Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MACHOZI YAWATOKA DIAMOND NA ZARI BAADA YA KUONA MABAKI YA MIILI KATIKA VITA YA KIMBALI NCHINI RWANDA

Hapa Diamond na Zari walivyokuwa wanaangalia mifupa ya miili ya mapigano hayo ya Wahutu na Watusi ambayo yalitikisa dunia.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Majibu ya Diamond Platnumz >> kilichomtoa machozi? Kazi na Wema? hakwenda kwa Zari Uganda.. (+Audio)

Staa wa Bongofleva, Diamond Platnumz amerudi kwa uzito mkubwa kwenye headlines za muziki baada ya kuachia ngoma ya ‘Utanipenda’. Baada ya kuachia video ya ngoma hiyo, leo December 21 2015 kaachia audio rasmi hewani kwenye show ya ‘Leo Tena‘ Clouds FM… kwenye stori zilizopigwa aliulizwa pia kuhusu sababu iliyofanya apost kipande cha video kilichomtoa machozi […]

The post Majibu ya Diamond Platnumz >> kilichomtoa machozi? Kazi na Wema? hakwenda kwa Zari Uganda.. (+Audio) appeared first on...

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND PLATINUMZ,ZARI WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA YA MAUAJI YA KIMBARI,RWANDA

STAA wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz na mpenzi wake Zari wametembelea Makumbusho ya taifa nchini Rwanda na kushuhudia mabaki ya miili ya mamia ya watu waliofariki kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Mauaji ya Kimbari.

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya kushindwa kuzaa na Wema na Penny. Hatimaye Diamond 'ampa' ujauzito Zari

Baada ya sokosoko kuu la kwanini?? muda wote huu kijana Nassib Abdul – Diamond Platnumz pamoja na list yake ndeeeefu ya mabinti wa bongomovies aliowahi kutembea nao hajawahi kuwa hata na mtoto wa kusingiziwa, HATIMAYE jana kupitia kwenye nyezo za kiteknolojia tumeweza kudokezwa juu ya ujauzito alionao mwanadada ZARI ambao ni fika utakuwa wa kijana huyu anayetamba na wimbo wa “Nitampata wapi” ambao wachunguziwa mambo wanadai ETi ni dedication kwa mpenzi wake maarufu wa zamani.

 

USHAHIDI WA...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND NA ZARI WALIVYOTUA NCHINI BURUNDI

Diamond na Zari wakiwa 'close' wakati wa safari yao ya kuelekea Bujumbura. Diamond, Zari na baunsa wa Diamond maarufu kwa jina la Mwarabu baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Bujumbura, Burundi jana.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Sodo za mabaki ya migomba Rwanda

Mradi wa kipekee umeanzishwa nchini Rwanda wa kutengeneza sodo ama taulo zinazotumiwa na wanawake wakati wa hedhi kwa kutumia nyuzi zitokanazo na mabaki ya migomba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAADA YA MAUAJI YA KIMBARI: Rwanda yajikita katika maendeleo

MAUAJI ya halaiki yanayotokana na visasi, ukabila, ubaguzi wa rangi, dini na ugaidi ni matendo  yanayopaswa kupigwa vita ulimwenguni. Mauaji kama hayo yamekuwa yakitokea duniani tangu zama za kale. Mauaji...

 

10 years ago

Vijimambo

KIMENUKA INSTAGRAM LEO, TEAM WEMA WACHARUKA, WAMWEKA MTU KATI DIAMOND BAADA YA TETESI ZA KUTOKA NA ZARI THE LADY BOSS

Kinara wa Team Wema Dougiemasta15 huku instagram amefunguka haya kuhusu Diamond: kiroho safi kaka shemej wala hatugombani..ujue dai ss sote ni waafrica ndio wepesi kuja na conclusion na tunaudhaifu wa kuchunguza ujue shemej wengi tunataman kuamin kuwa hii ni project na surely we will b so proud ila shemej kinamna flan ww huaminiki huwa unakuwa na project nying sana lkn zinaend up kuwa coming soon...

mfano JOKATE ukisema mnashot video sawa lkn matokeo yake unashot hadi behind de scene, penny...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani