Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muigizaji Rachel Haule afariki dunia asubuhi ya Leo.

Habari zilizotufikia muda huu ni kuwa muigizaji  wa filamu nchini Rachel Haule amefariki dunia asubuhi hii. Chanzo kimoja kilicho karibu na muigizaji mmoja ambaye ni rafiki wa karibu na Rachel amewema kuwa kuwa Rachel amefariki wakati akijifungua na mtoto pia amefariki. Tutawaletea taarifa zaidi ya msiba huu tukifika nyumbani kwa muhusika. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amen

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

RACHEL HAULE WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule 'Recho' (pichani), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam. Habari zilizothibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere, zimesema kuwa Recho alikwenda Muhimbili jana kujifungua ambapo mara baada ya kujifungua mtoto alifariki na yeye hali yake kuwa mbaya, ilibidi ahamishiwe ICU ambako hali ilizidi kuwa mbaya na baadae kufariki dunia.

 

11 years ago

Dewji Blog

Msanii Bongo movies ‘Rachel Haule’ afariki dunia!

532

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ (pichani), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam. Habari zilizothibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere, zimesema kuwa Recho alikwenda Muhimbili jana kujifungua ambapo mara baada ya kujifungua mtoto alifariki na yeye hali yake kuwa mbaya, ilibidi ahamishiwe ICU ambako hali ilizidi kuwa mbaya na baadae kufariki dunia.

MOblog inaungana na Watanzania wote kuombeleza kifo cha...

 

11 years ago

GPL

MSTUKO: MSANII RACHEL HAULE WA BONGO MOVI AFARIKI DUNIA!

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule 'Recho' (pichani), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es…

 

11 years ago

Michuzi

Msanii nyota wa filamu za Bongo movies Rachel Haule "Recho" afariki dunia

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ (pichani chini), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam.  Baadhi ya wasanii wa Bongo Movies wakiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya taarifa za msiba wa msanii mwenzao, Rachel Haule 'Recho' mapema leo. Habari zilizothibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere, zimesema kuwa Recho alikwenda Muhimbili jana kujifungua ambapo mara baada ya kujifungua mtoto...

 

11 years ago

Michuzi

Marehemu Sheila Leo Haule (Rachel) aagwa leo jijini dar

 Picha ya Marehemu Sheila Leo Haule (Rachel) ikiwa pembeni ya Jeneza lake mchana wa leo wakati wa kuagwa kwa mwili wake,kwenye viwanja vya Leaders Club,Jijini Dar es Salaam.  Baadhi ya Wacheza filamu hapa nchini,wakiwa pembeni ya Jeneza la Mpendwa wao Sheila Leo Haule (Rachel) aliefikwa na umauti hivi karibuni.   Bw. Saguda ambaye ndie alikuwa mchumba wa Marehemu akilia kwa uchungu huku akiliwazwa na nduguye.  Mwenyekiti wa Bongo Movie,Steven Nyerere akilia kwa uchungu.  Sehemu ya...

 

11 years ago

GPL

LETTIE MATABANE: MUIGIZAJI MAARUFU WA ISIDINGO AFARIKI DUNIA LEO! ALIKUWA AKIISHI NA VIRUSI!

Lesego Motsepe (Lettie Matabane), enzi za uhai wake Mwaka 2011 Lettie aliwahi kujitangaza kuwa anaishi…

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ISSA SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI

Aliyekuwa Sheikh mkuu wa Tanzania Sheikh Issa Bin Shabani Simba enzi za uhai wake
Habari zilizotufikia hivi punde zinaarifu kuwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki dunia.

Akidhibitisha kutokea kwa kifo hicho Shehe Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Sheikh Alhadi Mussa Salim amesema Mufti amefikwa na umauti hii leo asubuhi."Ni kweli Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki hii leo asubuhi kwa maradhi ya sukari na presha," alisema kwa ufupi Sheikh...

 

10 years ago

GPL

MUIGIZAJI LYNDA BELLINGHAM AFARIKI DUNIA

Muigizaji Lynda Bellingham akitabasamu enzi za uhai wake. Muigizaji na mtangazaji wa TV maarufu, Lynda Bellingham (66) amefariki siku ya jana katika mikono ya mume wake Hospitali ya London. Kifo chake kimesababishwa na kansa ya ini iliyomsumbua kwa muda mrefu. Lynda Bellingham akiwa na rafiki zake.
Alizaliwa Mei 31, 1948 Montreal, Canada . Aliolewa mara mbili na ana watoto wawili Michael Peluso, Robbie Peluso.  Marehemu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Muigizaji Suchtra afariki dunia India

Muigizaji maarufu wa Sinema nchini Indian Suchitra Sen amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82 kwa maradhi ya kifua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani