Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HOYCE TEMU ATISHIWA KUUAWA

Stori: Haruni Sanchawa MMOJA wa wajomba wa Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu, Jacob Temu amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kumtishia maisha mlimbwende huyo. Tukio la kukamatwa kwa Jacob lilikuja baada ya kutishia kumuua kwa maneno Hoyce pamoja na shangazi yake ambaye ni Hilda Temu, katika mabishano ya wanaukoo juu ya sehemu ya kumzika ndugu yao, marehemu Emmanuel Nambuo Temu (33). Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu. Hoyce aliliambia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Hoyce Temu ajumuika na waathirika wa ukoma Dar

1
2Hoyce Temu  akiongozana na kamati nzima ya Miss Tanzania kuelekea kwenye ukumbi wa Nungwi ambapo kuna  kambi ya wagonjwa wa ukoma.45…Akizungumza na baadhi ya wazee ambao ni kati ya  waathirika  wa ukoma.6…Akiwa na mzee mmoja anayeishi kituoni hapo.7
9 …Akichanganya dawa na Tausi Mwenda, mke wa aliyekuwa Meya wa Kinondoni, Yusuph Mwenda, kwa ajili ya kuulia wadudu.1011 …Akipulizia dawa  kwenye vyumba vya waathirika hao.12Tausi Mwenda (mwenye shati nyeupe) akiwa ameshika maji kwa ajili ya waathirika hao.13

 

11 years ago

Michuzi

HOYCE TEMU AMONG TOP MISA'S WOMEN TO WATCH 2014

Picture-055 Hoyce Temu a communication specialist at the United Nations in Tanzania has been selected as one of the inspirational southern African women and a rising star in the region.
Temu has been involved in the social works by helping the communities in various ways and sharing what she has to make the world a better living for everyone.
On the International Women’s Day, the MISA announced the first annual MISA’s Women to Watch.
MISA is honoring 12 dynamic­­ and inspirational southern African...

 

10 years ago

Michuzi

2015 MISA’S ‘WOMEN TO WATCH’: NOMINATE HOYCE TEMU, VOTE TANZANIA

HOYCETEMUNAWALEMAVU2
Former Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu on field during the recording of her TV talk show.She also has her own talk show, Mimi na Tanzania (Me and Tanzania), which focuses on CSRs, fundraising, and supporting women and children through the promotion of human rights, gender equality, and access to healthcare and education.Please nominate her on this category: “Journalists, reporters, presenters who stand out in their field”International Women’s Day just around the corner, MISA’s is looking to...

 

11 years ago

GPL

HOYCE TEMU AMONG TOP MISA'S WOMEN TO WATCH 2014‏

Hoyce Temu a communication specialist at the United Nations in Tanzania has been selected as one of the inspirational southern African women and a rising star in the region. Temu has been involved in the social works by helping the communities in various ways and sharing what she has to make the world a better living for everyone. On the International Women’s Day, the MISA announced the first annual MISA’s Women...

 

10 years ago

Vijimambo

015 MISA’S ‘WOMEN TO WATCH’: NOMINATE HOYCE TEMU, VOTE TANZANIA

HOYCETEMUNAWALEMAVU2Former Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu on field during the recording of her TV talk show.She also has her own talk show, Mimi na Tanzania (Me and Tanzania), which focuses on CSRs, fundraising, and supporting women and children through the promotion of human rights, gender equality, and access to healthcare and education.Please nominate her on this category: “Journalists, reporters, presenters who stand out in their field”
International Women’s Day just around the corner, MISA’s is looking to...

 

9 years ago

GPL

WASTARA ATISHIWA KUUAWA!

Hamida Hassan Hatari! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadai kutishiwa maisha kwa kutumiwa  ujumbe wa WhatsApp na ustaadhi ambaye aliwahi kutangaza kutaka kumuoa, jambo lililosababisha staa huyo kuamua kumfungulia mashtaka. Staa wa sinema za Kibongo, Wastara. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Wastara alifunguka kuwa kutokana na vitisho anavyotumiwa na ustadhi, hivyo akitua Dar kutoka mikoani atakwenda...

 

9 years ago

Bongo5

Kamati mpya ya Miss Tanzania yatambulishwa, wamo warembo Jokate Mwegelo na Hoyce Temu

Kamati mpya ya Miss Tanzania imetambulishwa rasmi leo August 27, 2015, na miongoni mwa wajumbe yumo Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu pamoja na Jokate Mwegelo ambaye ni msemaji wa kamati hiyo. Mabadiliko hayo yamekuja wiki moja toka Baraza La Sanaa la Taifa, BASATA kulifungulia shindano hilo lililofungiwa kwa miaka miwili. “Kwa niaba ya kamati mpya […]

 

11 years ago

GPL

ALLY TIMBULO ATISHIWA KUUAWA

HII ni kali lakini haikuwahi kuandikwa, staa wa Bongo Fleva, Ally Timbulo alinusurika kuuawa baada ya kubainika kuwa anatembea na mke wa mtu na mumewe kumsaka kwa udi na uvumba akiwa na bastola mkononi. Staa wa Bongo Fleva, Ally Timbulo Akitema cheche na Untold, Timbulo alisema, katika maisha yake hakuwahi kufikiria kutoka kimapenzi na mtu ambaye yupo kwenye ndoa, isipokuwa mwanadada huyo ambaye anafanya kazi serikalini (jina...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hoyce Temu afunga mwaka kwa kutembelea kituo cha wazee, Lundenga amtaja kama Miss bora kuwahi kutokea

IMG_9916

IMG_9920

Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu (wa pili kushoto) akiwa ameambatana na Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni waandaaji wa shindano la Miss Tanzania, Hashim Lundenga (katikati) kushoto Mkuu wa Itifaki wa Kamati ya Miss Tanzania, Albert Makoye ( wa pili kulia), Katibu wa Kamati ya Miss Tanzania Bosco Majaliwa (kulia) pamoja na mpiga picha wa kipindi cha Mimi na Tanzania, Geofrey Magawa a.k.a KIM (kushoto) wakiwasili Desemba 31, 2015 kwenye makazi ya wazee na watu wenye ulemavu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani