Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK:Tunaandaa mazingira bora ya biashara kuongeza ajira

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema nguvu kazi nchini kufikia mwaka 2030, itaongezeka mara mbili ya sasa wakati idadi ya watu itakapofikia milioni 50.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kituo cha biashara kusaidia kuongeza ajira

KITUO cha Kimataifa cha Biashara (ITC) kimesema kipo tayari kutumia rasilimali zilizopo Zanzibar kuisaidia serikali kutekeleza mkakati wake wa kuongeza ajira kwa vijana na wanawake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

PDB yataka mazingira bora ya biashara

KAIMU Mkurugenzi wa Taasisi ya President’s Deliver Bureau (PDB), Peniel Lyimo, ameitaka serikali kujenga mazingira bora kwa wafanyabiashara na watu walio katika sekta binafsi. Alisema ikiwa serikali itaondoa baadhi ya...

 

5 years ago

Michuzi

Mazingira bora ya uwekezaji na biashara ni nguzo ya ukuaji wa sekta ya mawasiliano ya simu

Teknolojia ya dijitali imebadili nchi nyingi barani Afrika. Programu mpya za simu zimesaidia biashara za kila namna kuibuka na kukua. Mabadiliko haya yamekuwa na tija kubwa kwenye sekta ya ajira na uzalishaji mali na yameleta ahueni kiuchumi kwa nchi nyingi barani hapa.
Katika nchi yangu za Afrika maendeleo haya ya kidijitali yamewezakana kutokana na uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya mawasiliano pamoja na serikali za nchi husika kuunga mkono juhudi za sekta za sekta binafsi kisera na...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kinana: Serikali imejizatiti kuongeza ajira



NA SHAABAN MDOE, LONGIDO

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amesema serikali ya Rais Jakaya Kikwete imejipanga kuhakikisha inaongeza ajira na kudhibiti watumishi. Amesema kurejeshwa kwa mamlaka za ajira ndogo ndogo katika ngazi za halmashauri kutasaidia kuongeza ajira kwa jamii. Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu CCMAliyasema hayo juzi wakati akizungumza kwenye semina ya siku mbili kuhusu ardhi kwa viongozi wa mila wa Kimasai katika Mji wa Namanga wilayani Longido mkoani Arusha. Kinana...

 

9 years ago

Habarileo

Mabaharia wapata njia ya kuongeza ajira

JUMUIYA ya Mahabaria nchini imesema muda wowote kuanzia sasa itaanza kupeleka mabaharia 200 katika vyombo vya uchakataji, utafutaji, uchimbaji na usambazaji wa gesi baharini ikiwa ni hatua ya kupunguza tatizo la ajira nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkakati wa Sido wa ODOP kuongeza ajira

SIKU hizi kumezuka tabia ya vijana kujikusanya vikundi na kukaa bure wakipiga porojo kutwa nzima bila kufanya shughuli yoyote ya kuzalisha mali kwa kukosa ajira. Hali hii imezidi kuwachochea vijana...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais ajaye anavyoweza kuongeza ajira

Taarifa za Taasisi ya Taifa ya Takwimu kuwa uchumi wetu unakua kwa kasi ya juu ya wastani wa asilimia 6 - 7 kila mwaka kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita haiaminiwi na wananchi wengi kwa sababu vijana wao hawana ajira.

 

11 years ago

Habarileo

Wageni wadaiwa kuongeza watoto wa mazingira magumu

RAIA wa kigeni wameshutumiwa kuwa sehemu ya ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwa kupachika mimba wanawake wa kitanzania na kuwatelekeza. Hayo yameelezwa na mratibu msaidizi wa kituo cha kulelea watoto waishio katika mazingira magumu cha Samaritan Village Tanzania, Agnes Mtui kilichopo eneo la Moshono jijini Arusha.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuufanyie kazi mpango wa EPZ ili kuongeza ajira

Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazokabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa ajira kwa vijana. Maana yake ni kwamba hali ya uchumi nchini haikui vizuri, hivyo inashindwa kusaidia wengi kupata ajira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani