SEMINA YA RASIMU YA SERA YA URITHI WA UTAMADUNI YAFANYIKA ZANZIBAR
Mkurugenzi Uendeshaji na Utumishi wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo Joseph Kilangi akitoa hutuba yake ya ufunguzi katika Semina ya majadiliano ya “Rasimu ya Sera ya Urithi wa Utamaduni” iliyofanyika Forodhani Mjini Zanzibar,kulia kwake ni Mkurugenzi wa Uendeshaji na Utumishi, Sera na Utafiti wa Wizara hiyo na kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Makumbusho na Mambo ya Kale Dkt. Amina Ameir Issa.
Proff Shariff Mtaalamu wa Historia akitoa mchango wake katika Semina ya majadiliano...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzisemina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania yafanyika leo
10 years ago
Habarileo16 May
Waelezwa umuhimu mchango wa urithi wa utamaduni kuinua uchumi
URITHI wa utamaduni umeelezwa kuwa ni moja kati ya vitegauchumi muhimu ambapo kama utatumika vyema utaleta mchango mkubwa kwa wananchi na serikali kwa ujumla.
11 years ago
Habarileo07 Mar
Wadau waanza kupitia rasimu sera ya petroli
WADAU kutoka taasisi mbalimbali za serikali wameanza kupitia rasimu ya kwanza ya sera ya petroli katika kikao kazi kwenye Hoteli ya Millennium Sea Breeze mjini hapa.
10 years ago
CloudsFM03 Oct
11 years ago
Dewji Blog19 May
Semina Sekta ya Pamba yafanyika Dar
Mfadhili Mh. David Sainsbury wa Taasisi ya Gatsby Charitable Trust iliyopo nchini Uingereza.
Na Mwandishi wetu
Taasisi ya Tanzania Gatsby Trust (TGT) chini ya Programu ya Maendeleo ya Pamba na viwanda vya nguo (CTDP), hivi karibuni wameandaa semina kwa sekta ya pamba nchini yenye lengo la kupitia upya mafanikio, changamoto zilizojitokeza na maazimio yatakayo kuwa yamezingatiwa.
Semina hiyo pia iliwapongeza wasindikaji na viongozi wa Wilaya kutokana na kuweza kuendeleza mazingira bora ya...
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-ZASermCGBss/VC6JYLu5LPI/AAAAAAACsH0/Nj1IpVL3Um0/s1600/1.jpg)
SEMINA YA FURSA 2014 YAFANYIKA MJINI SINGIDA
10 years ago
MichuziSEMINA YA WANAHISA WA BENKI YA CRDB YAFANYIKA ARUSHA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZASermCGBss/VC6JYLu5LPI/AAAAAAACsH0/Nj1IpVL3Um0/s72-c/1.jpg)
Semina ya Fursa 2014 yafanyika Mjini Singida leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZASermCGBss/VC6JYLu5LPI/AAAAAAACsH0/Nj1IpVL3Um0/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XTWNjdaq0IY/VC6FR-bDFKI/AAAAAAACsGI/J91uOnpAySc/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WQ_Aqx7YKww/VC6Jd96kR_I/AAAAAAACsH8/bqOGJSavV34/s1600/3.jpg)
11 years ago
MichuziSEMINA YA UWEKEZAJI YA BENKI YA CRDB YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM