WAREMBO MISS TEMEKE WAMPONGEZA JOKATE MWEGELO KWA KUPATA MKATABA MNONO WA DOLA MILL.5
Warembo walioshika nafasi za kwanza katika mashindano ya umiss wakimpongeza mrembo mwenzao Jokate Mwegelo baada ya kupata mkataba mnono wa dola mill.5 katiba sherehe iliyofanyika hivi karibuni katika hotel ya Kempinski,jijini Dar.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YO6zqeoVR9M/VKA-HY-oOmI/AAAAAAAG6OI/BmgiM3CTU1E/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
warembo wa miss temeke wampongeza Joketi Mwegelo kwa kupata mkataba mnono wa dola milion 5
![](http://4.bp.blogspot.com/-YO6zqeoVR9M/VKA-HY-oOmI/AAAAAAAG6OI/BmgiM3CTU1E/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
9 years ago
Bongo527 Aug
Kamati mpya ya Miss Tanzania yatambulishwa, wamo warembo Jokate Mwegelo na Hoyce Temu
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Jokate Mwegelo msemaji kamati mpya Miss Tanzania
NA ESTHER MNYIKA
MSIMAMIZI wa mashindano ya Urembo Tanzania, ‘Miss Tanzania’, Hashimu Lundenga, ametambulisha kamati mpya ya muda inayoundwa na wajumbe 12 akiwemo Jokate Mwegelo aliyekuwa Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006.
Mwenyekiti wa kamati hiyo ni Juma Pinto, makamu mwenyekiti, Lucas Ritta, katibu mkuu ni Doris Mollel na Joketi Mwegelo ambaye ndiye anakuwa msemaji wa kamati hiyo.
Wajumbe wengine ni Hoyce Temu, Mohamed Bawazir, Gladyz Shao, Magdalena Munisi, Shah Ramadhani, Hamm...
5 years ago
MichuziKIWANDA KURUDISHA SHUKRANI KWA RAIS MAGUFULI KWA KUGAWA CHAKI BURE ...DC JOKATE MWEGELO ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Jokate Mwegelo(aliyevaa nguo nyekundu),Katibu Tawala wa wilaya hiyo Tella Mwampamba(kulia) wakiwa na baadhi ya wafanyakazi na viongozi wa kiwanda cha kutengeneza chaki cha Mkongoma General Supply Ltd wakishuhudia taa zikiwaka baada ya Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) wilayani humo kupeleka umeme katka kiwanda hicho.
Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mkongoma General Supply Ltd Geoffrey Mkongoma (kulia) akifafanua jambo kwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe...
10 years ago
Bongo Movies09 Jun
Jokate Mwegelo Afunguka kwa Mara ya Kwanza Kuhusu Uhusiano Wake na Alikiba
Wengi wanaamini kuwa Jokate Mwegelo na Alikiba kwasasa ni mtu na mpenzi wake japo wao hawajathibitisha hilo rasmi. Tetesi na hisia juu ya wawili hao kuzama kwenye dimbwi la mahaba zinachangiwa na picha zao kadhaa zinazoenea kwenye mtandao picha wa Instagram.
Lakini hatimaye Jokate amefunguka kwa mara ya kwanza kupitia mahojiano yake na Global TV. “Ni kwasababu Alikiba anapenda sana muziki na anajua muziki na anajua style mbalimbali.
Halafu ukitaka kuwa the best you obviously need to be...
10 years ago
MichuziJokate Mwegelo atoa Zawadi za Krismas na Mwaka Mpya kwa Kituo cha Yatima cha Extrem, Tandare
Mrembo huyo ambaye pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Kidoti inayojihusisha na masuala ya urembo, alitoa msaada huo kama zawadi yake ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya kwa watoto hao kama sehemu ya kuwafariji ili nao kujiona wako sawa na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-V2dFrzf2lMo/VWBA6LlW-OI/AAAAAAAHZUY/80fP7sO1Yqc/s72-c/Efm-logo-jpg-1024x542.png)
11 years ago
GPLJOKATE MWEGELO AZINDUA MRADI MPYA WA KIDOTI