Mazingira bora ya uwekezaji na biashara ni nguzo ya ukuaji wa sekta ya mawasiliano ya simu
![](https://1.bp.blogspot.com/-k7ul4Jh372M/XlJg4aTrRII/AAAAAAACBm0/rcQFThN-LnIsc4F-2KS8siKV2qoJZEUngCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200223-WA0004.jpg)
Teknolojia ya dijitali imebadili nchi nyingi barani Afrika. Programu mpya za simu zimesaidia biashara za kila namna kuibuka na kukua. Mabadiliko haya yamekuwa na tija kubwa kwenye sekta ya ajira na uzalishaji mali na yameleta ahueni kiuchumi kwa nchi nyingi barani hapa.
Katika nchi yangu za Afrika maendeleo haya ya kidijitali yamewezakana kutokana na uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya mawasiliano pamoja na serikali za nchi husika kuunga mkono juhudi za sekta za sekta binafsi kisera na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zIRqg0zJMlM/XmVJAaKQnyI/AAAAAAALiIM/00qjo0Fe6y0x_FR0oqrqZzQlgJG7HAuQQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B9.50.21%2BPM.jpeg)
Ukuaji wa uchumi unavyotegemea sekta ya mawasiliano ya simu za mkononi
![](https://1.bp.blogspot.com/-zIRqg0zJMlM/XmVJAaKQnyI/AAAAAAALiIM/00qjo0Fe6y0x_FR0oqrqZzQlgJG7HAuQQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B9.50.21%2BPM.jpeg)
Ripoti ya UK ThinkTank inaongeza kuwa mafanikio ya ukuaji wa kiuchumi Tanzania yamewezeshwa na juhudi za serikali kukuza sekta ya viwanda na kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji katika sekta mbalimbali.
Matokeo ya juhudu hizo yameifanya Tanzania kuwa mmoja ya wauzaji wakubwa nje wa dhahabu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AOTD59zbVW8/Xk680lr-ZMI/AAAAAAACBG0/BxSbJXTZPsAUF4niHWYQ98VzhBh-aXzTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200220-WA0019.jpg)
Sekta ya mawasiliano ya simu ni nguzo muhimu katika kukuza uchumi
![](https://1.bp.blogspot.com/-AOTD59zbVW8/Xk680lr-ZMI/AAAAAAACBG0/BxSbJXTZPsAUF4niHWYQ98VzhBh-aXzTACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200220-WA0019.jpg)
Juma lililopita, Umoja wa Forodha Ulimwenguni (WCO) uliweka bayana kwamba Tanzania inaweza kunufaika kwa kiasi kikubwa kwa kuwekeza katika teknolojia.Akizungumza jijini Dar Es Salaam, Katibu Mkuu wa WCO amesema mbali na faida nyingi, uwekezaji katika teknolojia ya kidijitali ni mojawapo ya njia bora ya kukusanya kodi na mapato ya serikali, hivyo kuwezesha utoaji bora wa huduma nyingine...
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Tanzania na miaka 10 ya ukuaji wa kasi na kuimarika kwa sekta ya Mawasiliano
TCRA , MIAKA 10 YA UKUWAJI WA SEKTA YA MAWASILIANO, TANZANIA.doc
9 years ago
Michuzi21 Aug
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Mkapa: Kuboresha mazingira ya biashara kutachochea ukuaji uchumi
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s72-c/unnamed+(33).jpg)
semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5nfFqy1kz60/Uw4j1HvmL-I/AAAAAAAFP3Q/lnXB4znmBEk/s1600/unnamed+(34).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i1c3ZHsPxO8/XunwfXx1GbI/AAAAAAALuM4/86ZVrJreKV47j1IqUXfDeCOqYlramCReACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B1.23.19%2BPM.jpeg)
WAZIRI UMMY AITAKA BODI MPYA YA TMDA KUWEZESHA UKUAJI WA UCHUMI NA USHAMIRI WA BIASHARA NA UWEKEZAJI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-i1c3ZHsPxO8/XunwfXx1GbI/AAAAAAALuM4/86ZVrJreKV47j1IqUXfDeCOqYlramCReACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B1.23.19%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Crdpk_yhG3c/XunxD-eO-XI/AAAAAAALuNQ/_XlN3gNSdH4Mh6yZtDCx-Cd6v7wHgzaMgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B1.25.40%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-TJAwLZZOLUw/XunwhamtAdI/AAAAAAALuNA/gTCtbpjvv6M16lVcVPP0Wa5rt82dYxA0QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B1.26.33%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
11 years ago
Michuzisemina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania yafanyika leo
9 years ago
VijimamboTANZANIA NA NORWAY KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI