KIDOA: MASOGANGE CHA MTOTO KWANGU
![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOhPJScIheOJ7iGvssHY8Y3zmtH7h2r5Bh3fuOdSUTdJ-rkrkdMI2WUyimQufo3666qFj7lfJR8qo7CW7DoxS6Bu/Kidoa.jpg)
Mayasa Mariwata VIDEO Queen anayekuja kwa kasi Bongo, Asha Salumu `Kidoa’ amempa makavu laivu muuza sura mwenziye Agnes Gerald ‘Masogange,’ akimponda kuwa kalio lake siyo orijino kwani wakati mwingine hulijaladia. Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni, Kidoa alisema amekuwa akimshangaa mrembo huyo kwa kujianika mtandaoni akionekana ana kalio kubwa kumbe siyo orijino. “Masogange cha mtoto kwangu, ni...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Kidoa akibidhiwa kitita chake cha Ijumaa Sexiest Girl 2015
Mkurugenzi wa Hamandobe Distributor, Joanita akimkabidhi kitita cha Sh. laki tano mshindi, Kidoa.
Kidoa akikabidhiwa kitita mbele ya Amran Kaima.
Mhariri wa GAzeti la Ijumaa na muandaaji mkuu wa shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2015, Amran Kaima akimpa cheti, Kidoa.
Mhariri wa GAzeti la Ijumaa, Amran KAima (kushoto) akimkabidhi cheti, Kidoa.
Kidoa akiwa ameshikilia cheti chake baada ya kuzawadiwa.
Kidoa katika mapozi tofauti.
Mkurugenzi wa hamandobe, Joanita akiwa katika pozi.
Kidoa...
9 years ago
Bongo522 Dec
Kitendo cha kupupuruka mwili nikawa kama AT kwangu itakuwa ni fedheha kubwa sana– Asema Msechu
![Peter Msechu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Peter-Msechu-300x194.jpg)
Peter Msechu hana mpango wa kupungua mwili ili awaridhishe mashabiki ambao wamekuwa wakimsema kutokana na kujiachia sana mwili.
Muimbaji huyo wa ‘Nyota’ anaamini kuwa mwonekano alionao sasa ni moja ya utambulisho wake, hivyo akipungua mwili inaweza kuharibu ‘image’ yake. Mfano wa anachokimaanisha hapo ni kama Baghdad wa zamani na alivyo sasa unaweza kumsahau baada ya kupungua sana.
Kushoto Baghdad wa sasa, kulia wa zamani
“Mi ninachokiogopa kwenye maisha yangu ni kuwa model, sababu nadhani...
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Kidoa amtangazia vita Zari
Video Queen maarufu Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’.
Musa mateja
Video Queen maarufu Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’ amemtangazia vita mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ akidai atafanya kila njia amnase msanii huyo.
Rafiki wa karibu wa Kidoa aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini alidai kuwa, Kidoa alikuwa akimpenda sana Diamond hata kabla ya kuwa na Zari ndiyo maana ana ndoto za kuwa naye.
Mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’.
“Kidoa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXUd0vKWqmcMKNhiBgjnu6n-GyZueyeR64v98guNUIszdKifFTRPq7fDSTGepBT2P7bwaOSUtWux9*yV4a71XcCC/AshaSalumKidoa.jpg?width=650)
KIDOA AOMBWA PENZI, AGOMA, ATISHIWA KUFANYIZIWA!
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Kidoa aibuka mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015
Asha Salum ‘Kidoa’ (katikati) akiwasalimia mashabiki baada ya kutangazwa mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015 usiku huu Dar Live.
Akikabidhiwa Tuzo na Cheti chake na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa, Amrani Kaima (kulia).
9 years ago
Global Publishers30 Dec
kidoa hongera; kuna maisha baada ya ushindi, jipange!
KWAKO Mshindi wa Shindano la Ijumaa Sexiest Girl, Asha Salum ‘Kidoa’. Mambo vipi, ‘kiraruraru’ cha ushindi kimepungua? Unajisikiaje kuwa mshindi wa shindano hilo maarufu linaloendeshwa kila mwaka na Gazeti la Ijumaa?
Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima, naendelea na mishemishe zangu za kila siku. Suala la kukuandikia wewe barua ni moja kati ya majukumu yangu. Nimekuwa nikifanya hivyo kwa mastaa mbalimbali, leo ni zamu yako.
Nasema ni zamu yako kwani nawe sasa ni staa. Kabla ya kuibuka...
9 years ago
Dewji Blog27 Dec
Kidoa aibuka kidedea Ijumaa Sexiest Girl 2015
Video Queen anayefanya pia filamu, Asha Salum ‘Kidoa’ akiwa na tuzo yake ya Ijumaa Sexiest Girl 2015 baada ya kuwafunika Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Vanessa Mdee ‘Vee ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar.
Kidoa (katikati) akiwasalimia mashabiki baada ya kutangazwa mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015.
…Akilia kwa furaha.
Kidoa akikabidhiwa tuzo na Mkurugenzi wa Hamadombe Distributor, Fatuma Makame.
…Akibusu tuzo.
Akiwa katika picha ya pamoja na mratibu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R3zFIpey3ps/XrbS-zNaMyI/AAAAAAALpmw/-GZeZ0lszT83SIKQeMybc66coSqaqnh6wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-09%2Bat%2B1.47.27%2BPM.jpeg)
TAASISI YA TUMAINI LA MTOTO YATOA ELIMU, MSAADA KATIKA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA CHUKUWAMA
Akitoa elimu kwa watoto wa kituo hicho Mkurugenzi Taasisi ya Tumaini la Mtoto, Maziku Kuwandu amesema kuwa Watoto waliopo kwenye vituo vyao vya kulelewa wamekuwa hawapati elimu ya kujikinga na Virusi vya Corona (Covid 19) ndio maana wachukua fursa hiyo kuwapa elimu watoto hao.
"Taasisi ya Tumaini la Mtoto kupitia...