KIDOA AOMBWA PENZI, AGOMA, ATISHIWA KUFANYIZIWA!
![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXUd0vKWqmcMKNhiBgjnu6n-GyZueyeR64v98guNUIszdKifFTRPq7fDSTGepBT2P7bwaOSUtWux9*yV4a71XcCC/AshaSalumKidoa.jpg?width=650)
Modo anayefiti kuvaa viatu vya Agnes Masogange, Asha Salum ‘Kidoa’. Na Mayasa Mariwata Modo anayefiti kuvaa viatu vya Agnes Masogange, Asha Salum ‘Kidoa’ amedai kuna kigogo mmoja amekuwa akimtaka kimapenzi lakini kila anavyojaribu kumkatalia, anamtishia kumfanyizia. Kidoa juzikati aliliambia Ijumaa kuwa, kigogo huyo ambaye kwa sasa hawezi kumtaja jina lake aliwahi kumpigia simu na kutaka kuonana naye kwa maelezo kuwa,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Kidoa amtangazia vita Zari
Video Queen maarufu Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’.
Musa mateja
Video Queen maarufu Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’ amemtangazia vita mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ akidai atafanya kila njia amnase msanii huyo.
Rafiki wa karibu wa Kidoa aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini alidai kuwa, Kidoa alikuwa akimpenda sana Diamond hata kabla ya kuwa na Zari ndiyo maana ana ndoto za kuwa naye.
Mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’.
“Kidoa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOhPJScIheOJ7iGvssHY8Y3zmtH7h2r5Bh3fuOdSUTdJ-rkrkdMI2WUyimQufo3666qFj7lfJR8qo7CW7DoxS6Bu/Kidoa.jpg)
KIDOA: MASOGANGE CHA MTOTO KWANGU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SryUG9vl6-04SPIBTICFg*Vm05gwlkAcvu6OgPSJnPgRHA9jWNgqyTwkl0pUrDPbUvmxvT1VQ3QamyV6TKUN-KuWSCGjL9We/wastara.jpg?width=650)
WASTARA ATISHIWA KUUAWA!
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Kidoa aibuka mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015
Asha Salum ‘Kidoa’ (katikati) akiwasalimia mashabiki baada ya kutangazwa mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015 usiku huu Dar Live.
Akikabidhiwa Tuzo na Cheti chake na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa, Amrani Kaima (kulia).
9 years ago
Dewji Blog27 Dec
Kidoa aibuka kidedea Ijumaa Sexiest Girl 2015
Video Queen anayefanya pia filamu, Asha Salum ‘Kidoa’ akiwa na tuzo yake ya Ijumaa Sexiest Girl 2015 baada ya kuwafunika Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Vanessa Mdee ‘Vee ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar.
Kidoa (katikati) akiwasalimia mashabiki baada ya kutangazwa mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015.
…Akilia kwa furaha.
Kidoa akikabidhiwa tuzo na Mkurugenzi wa Hamadombe Distributor, Fatuma Makame.
…Akibusu tuzo.
Akiwa katika picha ya pamoja na mratibu...
9 years ago
Global Publishers30 Dec
kidoa hongera; kuna maisha baada ya ushindi, jipange!
KWAKO Mshindi wa Shindano la Ijumaa Sexiest Girl, Asha Salum ‘Kidoa’. Mambo vipi, ‘kiraruraru’ cha ushindi kimepungua? Unajisikiaje kuwa mshindi wa shindano hilo maarufu linaloendeshwa kila mwaka na Gazeti la Ijumaa?
Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima, naendelea na mishemishe zangu za kila siku. Suala la kukuandikia wewe barua ni moja kati ya majukumu yangu. Nimekuwa nikifanya hivyo kwa mastaa mbalimbali, leo ni zamu yako.
Nasema ni zamu yako kwani nawe sasa ni staa. Kabla ya kuibuka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt634BsDdHYMiVuVAsPxZ4FcvMI5EVNkUgybJ55ofpbm0idUHQq601t1-6W21WLdmrHBaempjY-Qdd7hT9nMCiXJQ/hoyce.jpg?width=650)
HOYCE TEMU ATISHIWA KUUAWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZuv7CaHNYbrZalg1RK0BBwiviq4KvWIHR1RL2Tj3Cl8*oGoWHBARsG7gfWBo5tFotuqqIYErdnBDMNQsa55SlT8J/TIMBULO.jpg?width=650)
ALLY TIMBULO ATISHIWA KUUAWA
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Aliyemponda Diamond atishiwa maisha
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Masige Bukori ‘Cado Baro’, amesema anazidi kutishiwa maisha kwa kupigiwa simu mara kwa mara, zikimtaka asiende kwenye ukumbi wowote kutumbuiza nyimbo zake. Akizungumza...