Muigizaji Pastor Myamba apewa zawadi ya Tsh milioni 250 kwenye harusi yake.
Harusi ya Pastor Myamba pengine ndiyo harusi ya star wa Tanzania kuzawadia mali nyingi zaidi ! Myamba amefunga ndoa Zanzibar weend hii huku akizawadia zawadi kibao za mamilioni likiwemo gari na pesa taslim shilingi milioni 250 za kitanzania. Mastaa mbalimbali wamehudhuria harusi hiyo visiwani Zanzibar.
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo503 Aug
Picha: Kwa gari jipya na zawadi ya shilingi milioni 250, harusi ya Pastor Myamba ni funika bovu!
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Minoti ya zawadi yamchanganya Pastor Myamba
![Mwigizaji wa filamu nchini, Emmanuel Myamba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Emmanuel-Myamba.jpg)
Mwigizaji wa filamu nchini, Emmanuel Myamba
NA PAULINA LYAPA (TUDARCO)
MWIGIZAJI wa filamu za bongo, Emmanuel Myamba, maarufu kwa jina la Pastor Myamba, amesema hakutegemea kupata kiasi kikubwa cha zawadi ya fedha katika sherehe ya harusi yake iliyofanyika Visiwani Zanzibar katika ukumbi wa Bwawani, hali ambayo anaona inamchanganya.
Katika sherehe hiyo, mwigizaji huyo alipokea zawadi mbalimbali kutoka ndugu, jamaa na marafiki wa karibu, zikiwemo fedha alizokabidhiwa na kamati zilizobebwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BvvAZRNFqnTZu92vkIVUUurbN39syITZhjnVudK*kh5AM2AIeaULgPvRcU5QRMdg4IJEB4NW7kzolWhMtAoLQXw3MxJNHaGo/1MYAMBACAR.jpg?width=650)
PASTOR MYAMBA APATA AJALI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jzr4bFdy-IJ1T2B0IMNtNePix5-N9A7HGXC36IsDJx6MQaXWBAQYZPkzIeQXdL3lQv-42iVfU7SAAoo73cTzlTa/pastor.jpg)
PASTOR MYAMBA NDOA YA KUFURU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuV4dACvGXbc9n*xUKArKidi48HNS9VzgiutZldDbutCZsZgUcacKnJovVn0l83uS3p3Iv7tbReTYi-WUDWQE*tr/wema.jpg?width=650)
WEMA AMHARIBIA PASTOR MYAMBA
11 years ago
Michuzi21 May
PROFESA ANA TIBAIJUKA AKABIDHI RASMI ZAWADI YAKE YA TSH.9,500,000 MAMA SHUJAA WA CHAKULA
11 years ago
Dewji Blog21 May
Profesa Ana Tibaijuka akabidhi rasmi zawadi yake ya Tsh.9,500,000 kwa Mama Shujaa wa Chakula
Mkurugenzi mtendaji wa DMB ambao ndio wamiliki wa Shindano la Maisha Plus Masoud Ally ‘Kipanya’ akiwa anaendelea kuendesha ratiba wakati wa Sherehe fupi za Waziri wa Nyumba Ardhi na maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka kukabidhi zawadi kwa washindi wa Mama shujaa wa Chakula pamoja na washiriki wote wa Maisha Plus 2014.
Afisa Mradi wa UKIMWI kutoka OXFAM Ester Mhagama akifungua rasmi sherehe hiyo fupi ya utoaji wa zawadi pamoja na kumkaribisha Mgeni rasmi apate kuongea na Mama...
11 years ago
GPLPROFESA ANA TIBAIJUKA AKABIDHI RASMI ZAWADI YAKE YA TSH 9,500,000 MAMA SHUJAA WA CHAKULA
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Bi harusi apewa talaka siku ya harusi