Foleni ya Nigeria yamchanganya Trey Song
LAGOS, NIGERIA
MKALI wa muziki wa RnB nchini Marekani, Tremaine Neverson ‘Trey Songz’, ameshangazwa na foleni ya nchini Nigeria baada ya kuwasili nchini humo kwa ajili ya kufanya shoo kwenye Sikukuu ya Krismasi.
Shoo hiyo ilipigwa kwenye ukumbi wa Eko Convention Centre, mjini Lagos, lakini baada ya msanii huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege alitumia saa 2 kutoka uwanjani hapo hadi kwenye hoteli ambayo alifikia.
“Ni mara yangu ya kwanza kuona foleni ya magari kama niliyokutana nayo Nigeria,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania30 Dec
Trey Song kufanya ‘colabo’ na Wizkid, Davido
LAGOS, NIGERIA
NYOTA wa muziki nchini Marekani, Tremaine Neverson ‘Trey Song’, amesema yupo tayari kufanya kazi na mkali wa muziki kutoka Nigeria, Wizkid.
Msanii huyo ambaye alikuwa nchini humo wiki iliyopita kwa ajili ya kufanya shoo kwenye mkesha wa sikukuu ya Krismasi, amesema amekuwa akivutiwa na wasanii wa Nigeria, hivyo yupo tayari kufanya nao kazi huku akitarajia kufanya na Wizkid.
“Afrika kuna wasanii wengi ambao wana uwezo wa kufanya muziki wa hali ya juu, tayari nimefanya kazi na...
9 years ago
Bongo521 Dec
Trey Songz athibitisha mbele ya mashabiki wa Nigeria juu ya collabo aliyofanya na Davido
![trey n dav](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/trey-n-dav-300x194.jpg)
Kwenye orodha ya nyimbo za album mpya ya Davido “B.A.D.D.E.S.T” ambayo ilikuwa itoke mwishoni mwa mwaka huu kabla ya kusogezwa hadi mwakani 2016, kuna wimbo ambao staa huyo wa Nigeria amemshirikisha muimbaji wa R&B kutoka Marekani, Trey Songz.
Licha ya kuwa aliwahi kuthibitisha kupitia Twitter, Trey Songz ambaye Ijumaa iliyopita (Dec.18) alitumbuiza Lagos, Nigeria kwenye tamasha kubwa la kila mwaka Rhythm Unplugged, mitandao ya Nigeria imeripoti kuwa Trey alithibitisha kwa mara nyingine...
11 years ago
Michuzi21 Jun
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Matokeo yamchanganya kocha Mbeya City
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Minoti ya zawadi yamchanganya Pastor Myamba
![Mwigizaji wa filamu nchini, Emmanuel Myamba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Emmanuel-Myamba.jpg)
Mwigizaji wa filamu nchini, Emmanuel Myamba
NA PAULINA LYAPA (TUDARCO)
MWIGIZAJI wa filamu za bongo, Emmanuel Myamba, maarufu kwa jina la Pastor Myamba, amesema hakutegemea kupata kiasi kikubwa cha zawadi ya fedha katika sherehe ya harusi yake iliyofanyika Visiwani Zanzibar katika ukumbi wa Bwawani, hali ambayo anaona inamchanganya.
Katika sherehe hiyo, mwigizaji huyo alipokea zawadi mbalimbali kutoka ndugu, jamaa na marafiki wa karibu, zikiwemo fedha alizokabidhiwa na kamati zilizobebwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNXzLjJK02RSNGuJ1SE*pCXmpb1qxbCGm59T8QWCM9UWboJ4Nmd32BBixyYvbMJDTWy3MWs1JxnoexRHVDhzVULZ/IDRIS.jpg?width=650)
‘MASSAGE’ YAMCHANGANYA IDRIS BIG BROTHER
10 years ago
Bongo521 Aug
New Video: Trey Songz — What’s Best For You
9 years ago
Bongo515 Sep
Video: J.R. Ft Trey Songz — Best Friend
10 years ago
Bongo520 Nov
New Video: B.o.B Ft. Trey Songz — Not For Long