Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND PLATINUMZ,ZARI WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA YA MAUAJI YA KIMBARI,RWANDA

STAA wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz na mpenzi wake Zari wametembelea Makumbusho ya taifa nchini Rwanda na kushuhudia mabaki ya miili ya mamia ya watu waliofariki kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Mauaji ya Kimbari.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda yakumbuka mauaji ya Kimbari

Watu nchini Rwanda wanaadhimisha miaka 20 tangu kutokea mauaji ya kimbari mwaka 1994 kwa kuwakumbuka maelfu waliouawa

 

11 years ago

BBCSwahili

Miaka 20 ya mauaji ya kimbari Rwanda

Kumbukumbu ya mauaji ya kimbari Rwanda

 

11 years ago

BBCSwahili

Makovu ya mauaji ya Kimbari Rwanda

Imekuwa ni miaka 20 sasa tangu mauaji ya kimbari yasababishe vifo vya watu zaidi ya laki nane nchini Rwanda.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mahakama ya mauaji ya kimbari Rwanda yafungwa

Mahakama ya kimataifa iliyoundwa kuchunguza mauaji ya kimbari nchini Rwanda ya mwaka wa 1994 {ICTR} imefunga shughuli zake mjini Arusha Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAADA YA MAUAJI YA KIMBARI: Rwanda yajikita katika maendeleo

MAUAJI ya halaiki yanayotokana na visasi, ukabila, ubaguzi wa rangi, dini na ugaidi ni matendo  yanayopaswa kupigwa vita ulimwenguni. Mauaji kama hayo yamekuwa yakitokea duniani tangu zama za kale. Mauaji...

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AHUDHURIA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MAUAJI YA KIMBARI YA RWANDA

 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, akiwa na mwenyeji wake Katibu Mkuu wa Chama Cha RPF-INKOTANYI, Francois Ngarambe baada ya kuwasili mjini Kigali, Rwanda kwenye tafrija ya viongozi wa vyama tawala barani Afrka. Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, akiwa na mwenyeji wake Katibu Mkuu wa Chama Cha RPF-INKOTANYI, Francois Ngarambe baada ya kuwasili mjini Kigali, Rwanda kwenye tafrija ya viongozi wa vyama tawala barani Afrka. Kulia ni Mjumbe wa NEC, Balozi Ali Karume.  Katibu Mkuu wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Félicien Kabuga: Mshukiwa mkuu wa mauaji ya Kimbari Rwanda akamatwa

Félicien Kabuga, miongoni mwa watuhumiwa wa mauaji ya kimbari ya Rwanda, amekamatwa karibu na mji wa Paris, wizara ya sheria ya Ufaransa imetangaza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Ukimya ulivyotanda kumbukumbu ya mauaji ya kimbari Rwanda

Tangu mwaka 1994 shughuli za kumbukumbu za mauaji ya kimbari zimekua zikihudhuriwa na umma wa Wnyarwanda, huku baadhi wakifanya matembezi ya kuwakumbuka wanyarwanyarwanda zaidi wa 8,0000 waliouawa wakati huo lakini mwaka huu shughuli hizo zimefanyika tofauti

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani