KIKONGWE WA MIAKA 76 AAMUA KUJITENGENEZEA JENEZA LAKE MWENYEWE KWA SABABU YA UGUMU WA MAISHA
Bi Scholastika Mhagama akiwa katika mlango wa nyumba yake. ---------------------Na Oswald Ngonyani wa demashonews - Peramiho.Wahenga walisema ‘Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni;’ Jamii inazidi kujawa na chuki na ukatili ndani yake, imekuwa kawaida siku hizi kusikia fulani kamuua fulani kwa kisa kisichokuwa na maana.
Maalbino wanakatwa viungo vyao kwa visingizio vya kupata utajiri kwa watu wasiokuwa na huruma, watoto wadogo wananyimwa haki zao na kuwekwa ndani ya maboksi na wengine...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo20 Jan
HII HAPA INAMHUSU YULE KIKONGWE ALIYEVUNJA HISTORIA KWA KUJIANDALIA JENEZA, HIZI HAPA SABABU ZINAZOMFANYA AJIANDAE KWA KIFO
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Vijana waishi vyooni kwa ugumu wa maisha
VIJANA wanne wakazi wa mji wa O’murushaka, Kata ya Bugene, wilayani Karagwe, wanaishi kwenye vyoo vya huduma vya wasafiri vilivyopo katika mji huo kwa miezi sita sasa kwa madai ya...
11 years ago
GPLABIRIA AAMUA KUBADILI TAIRI LA BAJAJI MWENYEWE
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tK7x5nteWDQ/VEwIdP5QkgI/AAAAAAADKkc/t0kYCCkDwkQ/s72-c/sitti2.jpg)
Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu, aamua kujivua taji mwenyewe
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Kutotafakari mwanzo wa ugumu wa maisha
WIKI iliyopita niliandika makala nikilalamikia michango mikubwa ya sherehe, wamejitokeza wasomaji wengi kuniunga mkono. Karibu wote waliowasiliana na mimi baada ya kuisoma makala hiyo wameniomba niuendeleze mjadala huo kuzidi kuweka...
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Ugumu wa maisha ni kipimo cha akili
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Adha ya michango na ugumu wa maisha wa kujitakia
NIPO kazini, mfanyakazi mwenzangu ananiletea kadi ya kuomba mchango wa harusi ya mdogo wake. Papo hapo nakumbuka siku hiyo ndiyo ya mwisho ya kuwasilisha michango kwa ajili ya sherehe ya...
10 years ago
Bongo508 Oct
Mwanamke ajioa mwenyewe baada ya kuchoka kuwa single kwa miaka 6!
11 years ago
Habarileo14 Feb
'Bei mpya ya umeme chanzo cha ugumu wa maisha'
WAKAZI wa Mji wa Sumbawanga wamelalamikia bei mpya ya umeme kwamba imechangia ugumu wa maisha kwao kutokana na vitu vingi kupanda gharama.