Wateja StarTimes kununua king’amuzi kwa shilingi 4000
![](http://2.bp.blogspot.com/-wK__7PDpw9M/VLitjtep6SI/AAAAAAAG9vc/d8A4rfmlZdo/s72-c/kutuma2.jpg)
Meneja Mauzo wa StarTimes Tanzania, David Kisaka (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa bei mpya ya king’amuzi kitakakochouzwa kwa shilingi 4000 sambamba na kifurushi kipya cha NYOTA cha malipo ya 4000 kwa mwezi, kulia pamoja naye ni Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Jacky Yu. Bei hiyo mpya ya king’amuzi na kifurushi itamfanya mteja afurahie chaneli zisizopungua 16 ikiwa 9 ni za kimataifa na 7 za nyumbani kwa muda wa miezi saba na nusu.
Baadhi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vkHkxqajUXE/VSePK7jHTMI/AAAAAAAC3Cc/6S1kXDSyaM8/s72-c/For%2BAds%2B(3).png)
Kutoka ving’amuzi hadi ‘Android Application’,STARTIMES Hawakamatiki.
Application hiyo inayofanya kazi katika simu zote zenye kutumia mifumo ya Android itakuwezesha kufahamu ratiba za chaneli zako zote kwa siku saba (wiki moja) zijazo, kuweka ‘reminders’ kwenye vipindi uvipendavyo, kuchat na watumiaji wengine wa StarTimes na kukusanya sarafu au‘coins’ zinazoweza kukombolewa na kujishindia zawadi mbalimbali.
![](http://4.bp.blogspot.com/-vkHkxqajUXE/VSePK7jHTMI/AAAAAAAC3Cc/6S1kXDSyaM8/s1600/For%2BAds%2B(3).png)
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Multichoice yazindua king’amuzi kipya
KATIKA kuelekea michuano ya Kombe la Dunia itakayopigwa nchini Brazil mwaka huu, Kampuni ya Multichoice Tanzania imezindua king’amuzi chenye kumwezesha mtazamaji kukitumia kwa kurekodi vipindi mbalimbali ambavyo vilirushwa na kuviangalia...
10 years ago
GPLDSTV YAZINDUA KING’AMUZI KIPYA
10 years ago
Michuzi04 Feb
MULTICHOICE YAZINDUA KING’AMUZI KIPYA CHA DStv HD
![DSC_0100](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0100.jpg)
Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi (Katikati) akifafanua jambo kwenye mkutano na wanahabari (hawapo pichani), wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa king'amuziki kipya cha DStv HD leo jijini Dar. Kulia ni kwake ni Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo na kushoto ni Meneja Masoko wa Multichoice Tanzania, Furaha Samalu.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog)
Na Andrew ChaleKAMPUNI ya MultiChoice Tanzania wasambazaji wa ving’amuzi vya DStv,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vxSmXxGk9UQ/U2ldMyuZWFI/AAAAAAAFf-U/2Qpd6TKMEtU/s72-c/MMGS4623.jpg)
DStv wazindua king'amuzi kipya cha Exprola jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-vxSmXxGk9UQ/U2ldMyuZWFI/AAAAAAAFf-U/2Qpd6TKMEtU/s1600/MMGS4623.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PxkzaTLlr_U/U2ldOu00iPI/AAAAAAAFf-c/AbHSBpmsIrU/s1600/MMGS4596.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VLJF3f6-8TI/U2ldRB8DUqI/AAAAAAAFf-k/frBLR1FCbJs/s1600/MMGS4720.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-k3BFQWHXLz8/VRFdSXrt4HI/AAAAAAAHM4Y/6ctbDCDdKlk/s72-c/001.jpg)
WATEJA WA DUKA LA WOOLWORTHS KUNUNUA KWA NUSU BEI PASAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-k3BFQWHXLz8/VRFdSXrt4HI/AAAAAAAHM4Y/6ctbDCDdKlk/s1600/001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-w7FqrniNoLg/VRFdUS9jIjI/AAAAAAAHM5E/WtLfAD9KUfQ/s1600/004.jpg)
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Serikali imetumia zaidi ya Shilingi Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula Bw. Charles akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu mafanikio yaliyopatikana na wakala hao ikiwamo kutumia Zaidi ya Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima katika kipindi cha Mwaka 2013/2014. wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mipango na Uendeshaji wa wakala huo Bi. Anna Mapunda.
Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo...
11 years ago
Dewji Blog08 May
Mult Choice Tanzania (DSTV) wazindua king’amuzi kipya na cha kisasa aina ya Explorer
Wadau na wateja wa DSTV wakijadiliana jambo na Meneja uendeshaji Ronald Shelukindo wakati wa uzinduzi wa king’amuzi chao kipya aina ya explorer
Wageni waalikwa na wateja wa DSTV wakibadilishana mawazo ndani ya ukumbi wa Southern Sun Hotel jana kwenye uzinduzi wa king’amuzi kipya aina ya Explorer
Edo Kumwembe akiuliza jambo kwa Meneja mahusiano wa DSTV Barouba Kambogi wa nne kutoka kushoto jana kwenye Hotel ya Southern Sun
Wateja na wadau wa DSTV wakiwa wanabadilishana mawazo...
11 years ago
GPLMULT CHOICE TANZANIA(DSTV) WAZINDUA KING'AMUZI KIPYA NA CHA KISASA AINA YA EXPLORER