Kwa hili jipya la ‘StarTimes’ mawe yameiva na kuni zimebaki.

Waswahili wanasema ukichemsha mawe kuni zinaisha kumaanisha kuwa kuna vitu haviwezekani, lakini Startimes wamekuja kivingine kabisa na kuonyesha kumbe mawe yanaweza yaaiva, kuni ndio zikabaki.
Startimes Tanzania, wale magwiji wa dijitali wametuletea watanzania Androi Application ambayo inakuwezesha kufuatilia chaneli uzipendazo huku ikikupa taarifa za vipindi vyako usivikose. Kama hiyo haitoshi, Tenbre itakuwezesha kuchat na watazamaji wengine wa vipindi uvipendavyo, manatazama kipindi kisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi03 Jul
CHEF ISSA ATOA SOMO LA KUBANIKA MKATE KWA KUTUMIA KUNI KWA VIJANA WA SCOUT UGHAIBUNI




5 years ago
Michuzi
MR IBU MUIGIZAJI MAARUFU ALIYEANZA MAISHA KWA KUUZA KUNI

ANAFAHAMIKA zaidi kwa jina la "Mr.Ibu" ni John Ikechukwu Okafor mwigizaji na mchekeshaji kutoka nchini Nigeria, Okafor anatajwa kuwa mchekeshaji mashuhuri ndani na nje ya nchi hiyo anayemiliki utajiri mkubwa kupitia sanaa yake.
Okafor alizaliwa Oktoba 17, 1961 katika mji wa Enugu, Kusini Mashariki mwa Nigeria, alizaliwa na kukulia huko pamoja na kupata elimu yake ya msingi na sekondari pia an taaluma ya uandishi wa habari aliyoipata katika chuo cha (IMT.) Tangu...
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Uongozi wa StarTimes waishukuru Serikali kwa ushirikiano mzuri inaowapa
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akimkaribisha ofisini kwake Makamu wa Rais wa Kampuni ya Star Times Tanzania Bi. Zuhura Hanif leo jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akielezea jambo wakati wa mazungumzo baina yake na uongozi wa Star Times waliomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. LEO...
10 years ago
Michuzi
Wateja StarTimes kununua king’amuzi kwa shilingi 4000


9 years ago
Michuzi
STARTIMES YAKABIDHI JEZI KWA TIMU ZA LIGI DARAJA LA KWANZA SFDL


11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mambo yameiva ndani ya banda la MeTL Group kwenye maonyesho ya Sabasaba!
Muonekano wa lango kuu la kuingia ndani ya banda la Makampuni ya MeTL Group kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyozinduliwa rasmi jana kwa kupewa baraka na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Sefu Iddi katika Uwanja wa Maonesho wa Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.
Utajiuliza kwani LG wapo ndani ya Banda la MeTL Group kwenye maonyesho ya Sabasaba kwa sababu MeTL Group wamekuwa Mawakala waliothibitishwa Tanzania nzima (Authorized...