Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kutoka ving’amuzi hadi ‘Android Application’,STARTIMES Hawakamatiki.

Kampuni ya STARMEDIA Technology maarufu kama Startimes imezindua rasmi ‘Android Application’ hii leo jijini Dar es Salaam.
Application hiyo inayofanya kazi katika simu zote zenye kutumia mifumo ya Android itakuwezesha kufahamu ratiba za chaneli zako zote kwa siku saba (wiki moja) zijazo, kuweka ‘reminders’ kwenye vipindi uvipendavyo, kuchat na watumiaji wengine wa StarTimes na kukusanya sarafu au‘coins’ zinazoweza kukombolewa na kujishindia zawadi mbalimbali.Uzuri mwingine wa application hii...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Serikali kupunguza bei ya ving’amuzi

KATIKA kuhakikisha ving'amuzi vinawafikia wananchi wengi na kwa bei nafuu, Serikali inatarajia kushusha bei zaidi za kodi ya ving'amuzi, ili kampuni nyingi zijitokeze kuuza ving'amuzi kwa wananchi walio wengi, tofauti na sasa. Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, alisema hayo jana wakati akifunga mkutano wa jukwaa la kujadili mchakato wa kuhama kutoka analogia kwenda digitali, uliohusisha nchi zaidi ya 25 duniani.

 

10 years ago

Michuzi

Wateja StarTimes kununua king’amuzi kwa shilingi 4000

Meneja Mauzo wa StarTimes Tanzania, David Kisaka (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa bei mpya ya king’amuzi kitakakochouzwa kwa shilingi 4000 sambamba na kifurushi kipya cha NYOTA cha malipo ya 4000 kwa mwezi, kulia pamoja naye ni Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Jacky Yu. Bei hiyo mpya ya king’amuzi na kifurushi itamfanya mteja afurahie chaneli zisizopungua 16 ikiwa 9 ni za kimataifa na 7 za nyumbani kwa muda wa miezi saba na nusu. Baadhi ya...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

StarTimes — SmartCodes Campagn on Mobile Application fosters Digital Solutions on Digital Broadcasting

 Since December 31, 2012 Tanzania started migrating from analogue to digital broadcasting. The implementation has been successful by 100% which makes Tanzania the first country in the East African Community (EAC) and Southern Africa Development Community (SADC) to meet the deadline imposed by the International Telecommunication Unity (ITU). In fostering this process StarTimes in partnership with SmartCodes is now running a campaign which offers an added value to digital...

 

10 years ago

Vijimambo

Dkt Mwele: Kutoka binti mwenye ndoto kuwa mtafiti hadi mwanasayansi wa kimataifa hadi mwania #Urais2015

Mapema wiki hii, mwanasanyansi wa kimataifa Mtanzania, mwanamama Dokta Mwelecele (Mwele) Malecela, alitangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania kwa kuomba ridhaa ya kupitishwa na Chama Cha Mapinduzi CCM. Dokta Mwele ambaye hadi wakati anatangaza uamuzi huo ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), ana historia ya kipekee ambayo nilibahatika kuifahamu kupitia chapisho moja lililopo katika blogu hii. Hata hivyo, chapisho hilo ambalo lilisomwa na maelfu ya watu,...

 

10 years ago

Michuzi

Kutoka Maktaba: Magufuli - (2005) tutasafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami

WANANCHI wataweza kusafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami,hayo yalisemwa Bungeni Mjini Dodoma wakati Waziri wa Ujenzi John Magufuli alipokua akijibu swali la Martha Mlata (Viti Maalum-CCM), swali lililohoji juu ya ahadi ya Serikali katika kipindi cha awamu ya nne na ahadi hiyo iliyosema wananchi wataweza kusafiri kwa taxi toka Mtwara hadi Bukoba.
Waziri Magufuli alisema kuwa nia ya msemo huo ni kuonesha kwamba wananchi wataweza kusafiri toka Mtwara hadi Bukoba kwa lami...

 

9 years ago

GPL

WALIDHARAULIWA, SASA HAWAKAMATIKI!

Denzel Washington. KATIKA maisha, kila mmoja ana ndoto za kufanikiwa katika maisha. Hata hivyo, wapo watu ambao wamepitia njia ngumu kwenda kwenye mafanikio zilizowafanya kunyanyasika, kudharaulika na hata kupigwa. Wafuatao ni baadhi ya mastaa ambao awali, walionekana si chochote, lakini leo hawakamatiki. Jennifer Aniston. Sandra…

 

5 years ago

Android Authority

This week in Android: Google I/O cancelled, Android saves lives and more

This week in Android: Google I/O cancelled, Android saves lives and more  Android AuthorityOnePlus 7 Pro 5G finally receives the Android 10 update - GSMArena.com news  GSMArena.comOnePlus 8 Pro: Everything We Know So Far  ForbesOnePlus 7 Pro 5G Receives Android 10 Update – FINALLY!  Gizchina.comOnePlus 8, OnePlus 8 Pro, OnePlus 8 Lite: One more flagship killer, everything we know so far  India TodayView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Mwananchi

Jeniffer Mgendi: Kutoka uimbaji hadi uigizaji

Wakati akiendelea kutamba na video yake mpya ya “Hongera Yesu”, ambayo imewashirikisha waimbaji na wasanii mbalimbali kama Bahati Bukuku, Godliver Vedastus, Boniphace Mwaitege, Christine Matai na wengineo, Jeniffer Mgendi Juni anatarajia kuachia filamu ya “Shelina”.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani