JK:Tunaandaa mazingira bora ya biashara kuongeza ajira
RAIS Jakaya Kikwete amesema nguvu kazi nchini kufikia mwaka 2030, itaongezeka mara mbili ya sasa wakati idadi ya watu itakapofikia milioni 50.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Sep
Kituo cha biashara kusaidia kuongeza ajira
KITUO cha Kimataifa cha Biashara (ITC) kimesema kipo tayari kutumia rasilimali zilizopo Zanzibar kuisaidia serikali kutekeleza mkakati wake wa kuongeza ajira kwa vijana na wanawake.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
PDB yataka mazingira bora ya biashara
KAIMU Mkurugenzi wa Taasisi ya President’s Deliver Bureau (PDB), Peniel Lyimo, ameitaka serikali kujenga mazingira bora kwa wafanyabiashara na watu walio katika sekta binafsi. Alisema ikiwa serikali itaondoa baadhi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k7ul4Jh372M/XlJg4aTrRII/AAAAAAACBm0/rcQFThN-LnIsc4F-2KS8siKV2qoJZEUngCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200223-WA0004.jpg)
Mazingira bora ya uwekezaji na biashara ni nguzo ya ukuaji wa sekta ya mawasiliano ya simu
![](https://1.bp.blogspot.com/-k7ul4Jh372M/XlJg4aTrRII/AAAAAAACBm0/rcQFThN-LnIsc4F-2KS8siKV2qoJZEUngCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200223-WA0004.jpg)
Katika nchi yangu za Afrika maendeleo haya ya kidijitali yamewezakana kutokana na uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya mawasiliano pamoja na serikali za nchi husika kuunga mkono juhudi za sekta za sekta binafsi kisera na...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-vZ9J6lauW8k/U0_wAHYewUI/AAAAAAAABCQ/EnkuWyBGT_I/s72-c/Kinana%2B7.jpg)
Kinana: Serikali imejizatiti kuongeza ajira
NA SHAABAN MDOE, LONGIDO
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amesema serikali ya Rais Jakaya Kikwete imejipanga kuhakikisha inaongeza ajira na kudhibiti watumishi. Amesema kurejeshwa kwa mamlaka za ajira ndogo ndogo katika ngazi za halmashauri kutasaidia kuongeza ajira kwa jamii.
![](http://4.bp.blogspot.com/-vZ9J6lauW8k/U0_wAHYewUI/AAAAAAAABCQ/EnkuWyBGT_I/s1600/Kinana%2B7.jpg)
9 years ago
Habarileo25 Oct
Mabaharia wapata njia ya kuongeza ajira
JUMUIYA ya Mahabaria nchini imesema muda wowote kuanzia sasa itaanza kupeleka mabaharia 200 katika vyombo vya uchakataji, utafutaji, uchimbaji na usambazaji wa gesi baharini ikiwa ni hatua ya kupunguza tatizo la ajira nchini.
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Mkakati wa Sido wa ODOP kuongeza ajira
SIKU hizi kumezuka tabia ya vijana kujikusanya vikundi na kukaa bure wakipiga porojo kutwa nzima bila kufanya shughuli yoyote ya kuzalisha mali kwa kukosa ajira. Hali hii imezidi kuwachochea vijana...
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Rais ajaye anavyoweza kuongeza ajira
11 years ago
Habarileo08 Apr
Wageni wadaiwa kuongeza watoto wa mazingira magumu
RAIA wa kigeni wameshutumiwa kuwa sehemu ya ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwa kupachika mimba wanawake wa kitanzania na kuwatelekeza. Hayo yameelezwa na mratibu msaidizi wa kituo cha kulelea watoto waishio katika mazingira magumu cha Samaritan Village Tanzania, Agnes Mtui kilichopo eneo la Moshono jijini Arusha.
11 years ago
Mwananchi29 May
Tuufanyie kazi mpango wa EPZ ili kuongeza ajira