Minoti ya zawadi yamchanganya Pastor Myamba
Mwigizaji wa filamu nchini, Emmanuel Myamba
NA PAULINA LYAPA (TUDARCO)
MWIGIZAJI wa filamu za bongo, Emmanuel Myamba, maarufu kwa jina la Pastor Myamba, amesema hakutegemea kupata kiasi kikubwa cha zawadi ya fedha katika sherehe ya harusi yake iliyofanyika Visiwani Zanzibar katika ukumbi wa Bwawani, hali ambayo anaona inamchanganya.
Katika sherehe hiyo, mwigizaji huyo alipokea zawadi mbalimbali kutoka ndugu, jamaa na marafiki wa karibu, zikiwemo fedha alizokabidhiwa na kamati zilizobebwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo Movies04 Aug
Muigizaji Pastor Myamba apewa zawadi ya Tsh milioni 250 kwenye harusi yake.
Harusi ya Pastor Myamba pengine ndiyo harusi ya star wa Tanzania kuzawadia mali nyingi zaidi ! Myamba amefunga ndoa Zanzibar weend hii huku akizawadia zawadi kibao za mamilioni likiwemo gari na pesa taslim shilingi milioni 250 za kitanzania. Mastaa mbalimbali wamehudhuria harusi hiyo visiwani Zanzibar.
11 years ago
Bongo503 Aug
Picha: Kwa gari jipya na zawadi ya shilingi milioni 250, harusi ya Pastor Myamba ni funika bovu!
10 years ago
GPLPASTOR MYAMBA APATA AJALI
11 years ago
GPLPASTOR MYAMBA NDOA YA KUFURU!
11 years ago
GPLWEMA AMHARIBIA PASTOR MYAMBA
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Matokeo yamchanganya kocha Mbeya City
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Foleni ya Nigeria yamchanganya Trey Song
LAGOS, NIGERIA
MKALI wa muziki wa RnB nchini Marekani, Tremaine Neverson ‘Trey Songz’, ameshangazwa na foleni ya nchini Nigeria baada ya kuwasili nchini humo kwa ajili ya kufanya shoo kwenye Sikukuu ya Krismasi.
Shoo hiyo ilipigwa kwenye ukumbi wa Eko Convention Centre, mjini Lagos, lakini baada ya msanii huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege alitumia saa 2 kutoka uwanjani hapo hadi kwenye hoteli ambayo alifikia.
“Ni mara yangu ya kwanza kuona foleni ya magari kama niliyokutana nayo Nigeria,...
9 years ago
GPLKAJALA AMMWAGIA ZARI MINOTI!
10 years ago
GPLMINOTI YA ESCROW INAUMA SANA!