Kamati mpya ya Miss Tanzania yatambulishwa, wamo warembo Jokate Mwegelo na Hoyce Temu
Kamati mpya ya Miss Tanzania imetambulishwa rasmi leo August 27, 2015, na miongoni mwa wajumbe yumo Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu pamoja na Jokate Mwegelo ambaye ni msemaji wa kamati hiyo. Mabadiliko hayo yamekuja wiki moja toka Baraza La Sanaa la Taifa, BASATA kulifungulia shindano hilo lililofungiwa kwa miaka miwili. “Kwa niaba ya kamati mpya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Jokate Mwegelo msemaji kamati mpya Miss Tanzania
NA ESTHER MNYIKA
MSIMAMIZI wa mashindano ya Urembo Tanzania, ‘Miss Tanzania’, Hashimu Lundenga, ametambulisha kamati mpya ya muda inayoundwa na wajumbe 12 akiwemo Jokate Mwegelo aliyekuwa Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006.
Mwenyekiti wa kamati hiyo ni Juma Pinto, makamu mwenyekiti, Lucas Ritta, katibu mkuu ni Doris Mollel na Joketi Mwegelo ambaye ndiye anakuwa msemaji wa kamati hiyo.
Wajumbe wengine ni Hoyce Temu, Mohamed Bawazir, Gladyz Shao, Magdalena Munisi, Shah Ramadhani, Hamm...
10 years ago
CloudsFM29 Dec
WAREMBO MISS TEMEKE WAMPONGEZA JOKATE MWEGELO KWA KUPATA MKATABA MNONO WA DOLA MILL.5
Warembo walioshika nafasi za kwanza katika mashindano ya umiss wakimpongeza mrembo mwenzao Jokate Mwegelo baada ya kupata mkataba mnono wa dola mill.5 katiba sherehe iliyofanyika hivi karibuni katika hotel ya Kempinski,jijini Dar.
11 years ago
Michuzi31 Jul
HOYCE TEMU AHAMASISHA WATANZANIA KUMPIGIA KURA MISS TANZANIA USA 2014 KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MISS AFRICA USA
![IMG-20140727-WA0011](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG-20140727-WA0011.jpg)
Mpigie Kura Miss Tanzania USA, Joy Kalemera anayeshiriki kinyang'ayiro cha kumtafuta Miss Africa USA. Mtangazaji wa Mimi Na Tanzania Hoyce Temu ambaye pia ni Miss Tanzania 1999 yupo nchini Marekani na amefanya mahojiano na mrembo huyo.Usikose kuangalia marudio ya mahojiano hayo kwenye kipindi cha "Mimi na Tanzania" Jumamosi ya tarehe 2 August ,2014...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG-20140727-WA0011.jpg?width=600)
HOYCE TEMU AHAMASISHA WATANZANIA KUMPIGIA KURA MISS TANZANIA USA 2014 KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MISS AFRICA USA
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Hoyce Temu afunga mwaka kwa kutembelea kituo cha wazee, Lundenga amtaja kama Miss bora kuwahi kutokea
Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu (wa pili kushoto) akiwa ameambatana na Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni waandaaji wa shindano la Miss Tanzania, Hashim Lundenga (katikati) kushoto Mkuu wa Itifaki wa Kamati ya Miss Tanzania, Albert Makoye ( wa pili kulia), Katibu wa Kamati ya Miss Tanzania Bosco Majaliwa (kulia) pamoja na mpiga picha wa kipindi cha Mimi na Tanzania, Geofrey Magawa a.k.a KIM (kushoto) wakiwasili Desemba 31, 2015 kwenye makazi ya wazee na watu wenye ulemavu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YO6zqeoVR9M/VKA-HY-oOmI/AAAAAAAG6OI/BmgiM3CTU1E/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
warembo wa miss temeke wampongeza Joketi Mwegelo kwa kupata mkataba mnono wa dola milion 5
![](http://4.bp.blogspot.com/-YO6zqeoVR9M/VKA-HY-oOmI/AAAAAAAG6OI/BmgiM3CTU1E/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Michuzi17 Feb
2015 MISA’S ‘WOMEN TO WATCH’: NOMINATE HOYCE TEMU, VOTE TANZANIA
![HOYCETEMUNAWALEMAVU2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/HOYCETEMUNAWALEMAVU2.jpg)
Former Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu on field during the recording of her TV talk show.She also has her own talk show, Mimi na Tanzania (Me and Tanzania), which focuses on CSRs, fundraising, and supporting women and children through the promotion of human rights, gender equality, and access to healthcare and education.Please nominate her on this category: “Journalists, reporters, presenters who stand out in their field”International Women’s Day just around the corner, MISA’s is looking to...
10 years ago
Vijimambo17 Feb
015 MISA’S ‘WOMEN TO WATCH’: NOMINATE HOYCE TEMU, VOTE TANZANIA
![HOYCETEMUNAWALEMAVU2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/HOYCETEMUNAWALEMAVU2.jpg)
International Women’s Day just around the corner, MISA’s is looking to...
11 years ago
GPLJOKATE MWEGELO AZINDUA MRADI MPYA WA KIDOTI