikali ijizatiti kukomesha migogoro wakulima, wafugaji’
MBUNGE wa Viti Maalumu, Gimbi Masaba (Chadema) ameiomba serikali kujizatiti kukomesha migogoro ya mara kwa mara kati ya wakulima na wafugaji ambayo imekuwa ikigharimu maisha ya watu na mifugo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Serikali yaandaa mkakati kukomesha migogoro ya ardhi
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Ukuzaji wa Viumbe Majini, Kajitanus Osewe, Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini, Dk. Abdu Hyghaimo na Ofisa Mawasiliano wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Judith Mhina.
Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini, Dk. Abdu Hyghaimo (wapili kushoto) akitoa ufafanuzi wa jambo.
Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.
SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, ipo mbioni kuandaa waraka wa matumizi endelevu ya ardhi utakaowezesha kupata suluhu...
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Serikali imelala migogoro ya wakulima na wafugaji?
9 years ago
StarTV29 Nov
Mgogoro Wa Ardhi Wafugaji na wakulima wavutana Mkoani Morogoro
Hali ya taharuki imezuka katika kijiji cha maharaka kata ya doma wilaya ya Mvomero mkoani morogoro baada ya wananchi wa humo kukusanyika katika ofisi ya kijiji kushinikiza kupatiwa ufumbuzi juu ya wafugaji walio ingia kwenye mashamba yao nakuwatia hasara kubwa kwa kuharibu miundombinu ya umwagiliaji iliyopo kwenye mashamba hayo
Wakizungumza wakiwa katika ofisi ya kijijini hicho, wananchi hao wamesema wameshangaa kuona wafugaji kijijini hapo wakidai wanatafuta mifugo yao, ambapo wananchi...
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Kilindi yaagizwa kukomesha migogoro
Na Amina Omari, Kilindi
SERIKALI mkoani Tanga imeliagiza Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na viongozi wa ngazi ya wilaya, kuhakikisha wanakomesha migogoro baina ya wakulima na wafugaji ambayo imechangia kuwepo kwa vitendo vya uvunjifu wa amani.
Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Magalula Said Magalua wakati wa hafla ya kumsimika kiongozi mkuu wa wafugaji, Lweigwanani iliyofanyika katika Kijiji cha Elerai kilichopo Kata ya Kibrashi wilayani humo.
Alisema endapo viongozi hao...
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
![IMG_0113](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0113.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Sud2RkOOnvQ/VgwhSXD4JqI/AAAAAAAC_-g/NUR2--FpkDo/s72-c/_MG_1558.jpg)
MAGUFULI AAHIDI KUKOMESHA MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sud2RkOOnvQ/VgwhSXD4JqI/AAAAAAAC_-g/NUR2--FpkDo/s640/_MG_1558.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i-Bki45F4wo/VgwhR0mPkmI/AAAAAAAC_-Y/lLaB-t1-IZU/s640/_MG_1523.jpg)
Akitoa hotuba yake katika moja ya mikutano yake alioufanya katika mji...
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
MAGUFULI AAHIDI: Ni suala la kukomesha mapigano ya wakulima na wafugaji nchini!
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sud2RkOOnvQ/VgwhSXD4JqI/AAAAAAAC_-g/NUR2--FpkDo/s640/_MG_1558.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i-Bki45F4wo/VgwhR0mPkmI/AAAAAAAC_-Y/lLaB-t1-IZU/s640/_MG_1523.jpg)
9 years ago
Raia Mwema06 Jan
Kizungumkuti migogoro ya wakulima na wafugaji
KUTOKUBALIANA kuhusu chanzo cha migogoro ya wakulima na wafugaji miongoni mwa wadau kumeelezwa ku
Mwandishi Wetu
10 years ago
Habarileo22 May
Migogoro ya wakulima, wafugaji yatawala Bunge
SAKATA la migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji nchini, limetawala mjadala wa hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2015/16 ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, iliyowasilishwa bungeni juzi.