TBA yatoa kilio chake kwa Tanesco, Dawasco
MAMLAKA zinazohusika zimeombwa kupeleka umeme, maji na barabara katika maeneo ambako mradi wa ujenzi wa nyumba za watumishi wa Serikali, unatekelezwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania25 Mar
Dawasco yatoa msaada kwa yatima
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limetoa misaada ya kibinadamu kwa watoto yatima wa kituo cha Msimbazi Centre, ikiwa ni moja ya sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Maji yaliyoanza Machi 16- 22.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Dawasco, Everlasting Lyaro, alisema msaada huo ni sehemu ya jamii wanayotoa huduma hiyo kila siku.
“Sisi kama Dawasco tumeguswa na mahitaji ya watoto hawa na kama sehemu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Li9saok6FYI/VOSNZJ89uJI/AAAAAAAHEYI/Va4rB-DLqos/s72-c/Untitled.png)
DAWASCO YATOA TAARIFA YA KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU JUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-Li9saok6FYI/VOSNZJ89uJI/AAAAAAAHEYI/Va4rB-DLqos/s1600/Untitled.png)
MTAMBO YA RUVU JUU UTAZIMWA ILI KUMRUHUSU MKANDARASI KUFANYA SHUGHULI ZA UPANUZI WA MTAMBO.
KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU JUU KUTASABABISHA MAENEO YAFUATAYO KUKOSA MAJI;
MLANDIZI, KIBAHA, KIBAMBA, KILUVYA, KONGOWE, MISUGUSUGU,...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Tanesco kuikatia umeme Dawasco iwe funzo
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Tanesco yaikatia umeme Dawasco, yaidai Sh7 bilioni
10 years ago
Habarileo11 Jan
Tanesco yatoa msaada kwa watoto yatima Dar
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa misaada ya vitu mbalimbali na kupata chakula cha mchana na watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo cha Chakuwama kilichopo Sinza, Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fWtwftMPNnk/VALh1PqLTFI/AAAAAAACpiQ/apF5v_X9NUQ/s72-c/Tanesco_Logo.jpg)
SHIRIKA LA TANESCO LISIKIKILIZE KILIO CHA WAKAZI WA MWANAGATI-KITUNDA.!
![](http://1.bp.blogspot.com/-fWtwftMPNnk/VALh1PqLTFI/AAAAAAACpiQ/apF5v_X9NUQ/s1600/Tanesco_Logo.jpg)
Wakielezea kwa masikitiko makubwa juu ya tatizo hilo,Wananchi hao wamesema kuwa hawakupata taarifa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKm5lKF6dBzzP53TIvjUZvJ7Prq4qhOuCit2QLqps0f04NR3MjLMQBrMFRqbanTksOgFiJXsBy74p4oQ7zOckq0Z/TANESCO.jpg)
SHIRIKA LA TANESCO LISIKILIZE KILIO CHA WAKAZI WA MWANAGATI-KITUNDA
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Tanesco yatoa sababu kukatika umeme mara kwa mara
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Tanesco yatoa tahadhari
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limewataka wananchi kuacha tabia ya kujenga na kufanya biashara chini ya nyaya za umeme kwani ni hatari kwa maisha yao. Akizungumza na Tanzania Daima jijini...