Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘MASSAGE’ YAMCHANGANYA IDRIS BIG BROTHER

Idris Sultan, mwakilishi wa Tanzania kwenye Big Brother. Johannesburg, Afrika Kusini
OOIISSHH!!! Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele katika mjengo wa Big Brother huko Afrika Kusini, ndivyo ambavyo matukio mazuri na ya kimahaba zaidi yanavyozidi kutokea. Juzikati, mshikaji wetu kutoka pande hizi alijikuta akifanyiwa ‘massage’ kabambe kutoka kwa bi shosti Goitse kutoka pande za Botswana. Ishu ilikuwa hivi; Goitse...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Vote Idris Sultan to win Big Brother Africa


How to Vote
1.Vote for free up to 100 times on the website and again up to 100
times on the mobile site

     FIRST register here
     https://connect.dstv.com/4.0.863/en-ZA/Login/?returnUrl=http%3A%2F%2Fbigbrotherafrica.dstv.com%2Fvote

     It will take you 5 minutes only to send 100 free votes to Idris
2.Download the WeChat app on your smartphone, add ID BigBrotherAfrica
and vote up to 100 times  FOR FREE !

3.In Tanzania through sms " VOTE Idris" and send to 15426  Vote up to
100 times by SMS...

 

10 years ago

Bongo5

Idris Sultan aibuka mshindi wa shilingi milioni 514 za Big Brother

Idris Sultan ndio mshindi wa Big Brother Africa Hotshots. Baada ya kutupa karata yake kwa takriban miezi miwili ndani ya jumba hilo lililopo nchini Afrika Kusini, Afrika imemchagua kuwa mshindi wa msimu huo wa Big Brother na hivyo kushinda kitita cha $300,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 514 za Tanzania. Idris ambaye ni mpiga […]

 

10 years ago

Vijimambo

MPIGIE KURA IDRIS KUBAKI KWENYE JUMBA LA BIG BROTHER AFRICA

BOFYA HAPO JUU VOTE AU PIGA KURA KISHA CHAGUA JINA LA IDRIS PIGA KURA YAKO HAPO MOJA KWA MOJA. PIA UNAWEZA KUMPIGIA KURA KWA UJUMBE MFUPI WA MAANDISHI YAANI SMS ANDIKA NENO VOTE IDRIS TUMA KWENDA NAMBA 15426 MPIGIE KURA MARA NYINGI UWEZAVYO

 

10 years ago

Michuzi

Mshindi wa Big Brother Africa 2014,idris sultan awasili nchini

Mshindi wa Shindano la Big Brother Africa 2014,Idris Sultan akishangilia wakati alilakiwa na Washabiki wake waliojitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius K. Nyerere,Jijini Dar es salaam leo akitokea nchini Afrika Kusini yalikokuwa yakifanyika mashindano hayo.Kushoto kwake ni Laveda aliekuwa mshiriki mweza wa Idris.Idris akionekana ni mwenye furaha kubwa sana baada ya kuwasili nchini.Meneja Uhusiano wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Barbara Kambogi (kati) akijadiliana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani