Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Kwa gari jipya na zawadi ya shilingi milioni 250, harusi ya Pastor Myamba ni funika bovu!

Kwa ukubwa wa zawadi aliyopewa, huenda harusi ya Pastor Myamba ikawa harusi ya staa wa Tanzania iliyofana na yenye stunts zaidi. Muigizaji huyo wa filamu aliukimbia mji wa Dar na kwenda kufungia harusi yake visiwani Zanzibar ambako hakuishia kualika mastaa wenzie tu, bali pia zawadi alizopewa, zinatosha kuanzisha kampuni yake nyingine. Pastor Myamba na mkewe […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo Movies

Muigizaji Pastor Myamba apewa zawadi ya Tsh milioni 250 kwenye harusi yake.

Harusi ya Pastor Myamba pengine ndiyo harusi ya star wa Tanzania kuzawadia mali nyingi zaidi ! Myamba amefunga ndoa Zanzibar weend hii huku akizawadia zawadi kibao za mamilioni likiwemo gari na pesa taslim shilingi milioni 250 za kitanzania. Mastaa mbalimbali wamehudhuria harusi hiyo visiwani Zanzibar.

 

11 years ago

Mtanzania

Minoti ya zawadi yamchanganya Pastor Myamba

Mwigizaji wa filamu nchini, Emmanuel Myamba

Mwigizaji wa filamu nchini, Emmanuel Myamba

NA PAULINA LYAPA (TUDARCO)

MWIGIZAJI wa filamu za bongo, Emmanuel Myamba, maarufu kwa jina la Pastor Myamba, amesema hakutegemea kupata kiasi kikubwa cha zawadi ya fedha katika sherehe ya harusi yake iliyofanyika Visiwani Zanzibar katika ukumbi wa Bwawani, hali ambayo anaona inamchanganya.

Katika sherehe hiyo, mwigizaji huyo alipokea zawadi mbalimbali kutoka ndugu, jamaa na marafiki wa karibu, zikiwemo fedha alizokabidhiwa na kamati zilizobebwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga ‘funika bovu’

yangaNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

FUNIKA Bovu! Ndivyo unavyoweza kuielezea timu ya Yanga ikiwa ni baada ya kuweka rekodi ya kutwaa taji la Ngao ya Jamii mara tano tofauti na timu nyingine yoyote Tanzania.

Yanga imeandika rekodi hiyo mara baada ya kuiliza Azam FC juzi kwa mikwaju ya penalti 8-7 kufuatia suluhu ndani ya dakika 90 na kutwaa taji hilo kwa mara ya tatu mfululizo mbele ya matajiri hao.

Wanajangwani hao wametwaa taji hilo tena mwaka 2001 na 2010 kwa kuifunga Simba mara mbili. Hivyo...

 

10 years ago

Bongo5

Angelina Jolie na Brad Pitt wauza picha zao za harusi kwa shilingi bilioni 3.3

Kanye West na Kim Kardashian walikataa kuuza picha zao za harusi lakini si kwa Angelina Jolie na Brad Pitt. Mastaa hao ambao kwa pamoja hujulikana kama Brangelina wameuza picha zao za harusi kwa dola milioni 2, ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 3.3 za Tanzania. Kiasi hicho cha fedha kimepatikana baada ya kulipwa na majarida […]

 

10 years ago

GPL

SERENGETI FIESTA SHINYANGA FUNIKA BOVU

Ommy Dimpoz akiimba na mashabiki waliofurika ndani ya Uwanja wa Kambarage. Nyomi ya watu ikipiga shangwe la kufa mtu uwanjani hapo.…

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA MAGUFULI MJI MDOGO WA MGANZA FUNIKA BOVU

Umati wa watu waliojitokeza kwenye mkutano wa Magufuli kwenye mji mdogo wa Mganza.Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa kata ya Mganza ambapo aliwaaga rasmi baada ya kuwatumikia kwa miaka 20 kama mbunge wao.Umati wa wakazi wa mji mdogo wa Mganza waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara ambapo mgombea wa Urais kupitia CCM aliwashukuru na kuwaaga kwa miaka 20 aliowatumikia kama Mbunge wao na kuwataka wananchi wachague Mbunge mchapakazi kama...

 

10 years ago

Mwananchi

Kili Dar funika ‘bovu’: Mashabiki waikubali, waipongeza TBL

Ziara ya kimuziki ya Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita ilifikia kikomo chake kwa kishindo jijini Dar es Salaam baada ya zoezi la kufunga tamasha kwa burudani kali kuchangamka kwa takriban saa zote nane huku umati mkubwa wa watu ukiwa umehamasika kwa kiasi kikubwa kutokana na burudani iliyokuwa ikitolewa licha ya mvua za hapa na pale zilizokuwa zinanyesha.

 

11 years ago

GPL

WEMA AMHARIBIA PASTOR MYAMBA

Na Waandishi Wetu
STAA wa filamu mwenye jina kubwa nchini, Wema Sepetu hivi karibuni alimuharibia siku Emanuel Myamba maarufu kama Pastor Muyamba, kwa kushindwa kufika kwenye hafla iliyokuwa imeandaliwa na chuo chake cha sanaa ‘TFTC’ akiwa kama mgeni rasmi. Mtoa habari wetu ndani ya taasisi hiyo aliliambia gazeti hili kuwa, Wema aliombwa na kukubali kuhudhuria shughuli hiyo, lakini alipopigiwa simu dakika za mwisho...

 

11 years ago

GPL

PASTOR MYAMBA NDOA YA KUFURU!

Stori:  Joseph Shaluwa na Gladness Mallya KUFURU! Staa wa filamu za Kibongo, anayepatia zaidi kuigiza kama Mchungaji, Emmanuel Myamba ‘Pastor Myamba’ amefunga ndoa ya kihistoria ambayo imeteketeza mamilioni kuikamilisha, Risasi Mchanganyiko lina sinema nzima. Emmanuel Myamba ‘Pastor Myamba’na mkewe Praxceda Kassela wakiwa wenye nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa. Pastor Myamba amefunga ndoa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani