Tundu Lissu awalipua mgambo
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema anachukizwa na mgambo kuchangisha fedha za michango mbalimbali bila ya kujali kuwa wanazidisha umaskini kwa wananchi. Aidha, alisema kuwa serikali imekuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 May
Lissu awalipua mawaziri, wabunge
>Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu jana amewalipua baadhi ya mawaziri na wabunge kwa kugeuka ombaomba katika mifuko ya hifadhi ya jamii.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOKHrXcHg31XWc8CTsVuMwjNHW*jW1v5rjxBXWEHYUS*H1EMukTSOwII9yuZJPCGDsx0u70k9WwvTRBPrHXJ78Fs/lissu.jpg?width=650)
Tundu Lissu…
Tundu Lissu. Na Saleh Ally
Yanga damu aliyevuliwa viatu na mashabiki wa Simba SC
MMOJA wa wanasiasa machachari nchini ni Tundu Lissu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Lissu ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), amekuwa akitajwa karibu kila sehemu yanapozungumziwa masuala mbalimbali yanayohusiana na siasa hapa nchini kutokana na umaarufu alionao.… ...
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Tundu Lissu atikisa Bunge
 Mjumbe wa Bunge la Katiba, Tundu Lissu amesema Tanganyika ilikufa kwa amri iliyotolewa na Mwalimu Julius Nyerere na siyo kwa makubaliano katika hati ya Muungano.
9 years ago
Vijimambo02 Sep
TUNDU LISSU AJIBU SHUTUMA ZA DR. SLAA
Mhe. Tundu Lissu akijibu shutuma alizotoa Dr. Slaa alipokua akifanya mahojiano na Sunday Shomari wa VOA
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Tundu Lissu: Sitta ananitonesha vidonda
>Mjumbe wa Kamati ya Kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, Tundu Lissu amesema ktendo cha Mwenyekiti wa Bunge la Katiba kubadilisha kanuni kwa kutoa muda zaidi wa kuwasilishwa kwa rasimu ya katiba, kinamkera.
11 years ago
GPL16 Apr
10 years ago
GPLTUNDU LISSU ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE
Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) na Mwanasheria Mkuu wa Chama hicho, Mh. Tundu Antipas Lissu akiwa katika ofisi za Global Publishers. Mh. Tundu Lissu akizungumza na waandishi wa habari wa Global Publishers, hawapo pichani. Mh. Tundu Lissu akiendelea kufafanua jambo kwa waandishi wa habari.…
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Tundu Lissu apambana dakika 125
Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu juzi alitumia dakika 125 kupinga muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Maafa wakati Bunge lilipokaa kama kamati kupitisha vipengele.
11 years ago
Habarileo22 May
Kinana- Wananchi mpuuzeni Tundu Lissu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekemea vitendo vya baadhi ya wabunge kuwakataza wananchi kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao kwani tabia hiyo inadhoofisha juhudi za Serikali kupambana na umasikini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania