Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LETTIE MATABANE: MUIGIZAJI MAARUFU WA ISIDINGO AFARIKI DUNIA LEO! ALIKUWA AKIISHI NA VIRUSI!

Lesego Motsepe (Lettie Matabane), enzi za uhai wake Mwaka 2011 Lettie aliwahi kujitangaza kuwa anaishi…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo Movies

Muigizaji Rachel Haule afariki dunia asubuhi ya Leo.

Habari zilizotufikia muda huu ni kuwa muigizaji  wa filamu nchini Rachel Haule amefariki dunia asubuhi hii. Chanzo kimoja kilicho karibu na muigizaji mmoja ambaye ni rafiki wa karibu na Rachel amewema kuwa kuwa Rachel amefariki wakati akijifungua na mtoto pia amefariki. Tutawaletea taarifa zaidi ya msiba huu tukifika nyumbani kwa muhusika. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amen

 

5 years ago

BBCSwahili

Muigizaji maarufu wa filamu Idris Elba atangaza kuambukizwa virusi vya Korona.

Kupitia mitandao ya kijamii- muigizaji maarufu raia wa Uingereza Idris Elba ametangaza kuwa ameambukizwa virusi vya Korona.

 

11 years ago

Dewji Blog

MTOTO Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne afariki Dunia

10325360_761911693831786_7288579013049174718_n

MTOTO Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne akidaiwa kuteswa na mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki, huku akikosa uangalizi wa karibu, chakula, tiba na huduma nyingine muhimu AFARIKI DUNIA katika Hospitali ya Taifa MUHIMBILI usiku wa kuamkia leo majira ya saa saba, tatizo ni Nimonia na homa ilipanda sana.

R.I.P NASRA wewe mbele sisi nyuma tutakufuata, Tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi.

 

 

10 years ago

GPL

MUIGIZAJI LYNDA BELLINGHAM AFARIKI DUNIA

Muigizaji Lynda Bellingham akitabasamu enzi za uhai wake. Muigizaji na mtangazaji wa TV maarufu, Lynda Bellingham (66) amefariki siku ya jana katika mikono ya mume wake Hospitali ya London. Kifo chake kimesababishwa na kansa ya ini iliyomsumbua kwa muda mrefu. Lynda Bellingham akiwa na rafiki zake.
Alizaliwa Mei 31, 1948 Montreal, Canada . Aliolewa mara mbili na ana watoto wawili Michael Peluso, Robbie Peluso.  Marehemu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Muigizaji Suchtra afariki dunia India

Muigizaji maarufu wa Sinema nchini Indian Suchitra Sen amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82 kwa maradhi ya kifua.

 

5 years ago

Bongo5

Muigizaji wa filamu za James Bond afariki dunia

Muigizaji Clifton James, maarufu kama ‘JW Pepper’ kwenye filamu mbili za James Bond, amefariki dunia akiwa na miaka 96.

Alifariki karibu na mji wa Gladstone, Oregon, siku ya Jumamosi kutokana na matatizo ya ugonjwa wa kisukari.

James alifahamika sana kutokana na uigizaji wake katika filamu za Bond za ‘Live and Let Die’ na ‘The Man with the Golden Gun’ miaka ya sabini.

Binti yake Lynn amesema: ”Alikuwa mtu mpenda watu na mwenye uwazi sana. Alipendwa sana na kila mtu.”

Aliongeza: “Sidhani...

 

10 years ago

Michuzi

TANZIA:MUIGIZAJI WA FILAMU NCHINI MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA.

Taarifa zilizotufikia katika chumba cha habari ya Globu ya Jamii zinaeleza kuwa Msanii wa filamu, Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Globu ya Jamii bado inafuatilia kwa karibu kujua chanzo cha kifo cha Muigizaji huyu mahiri wa filamu hapa nchini.Baadhi ya filamu alizowahi kuigiza Mzee Mnento ni Hero of the church, Dar to Lagos, Fake pastor n.k Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani