Kidoa amtangazia vita Zari
Video Queen maarufu Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’.
Musa mateja
Video Queen maarufu Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’ amemtangazia vita mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ akidai atafanya kila njia amnase msanii huyo.
Rafiki wa karibu wa Kidoa aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini alidai kuwa, Kidoa alikuwa akimpenda sana Diamond hata kabla ya kuwa na Zari ndiyo maana ana ndoto za kuwa naye.
Mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’.
“Kidoa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMACHOZI YAWATOKA DIAMOND NA ZARI BAADA YA KUONA MABAKI YA MIILI KATIKA VITA YA KIMBALI NCHINI RWANDA
10 years ago
Dewji Blog04 Aug
Wema amtangazia ‘za uso’ Tundu Lissu ifikapo Oktoba
Msanii maarufu wa filamu nchini, Wema Sepetu, amedai kuwa mbunge wa jimbo la Singida mashariki, Tundu Lissu wa CHADEMA, siku zake za ubunge zinahesabika kutoka na kampeni atayosaidiana na mgombea wa CCM wa jimbo hilo Jonathan Njau, ambayo itaiondoa CHADEMA na kulirejesha jimbo hilo CCM. Wema aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari kwenye viwanja vya ofisi ya CCM wilaya ya Ikungi mkoani Singida.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Ikungi
MSSANII maarufu wa filamu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOhPJScIheOJ7iGvssHY8Y3zmtH7h2r5Bh3fuOdSUTdJ-rkrkdMI2WUyimQufo3666qFj7lfJR8qo7CW7DoxS6Bu/Kidoa.jpg)
KIDOA: MASOGANGE CHA MTOTO KWANGU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXUd0vKWqmcMKNhiBgjnu6n-GyZueyeR64v98guNUIszdKifFTRPq7fDSTGepBT2P7bwaOSUtWux9*yV4a71XcCC/AshaSalumKidoa.jpg?width=650)
KIDOA AOMBWA PENZI, AGOMA, ATISHIWA KUFANYIZIWA!
9 years ago
Dewji Blog27 Dec
Kidoa aibuka kidedea Ijumaa Sexiest Girl 2015
Video Queen anayefanya pia filamu, Asha Salum ‘Kidoa’ akiwa na tuzo yake ya Ijumaa Sexiest Girl 2015 baada ya kuwafunika Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Vanessa Mdee ‘Vee ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar.
Kidoa (katikati) akiwasalimia mashabiki baada ya kutangazwa mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015.
…Akilia kwa furaha.
Kidoa akikabidhiwa tuzo na Mkurugenzi wa Hamadombe Distributor, Fatuma Makame.
…Akibusu tuzo.
Akiwa katika picha ya pamoja na mratibu...
9 years ago
Global Publishers30 Dec
kidoa hongera; kuna maisha baada ya ushindi, jipange!
KWAKO Mshindi wa Shindano la Ijumaa Sexiest Girl, Asha Salum ‘Kidoa’. Mambo vipi, ‘kiraruraru’ cha ushindi kimepungua? Unajisikiaje kuwa mshindi wa shindano hilo maarufu linaloendeshwa kila mwaka na Gazeti la Ijumaa?
Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima, naendelea na mishemishe zangu za kila siku. Suala la kukuandikia wewe barua ni moja kati ya majukumu yangu. Nimekuwa nikifanya hivyo kwa mastaa mbalimbali, leo ni zamu yako.
Nasema ni zamu yako kwani nawe sasa ni staa. Kabla ya kuibuka...
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Kidoa aibuka mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015
Asha Salum ‘Kidoa’ (katikati) akiwasalimia mashabiki baada ya kutangazwa mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015 usiku huu Dar Live.
Akikabidhiwa Tuzo na Cheti chake na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa, Amrani Kaima (kulia).
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/P0y0X6852Mc/default.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s72-c/Africanjam2.jpg)
TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s1600/Africanjam2.jpg)
Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...