semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania yafanyika leo
Mkurugenzi Msaidi wa Ofis ya Makamu wa Raisi Idara ya Mazingira Bi Magdalena J.Mtenga (wa kwanza kushoto) akifunguwa rasmi Semina ya Rasimu ya kwanza ya Mkakati wa Mawasiliano ya Mazingira Endelevu wa ukuaji wa u chumi na kupunguza Umaskini Tanzania. na kulia ni Alhaji.Selemani Kisimbo ni Kaimu Mkurungezi wa Idara ya Mazingira na wadau wa Taasisi mbalimbali.
wadau wa Taasisi mbalimbali wakisikiliza na kutoa maoni ya Rasimu ya kwanza ya mkakati wa Mawasiliano ya Mazingira Endelevu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s72-c/unnamed+(33).jpg)
semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5nfFqy1kz60/Uw4j1HvmL-I/AAAAAAAFP3Q/lnXB4znmBEk/s1600/unnamed+(34).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Kupunguza uchumi wa taslimu uwe mkakati wa kupunguza ujambazi
MATUKIO ya majambazi kuwavamia watu na kuwakuta na fedha nyingi ni mengi. Juzi sista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka – Dar es Salaam, alivamiwa na kupigwa risasi na majambazi,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zIRqg0zJMlM/XmVJAaKQnyI/AAAAAAALiIM/00qjo0Fe6y0x_FR0oqrqZzQlgJG7HAuQQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B9.50.21%2BPM.jpeg)
Ukuaji wa uchumi unavyotegemea sekta ya mawasiliano ya simu za mkononi
![](https://1.bp.blogspot.com/-zIRqg0zJMlM/XmVJAaKQnyI/AAAAAAALiIM/00qjo0Fe6y0x_FR0oqrqZzQlgJG7HAuQQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B9.50.21%2BPM.jpeg)
Ripoti ya UK ThinkTank inaongeza kuwa mafanikio ya ukuaji wa kiuchumi Tanzania yamewezeshwa na juhudi za serikali kukuza sekta ya viwanda na kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji katika sekta mbalimbali.
Matokeo ya juhudu hizo yameifanya Tanzania kuwa mmoja ya wauzaji wakubwa nje wa dhahabu...
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Mkapa: Kuboresha mazingira ya biashara kutachochea ukuaji uchumi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k7ul4Jh372M/XlJg4aTrRII/AAAAAAACBm0/rcQFThN-LnIsc4F-2KS8siKV2qoJZEUngCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200223-WA0004.jpg)
Mazingira bora ya uwekezaji na biashara ni nguzo ya ukuaji wa sekta ya mawasiliano ya simu
![](https://1.bp.blogspot.com/-k7ul4Jh372M/XlJg4aTrRII/AAAAAAACBm0/rcQFThN-LnIsc4F-2KS8siKV2qoJZEUngCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200223-WA0004.jpg)
Katika nchi yangu za Afrika maendeleo haya ya kidijitali yamewezakana kutokana na uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya mawasiliano pamoja na serikali za nchi husika kuunga mkono juhudi za sekta za sekta binafsi kisera na...
10 years ago
VijimamboSEMINA YA RASIMU YA SERA YA URITHI WA UTAMADUNI YAFANYIKA ZANZIBAR
9 years ago
Michuzi21 Aug
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Tanzania na miaka 10 ya ukuaji wa kasi na kuimarika kwa sekta ya Mawasiliano
TCRA , MIAKA 10 YA UKUWAJI WA SEKTA YA MAWASILIANO, TANZANIA.doc