Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LAAC yasema wanasheria wa halmashauri ni dhaifu

WANASHERIA wa baadhi ya halmashauri za wilaya nchini wamedaiwa kuwa chanzo cha kuzisababishia halmashauri zao kupata hati chafu au zenye mashaka kutokana na mwenendo wao wa uandaaji wa kesi na matumizi yasiyo ya lazima katika kesi hizo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA (LAAC) YANYOOSHEA KIDOLE HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU

Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Bunge Hesabu za serikali za Mitaa(LAAC) Azza Hamad akizungumza wakati wa kikao na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu wakati kamati hiyo ilipotembelea halmashauri kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu Michael Hadu akijibu hoja mbele ya kamati hiyo.
Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Hesabu za serikali za mitaa (LAAC) wakiwa katika eneo ilipojengwa shule ya sekondari Singland kukagua ujenzi wa vyumba vya...

 

11 years ago

Habarileo

Halmashauri Kilwa yasema inafaidika na gesi

HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilwa imesema kwa kiasi kikubwa inafaidika vilivyo na rasilimali zilimo ndani ya wilaya hiyo, ikiwemo gesi asilia. Kutokana na faida hiyo, halmashauri hiyo imeandaa miradi mikubwa mitatu itakayowashirikisha wadau, na inatarajiwa kuanzia mwezi Machi mwaka huu mpaka Juni itakuwa imeshaanza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: JK ni dhaifu

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema Rais Jakaya Kikwete ni dhaifu ndiyo maana anashindwa kufanya mabadiliko ya mawaziri wabovu ambao sasa wanaitwa ‘mizigo’....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinana: Serikali ni dhaifu

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinana, amekiri kuwepo kwa udhaifu mkubwa katika utendaji ndani ya serikali. Kinana amesema serikali imekuwa ikisuasua kutatua matatizo yanayowakabili wananchi, ikiwemo migogoro...

 

10 years ago

IPPmedia

LAAC Chairman Rajab Mbarouk


IPPmedia
LAAC Chairman Rajab Mbarouk
IPPmedia
Development projects have failed to take off this financial year due to poor collection of revenues and government's overspending on unplanned undertakings coupled with freezing of funds by donors. With only two months remaining before the 2015/16 fiscal ...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

LAAC Snubs Kinondoni Projects


LAAC Snubs Kinondoni Projects
AllAfrica.com
THE Local Authorities' Accounts Committee (LAAC) has refused to conduct inspections on development projects undertaken by the Kinondoni Municipality in Dar es Salaam over financial irregularities. This is after it came to light that 11 out of 15 projects ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

LAAC kuwashughulikia watendaji Longido

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) inakusudia kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria baadhi ya watendaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha kutokana na kinachoelezwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kinachofanyika ni sawa na kuidharau LAAC

Agosti 19, mwaka huu, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), ilitangaza kugundua mtandao wa ufisadi unaoshirikisha wakurugenzi 70 wa halmashauri mbalimbali hapa nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaodai serikali ya Tanganyika ni dhaifu

Livingstone LusindeMJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Livingstone Lusinde amesema mtu yeyote anayedai serikali ya Tanganyika ni dhaifu na mwoga na hilo limedhihirishwa kwa wajumbe wa Ukawa kutoka nje ya Bunge na kwamba nchi hii haidaiwi na watu wanaokimbia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani