Kinana: Magufuli kusafisha CCM na Serikali
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amesema ndani ya CCM wapo watu wa hovyo, wezi na wanafiki, lakini kama watamchagua Dk John Magufuli kuwa rais, ataisafisha CCM na Serikali yake. “CCM tumejitahidi kuleta maendeleo, lakini lazima nikiri ndani ya CCM kuna kasoro. Tuna mijitu hovyo, tuna wezi, tuna majambazi humo na kuna watu wanafiki ndani ya CCM,†alisema Kinana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Jun
Kinana aitolea uvivu Serikali ya CCM
11 years ago
Habarileo04 Mar
Kinana- Wana CCM isimamieni serikali
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka wana-CCM kutokuwa na woga katika kuisimamia Serikali katika ngazi zote.
9 years ago
Mwananchi09 Dec
CCM inaunga mkono juhudi za Rais Magufuli -Kinana
5 years ago
CCM Blog
KINANA ONYESHA UKOMAVU KATIKA SIASA, AMUOMBA RADHI MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI

Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana (pichani) amemuomba radhi Mwenyekiti wa CCM Rais Dk.John Magufuli kwa kauli mbalimbali alizotoa hadi Chama kulazimika kumpa adhabu hivi karibuni.
Kinana alitoa tamko la kumuomba radhi Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. Magufuli, alipozungumza na Waandishi wa habari baada ya kukutanha na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa mkoa huo Zelothe Stephen na kufanya mazungumzo naye katika ofisi za CCM mkoa wa Arusha leo.
Katika...
10 years ago
Vijimambo
KINANA AWASHUKURU WAPIGA KURA WALIOICHAGUA CCM KWENYE UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA


10 years ago
Mwananchi10 Feb
CCM haitaki mgombea wa kusafisha kwa dodoki
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
Kinana atinga Masasi, ataka CCM iendelee kuibana serikali juu ya wafujaji wa fedha za umma
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ufyatuaji matofali kwa kutumia mashine ya kujengea ofisi ya CCM Wilaya ya Masasi, wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
10 years ago
Vijimambo07 Oct
KINANA MWANZA,MAGUFULI MOSHI NA HAI..HUKO BUMBULI NA MLALO WALIKUWA VIJANA WA KAZI WA CCM HAWA HAPA






9 years ago
Bongo509 Dec
Siku ya Uhuru: Magufuli ni kama sisi tu, aingia mtaani kusafisha mazingira (Picha)

Rais Dkt John Magufuli hana tofauti na sisi wananchi wa kawaida.
Rais Dkt Magufuli akishiriki kwenye zoezi la kufanya usafi nchi nzima kuadhimisha miaka 54 tangu uhuru wa Tanganyika
Katika kusherehekea siku ya Uhuru, Magufuli na mke wake Mama Janeth wameunga na wananchi nchini kote kusafisha mazingira.
Hapa Usafi Tu
Hatua hiyo imekuja baada ya hivi karibuni kutangaza kuondoa sherehe za kitaifa za Uhuru zilizooleka kufanyika kila mwaka na badala yake siku hii itumike kufanya usafi ili...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10