Kinana: Serikali ni dhaifu
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinana, amekiri kuwepo kwa udhaifu mkubwa katika utendaji ndani ya serikali. Kinana amesema serikali imekuwa ikisuasua kutatua matatizo yanayowakabili wananchi, ikiwemo migogoro...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo19 Apr
Wanaodai serikali ya Tanganyika ni dhaifu
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Livingstone Lusinde amesema mtu yeyote anayedai serikali ya Tanganyika ni dhaifu na mwoga na hilo limedhihirishwa kwa wajumbe wa Ukawa kutoka nje ya Bunge na kwamba nchi hii haidaiwi na watu wanaokimbia.
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Bunge dhaifu linaweza kuidhibiti serikali yenye nguvu?
KUNA mambo mawili yamenifanya nitafakari tena kuhusu uhalisia wa kazi za Bunge. Na kwa uhalisia nilikuwa naangalia kazi yake kuidhibiti serikali. Hii ni kazi kubwa ya sana na muhimu kwa Bunge. Lakini inaelekea...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Dk. Slaa: JK ni dhaifu
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema Rais Jakaya Kikwete ni dhaifu ndiyo maana anashindwa kufanya mabadiliko ya mawaziri wabovu ambao sasa wanaitwa ‘mizigo’....
10 years ago
Mwananchi29 Jun
Kinana aitolea uvivu Serikali ya CCM
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Kinana: Magufuli kusafisha CCM na Serikali
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-vZ9J6lauW8k/U0_wAHYewUI/AAAAAAAABCQ/EnkuWyBGT_I/s72-c/Kinana%2B7.jpg)
Kinana: Serikali imejizatiti kuongeza ajira
NA SHAABAN MDOE, LONGIDO
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amesema serikali ya Rais Jakaya Kikwete imejipanga kuhakikisha inaongeza ajira na kudhibiti watumishi. Amesema kurejeshwa kwa mamlaka za ajira ndogo ndogo katika ngazi za halmashauri kutasaidia kuongeza ajira kwa jamii.
![](http://4.bp.blogspot.com/-vZ9J6lauW8k/U0_wAHYewUI/AAAAAAAABCQ/EnkuWyBGT_I/s1600/Kinana%2B7.jpg)
11 years ago
Habarileo04 Mar
Kinana- Wana CCM isimamieni serikali
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka wana-CCM kutokuwa na woga katika kuisimamia Serikali katika ngazi zote.
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
JK ana nia njema lakini dhaifu?
NIMESIKIA mara kadhaa baadhi ya watu wa karibu na Rais Jakaya Kikwete wakisema kwamba; “Hana uwezo wa kusimamia mchakato wa Katiba Mpya.” Miongoni mwao ni Wana CCM ambao hawataki Katiba...
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Dk Slaa: Tanzania ni dhaifu kupambana na mihadarati