Kinana: Serikali imejizatiti kuongeza ajira
![](http://4.bp.blogspot.com/-vZ9J6lauW8k/U0_wAHYewUI/AAAAAAAABCQ/EnkuWyBGT_I/s72-c/Kinana%2B7.jpg)
NA SHAABAN MDOE, LONGIDO
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amesema serikali ya Rais Jakaya Kikwete imejipanga kuhakikisha inaongeza ajira na kudhibiti watumishi. Amesema kurejeshwa kwa mamlaka za ajira ndogo ndogo katika ngazi za halmashauri kutasaidia kuongeza ajira kwa jamii. Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu CCMAliyasema hayo juzi wakati akizungumza kwenye semina ya siku mbili kuhusu ardhi kwa viongozi wa mila wa Kimasai katika Mji wa Namanga wilayani Longido mkoani Arusha. Kinana...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Mkakati wa Sido wa ODOP kuongeza ajira
SIKU hizi kumezuka tabia ya vijana kujikusanya vikundi na kukaa bure wakipiga porojo kutwa nzima bila kufanya shughuli yoyote ya kuzalisha mali kwa kukosa ajira. Hali hii imezidi kuwachochea vijana...
9 years ago
Habarileo25 Oct
Mabaharia wapata njia ya kuongeza ajira
JUMUIYA ya Mahabaria nchini imesema muda wowote kuanzia sasa itaanza kupeleka mabaharia 200 katika vyombo vya uchakataji, utafutaji, uchimbaji na usambazaji wa gesi baharini ikiwa ni hatua ya kupunguza tatizo la ajira nchini.
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Rais ajaye anavyoweza kuongeza ajira
10 years ago
Habarileo04 Sep
Kituo cha biashara kusaidia kuongeza ajira
KITUO cha Kimataifa cha Biashara (ITC) kimesema kipo tayari kutumia rasilimali zilizopo Zanzibar kuisaidia serikali kutekeleza mkakati wake wa kuongeza ajira kwa vijana na wanawake.
10 years ago
Habarileo13 Sep
JK:Tunaandaa mazingira bora ya biashara kuongeza ajira
RAIS Jakaya Kikwete amesema nguvu kazi nchini kufikia mwaka 2030, itaongezeka mara mbili ya sasa wakati idadi ya watu itakapofikia milioni 50.
11 years ago
Mwananchi29 May
Tuufanyie kazi mpango wa EPZ ili kuongeza ajira
9 years ago
Habarileo31 Aug
Lowassa kuongeza ajira kupitia JKT, vyuo vya ufundi
MGOMBEA Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama Cha Demokrasia (CHADEMA) Edward Lowassa amesema kuwa endapo atafanikiwa kuwa Rais atahakikisha vituo vya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) vinakuwa vyuo vya ufundi Stadi.
11 years ago
Dewji Blog29 Jul
Shirika la nyumba NHC laendelea kuongeza ajira kwa vijana
Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa Bi Rachel Kasanda akikabidhi mashine za kufyatulia matofali kwa Hassan Soud Katibu wa kikundi cha Changamoto kwa niaba ya vikundi vingine vya wilaya ya Ilala ambazo zimetolewa na shirika la Nyumba nchini NHC jana wakati wa mpokezi ya Mwenge wa Uhuru Ilala Boma mara baada ya Meneja wa Shirika hilo wilaya ya Ilala Bw. Jackson Maagi kumkabidhi kiongozi huyo wa mbio za mwenge ikiwa ni juhudi za shirika hilo kusaidia kupunguza uhaba wa ajira kwa vijana ili...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/145.jpg?width=600)
SHIRIKA LA NYUMBA NHC LAENDELEA KUONGEZA AJIRA KWA VIJANA