Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kidoa hongera; kuna maisha baada ya ushindi, jipange!

KIDOA (6)
KWAKO Mshindi wa Shindano la Ijumaa Sexiest Girl, Asha Salum ‘Kidoa’. Mambo vipi, ‘kiraruraru’ cha ushindi kimepungua? Unajisikiaje kuwa mshindi wa shindano hilo maarufu linaloendeshwa kila mwaka na Gazeti la Ijumaa?

Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima, naendelea na mishemishe zangu za kila siku. Suala la kukuandikia wewe barua ni moja kati ya majukumu yangu. Nimekuwa nikifanya hivyo kwa mastaa mbalimbali, leo ni zamu yako.

Nasema ni zamu yako kwani nawe sasa ni staa. Kabla ya kuibuka...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kuna maisha baada ya uchaguzi

VURUGU na visa kwenye chaguzi mbalimbali zinazotokea hapa nchini hivi sasa vimeanza kuonekana ni sehemu ya mchakato huo ingawa mambo hayo yanatia doa ukuaji wa demokrasia. Tanzania iliporidhia mfumo wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Taifa Kwanza: Kuna maisha baada ya uchaguzi

Bila shaka leo ni siku mojawapo ya  muhimu sana katika historia ya kisiasa kwa siku za karibuni.

 

9 years ago

GPL

BABA HAJI: TUKUMBUKE KUNA MAISHA BAADA YA OKTOBA 25

Gabriel Ng’osha
Ukweli mtupu! Msanii wa filamu za Kibongo, Haji Adamu ‘Baba Haji’ amewataka Watanzania wakiwemo wanasiasa kutumia busara katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu kwani bado kuna maisha baada ya uchaguzi utakaofanyika Oktoba, 25. Msanii wa filamu za Kibongo, Haji Adamu ‘Baba Haji’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Baba Haji alifunguka:
“Uchaguzi wa mwaka...

 

9 years ago

Bongo5

Wasanii wasisahau kuna maisha baada ya uchaguzi — Quick Rocka

Quick Rocka ametoa ushauri kwa wasanii wenzake kuacha kujihusisha na siasa moja kwa moja na badala yake hata wanapoitwa kwenye kampeni waendelee kutoa burudani ambayo ndio kazi yao. “Sijui kuna nini lakini naona kama wasanii wamejivika siasa ambayo sio kazi yao, kuna wengine ukiwauliza hawana hata kadi ya chama, ila wamejitwisha kitu ambacho sicho, wasisahau […]

 

9 years ago

Mwananchi

Tupige kura, tupokee matokeo kwa amani na utulivu, kuna maisha baada ya uchaguzi

Keshokutwa, Tanzania inafanya Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

9 years ago

Vijimambo

SIKILIZA WALICHOKISEMA STANSLAUS MABULA (CCM) BAADA YA USHINDI PAMOJA NA EZEKIEL WENJE (CHADEMA) BAADA YA KUSHINDWA.

Stanslaus Shing'oma Mabula akiongea na wanahabari usiku wa kuamkia jana Octoba 27,2015 muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa Ubunge Jimbo la Nyamagana (CCM)

BONYEA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA Ezekiel Dibogo Wenje (Chadema) akiongea na wanahabari muda mfupi kabla ya matokeo kutangazwa usiku wa Kuamkia jana.Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Jijini Mwanza ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi wa Jiji hilo Titho Mahinya akitangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu Jimboni Nyamagana.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ujasiri ulivyotengeneza maisha ya ushindi kwa mama wa nyumbani

sere5

Meneja Mauzo  wa Serengeti Breweries Ltd  Mkoa  wa Morogoro Bw.Moses Bartazary (mwenye kofia) akikabidhi Funguo ya Bajaj Limo yenye uwezo wa kubeba abiria saba kwa  mshindi  wa kwanza wa shindano  la Tutoke  na  Serengeti  Bi Rukia Almas ambaye ni mkazi wa Kihonda na mfanyakazi  katika Bar ya  Kambarage iliyopo manispaa  ya  Morogoro.

Kwa miaka kadhaa, Rukia Almasi, mkazi wa Morogoro amekuwa akizongwa na uvumi kwamba kushiriki promosheni za bahati nasibu ni kupoteza muda, na kwamba ushindi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani