Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wema amtangazia ‘za uso’ Tundu Lissu ifikapo Oktoba

DSC00917

Msanii maarufu wa filamu nchini, Wema Sepetu, amedai kuwa mbunge wa jimbo la Singida mashariki, Tundu Lissu wa CHADEMA, siku zake za ubunge zinahesabika kutoka na kampeni atayosaidiana na mgombea wa CCM wa jimbo hilo Jonathan Njau, ambayo itaiondoa CHADEMA na kulirejesha jimbo hilo CCM. Wema aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari kwenye viwanja vya ofisi ya CCM wilaya ya Ikungi mkoani Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

DSC00913

Na Nathaniel Limu, Ikungi

MSSANII maarufu wa filamu...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Makinda, Lukuvi, Lissu uso kwa uso sabasaba

PG4A1491

Waheshimiwa, William Lukuvi (kulia), Anna Abdallah (katikati) na Tundu Lisu wakibadilishana mawazo , Bungeni Mjini Dodoma.(Picha na Maktaba).

Na Mwandishi wetu

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, Kesho atakuwa katika banda la ofisi za Bunge ili kutoa maelezo kwa wananchi kuhusiana na namna ya utendaji wa Bunge.

Akizungumza jana katika banda la ofisi za Bunge lililopo viwanja vya maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa, Ofisa Habari wa Bunge, Owen Mwandumbya, alisema kuwa Makinda atambatana na...

 

11 years ago

GPL

Tundu Lissu…

Tundu Lissu. Na Saleh Ally
Yanga damu aliyevuliwa viatu na mashabiki wa Simba SC
MMOJA wa wanasiasa machachari nchini ni Tundu Lissu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Lissu ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), amekuwa akitajwa karibu kila sehemu yanapozungumziwa masuala mbalimbali yanayohusiana na siasa hapa nchini kutokana na umaarufu alionao.… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tundu Lissu awalipua mgambo

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema anachukizwa na mgambo kuchangisha fedha za michango mbalimbali bila ya kujali kuwa wanazidisha umaskini kwa wananchi. Aidha, alisema kuwa serikali imekuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tundu Lissu atikisa Bunge

 Mjumbe wa Bunge la Katiba, Tundu Lissu amesema Tanganyika ilikufa kwa amri iliyotolewa na Mwalimu Julius Nyerere na siyo kwa makubaliano katika hati ya Muungano.

 

11 years ago

Habarileo

Kinana- Wananchi mpuuzeni Tundu Lissu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekemea vitendo vya baadhi ya wabunge kuwakataza wananchi kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao kwani tabia hiyo inadhoofisha juhudi za Serikali kupambana na umasikini.

 

10 years ago

GPL

TUNDU LISSU ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE

Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) na Mwanasheria Mkuu wa Chama hicho, Mh. Tundu Antipas Lissu akiwa katika ofisi za Global Publishers. Mh. Tundu Lissu akizungumza na waandishi wa habari wa Global Publishers, hawapo pichani. Mh. Tundu Lissu akiendelea kufafanua jambo kwa waandishi wa habari.…

 

10 years ago

Mwananchi

Tundu Lissu apambana dakika 125

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu juzi alitumia dakika 125 kupinga muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Maafa wakati Bunge lilipokaa kama kamati kupitisha vipengele.

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Vijimambo

TUNDU LISSU AJIBU SHUTUMA ZA DR. SLAA

Mhe. Tundu Lissu akijibu shutuma alizotoa Dr. Slaa alipokua akifanya mahojiano na Sunday Shomari wa VOA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani