Aliyemponda Diamond atishiwa maisha
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Masige Bukori ‘Cado Baro’, amesema anazidi kutishiwa maisha kwa kupigiwa simu mara kwa mara, zikimtaka asiende kwenye ukumbi wowote kutumbuiza nyimbo zake. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Atishiwa maisha kwa kutaka ubunge
MFANYABIASHARA wa Kahama mjini, Shilinde Samandito, amedai kupatiwa vitisho mbalimbali vya maisha pamoja na biashara yake baada ya kutangaza nia ya kuwania ubunge katika Jimbo la Kahama. Akizungumza kwenye mkutano...
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Muigizaji atishiwa maisha yake kwa sababu ya kudansi
Nermine Sfar muigizaji kutoka nchini Tunisia amesema amepokea vitisho dhidi ya maisha yake kutoka kwa kundi la jihadi baada ya kuanza kupeperusha video za moja kwa moja akicheza
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SryUG9vl6-04SPIBTICFg*Vm05gwlkAcvu6OgPSJnPgRHA9jWNgqyTwkl0pUrDPbUvmxvT1VQ3QamyV6TKUN-KuWSCGjL9We/wastara.jpg?width=650)
WASTARA ATISHIWA KUUAWA!
Hamida Hassan Hatari! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadai kutishiwa maisha kwa kutumiwa ujumbe wa WhatsApp na ustaadhi ambaye aliwahi kutangaza kutaka kumuoa, jambo lililosababisha staa huyo kuamua kumfungulia mashtaka. Staa wa sinema za Kibongo, Wastara. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Wastara alifunguka kuwa kutokana na vitisho anavyotumiwa na ustadhi, hivyo akitua Dar kutoka mikoani atakwenda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZuv7CaHNYbrZalg1RK0BBwiviq4KvWIHR1RL2Tj3Cl8*oGoWHBARsG7gfWBo5tFotuqqIYErdnBDMNQsa55SlT8J/TIMBULO.jpg?width=650)
ALLY TIMBULO ATISHIWA KUUAWA
HII ni kali lakini haikuwahi kuandikwa, staa wa Bongo Fleva, Ally Timbulo alinusurika kuuawa baada ya kubainika kuwa anatembea na mke wa mtu na mumewe kumsaka kwa udi na uvumba akiwa na bastola mkononi. Staa wa Bongo Fleva, Ally Timbulo Akitema cheche na Untold, Timbulo alisema, katika maisha yake hakuwahi kufikiria kutoka kimapenzi na mtu ambaye yupo kwenye ndoa, isipokuwa mwanadada huyo ambaye anafanya kazi serikalini (jina...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt634BsDdHYMiVuVAsPxZ4FcvMI5EVNkUgybJ55ofpbm0idUHQq601t1-6W21WLdmrHBaempjY-Qdd7hT9nMCiXJQ/hoyce.jpg?width=650)
HOYCE TEMU ATISHIWA KUUAWA
Stori: Haruni Sanchawa MMOJA wa wajomba wa Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu, Jacob Temu amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kumtishia maisha mlimbwende huyo. Tukio la kukamatwa kwa Jacob lilikuja baada ya kutishia kumuua kwa maneno Hoyce pamoja na shangazi yake ambaye ni Hilda Temu, katika mabishano ya wanaukoo juu ya sehemu ya kumzika ndugu yao, marehemu Emmanuel Nambuo Temu (33). Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu. Hoyce aliliambia...
10 years ago
Vijimambo23 Mar
HISTORIA YA MAISHA YA KING DIAMOND PLUTNUMZ NA DJ WAKE ROME JONES
![](http://api.ning.com/files/OyDgsXHkaULy5kT-vNjKRUNZ5gR1r3GZEtPxciaClax24EIswLZ2uXAN-K*iUe0B3nANAj7grp3AIlIRsm9lfFwRypl56y8B/diamondf.jpg?width=650)
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Jaji Masipa atishiwa baada ya uamuzi
Mashirika ya kisheria nchini Afrika Kusini,yameelezea wasiwasi kuhusu vitisho dhidi ya jaji aliyetoa uamuzi katika kesi dhidi ya Pistorius.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXUd0vKWqmcMKNhiBgjnu6n-GyZueyeR64v98guNUIszdKifFTRPq7fDSTGepBT2P7bwaOSUtWux9*yV4a71XcCC/AshaSalumKidoa.jpg?width=650)
KIDOA AOMBWA PENZI, AGOMA, ATISHIWA KUFANYIZIWA!
Modo anayefiti kuvaa viatu vya Agnes Masogange, Asha Salum ‘Kidoa’. Na Mayasa Mariwata Modo anayefiti kuvaa viatu vya Agnes Masogange, Asha Salum ‘Kidoa’ amedai kuna kigogo mmoja amekuwa akimtaka kimapenzi lakini kila anavyojaribu kumkatalia, anamtishia kumfanyizia. Kidoa juzikati aliliambia Ijumaa kuwa, kigogo huyo ambaye kwa sasa hawezi kumtaja jina lake aliwahi kumpigia simu na kutaka kuonana naye kwa maelezo kuwa,...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Naseeb Abdul (Diamond): Starehe lina mchango mkubwa katika maisha yangu
Nyota huyu wa muziki nchini, aliandikwa gazetini kwa mara ya kwanza katika Jarida la Starehe. Huo ulikuwa mwaka 2007 wakati akitambulisha wimbo wake Kamwambie.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania