Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge dhaifu linaweza kuidhibiti serikali yenye nguvu?

KUNA mambo mawili yamenifanya nitafakari tena kuhusu  uhalisia wa kazi za Bunge.  Na kwa uhalisia  nilikuwa naangalia kazi yake kuidhibiti serikali. Hii ni kazi kubwa ya sana na muhimu kwa Bunge. Lakini inaelekea...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kinana: Serikali ni dhaifu

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinana, amekiri kuwepo kwa udhaifu mkubwa katika utendaji ndani ya serikali. Kinana amesema serikali imekuwa ikisuasua kutatua matatizo yanayowakabili wananchi, ikiwemo migogoro...

 

11 years ago

Habarileo

Wanaodai serikali ya Tanganyika ni dhaifu

Livingstone LusindeMJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Livingstone Lusinde amesema mtu yeyote anayedai serikali ya Tanganyika ni dhaifu na mwoga na hilo limedhihirishwa kwa wajumbe wa Ukawa kutoka nje ya Bunge na kwamba nchi hii haidaiwi na watu wanaokimbia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Remdesivir: Dawa yenye 'nguvu' za kukabiliana na virusi vya corona

Data hiyo inatokana na vipimo dhidi ya dalili za ugonjwa huo miongoni mwa zaidi ya wagonjwa 1000 nchini Marekani

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba lijadili nguvu ya hoja si hoja za nguvu

BUNGE la kujadili katiba mpya limepangwa kuanza rasmi Februari 18 mwaka huu, pale Makao Makuu ya Tanzania, mjini Dodoma. Mijadala itaendeshwa kwa siku 70. Ikibidi zitaongezwa tena siku nyingine 20...

 

11 years ago

BBCSwahili

'Ni vigumu kuidhibiti Arsenal 'Guardiola

Kocha wa Bayern Munich Pep Guardiola amekiri ni vigumu sana kudhibiti dakika tisini za mechi dhidi ya Arsenal ya Uingereza .

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli-Nitaongoza Serikali yenye utajiri

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amesema atarithi Serikali tajiri na kuwataka Watanzania kuwa makini kuchagua kiongozi muadilifu, akionya kuwa wasio waadilifu wameshaanza kujipanga kugawana rasilimali za Taifa, ikiwemo gesi asilia na bandari.

 

10 years ago

Habarileo

Werema: Rais hana nguvu kuvunja Bunge

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema (kulia) akitoa ufafanuzi wa masuala ya kisheria kwa waandishi wa habari kuhusu mchakato wa upatikanaji wa Katiba mpya wakati wa mkutano uliofanyika Dar es Salaam jana. (Picha na Hassan Silayo, Maelezo).MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Frederick Werema amesisitiza kuwa sheria hairuhusu mtu yeyote, akiwemo Rais Jakaya Kikwete, kuvunja Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msigara: Nitaunga mkono serikali yenye mazingira rafiki

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Frederick Msigara, amesema hana uhakika kama muundo wa serikali tatu unaweza kuwa njia pekee ya ufumbuzi wa kero walizonazo wananchi. Msigara alitoa kauli hiyo...

 

11 years ago

Michuzi

SERIKALI YAPOKEA MABEHEWA 25 YENYE THAMANI YA SH.BILIONI 4.3 KUTOKA INDIA

 Waziri wa Uchukuzi Dk.Harrison Mwakyembe (kulia), akiangalia moja ya mabehewa kati ya mabehewa 25 mapya ya kubebea kokoto yenye thamani ya sh.bilioni 4.3 aliyoyapokea kutoka Kampuni ya M/S Hindusthan Engineering and Industriles Limited ya India Dar es Salaam Leo, kwa ajili ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL). Wa pili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TRL, Mhandisi Kipalo Kisamfu. Waziri wa Uchukuzi Dk.Harrison Mwakyembe (katikati), akifurahia jambo wakati wa kupokea mabehewa hayo. Kushoto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani