MUIGIZAJI LYNDA BELLINGHAM AFARIKI DUNIA
Muigizaji Lynda Bellingham akitabasamu enzi za uhai wake. Muigizaji na mtangazaji wa TV maarufu, Lynda Bellingham (66) amefariki siku ya jana katika mikono ya mume wake Hospitali ya London. Kifo chake kimesababishwa na kansa ya ini iliyomsumbua kwa muda mrefu. Lynda Bellingham akiwa na rafiki zake. Alizaliwa Mei 31, 1948 Montreal, Canada . Aliolewa mara mbili na ana watoto wawili Michael Peluso, Robbie Peluso. Marehemu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Lynda Bellingham afariki dunia Uingereza
11 years ago
BBCSwahili17 Jan
Muigizaji Suchtra afariki dunia India
5 years ago
Bongo514 Feb
Muigizaji wa filamu za James Bond afariki dunia
Muigizaji Clifton James, maarufu kama ‘JW Pepper’ kwenye filamu mbili za James Bond, amefariki dunia akiwa na miaka 96.
Alifariki karibu na mji wa Gladstone, Oregon, siku ya Jumamosi kutokana na matatizo ya ugonjwa wa kisukari.
James alifahamika sana kutokana na uigizaji wake katika filamu za Bond za ‘Live and Let Die’ na ‘The Man with the Golden Gun’ miaka ya sabini.
Binti yake Lynn amesema: ”Alikuwa mtu mpenda watu na mwenye uwazi sana. Alipendwa sana na kila mtu.”
Aliongeza: “Sidhani...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Muigizaji Rachel Haule afariki dunia asubuhi ya Leo.
Habari zilizotufikia muda huu ni kuwa muigizaji wa filamu nchini Rachel Haule amefariki dunia asubuhi hii. Chanzo kimoja kilicho karibu na muigizaji mmoja ambaye ni rafiki wa karibu na Rachel amewema kuwa kuwa Rachel amefariki wakati akijifungua na mtoto pia amefariki. Tutawaletea taarifa zaidi ya msiba huu tukifika nyumbani kwa muhusika. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amen
10 years ago
Michuzi30 Oct
TANZIA:MUIGIZAJI WA FILAMU NCHINI MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA.
![](http://api.ning.com/files/6ovfEf3pFLf*oQbPHC2by35YY*-FqtUtx43oX2zjiLFVY1pwJUFZx0ybIu4NqUB-EugE6XBhRf77Wd5iVW1126brFH2sCsWA/R.I_.P_.jpg?width=650)
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
SAD News: Muigizaji Mkongwe Nchini Mzee Small Afariki Dunia.
Mwigizaji maarurfu nchini Said Ngamba "Mzee Small" amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kupatwa na pressure na kukimbizwa hospitali ya taifa Muhimbili. Muigizaji huyo mkongwe kabla ya kifo chake aliugua kwa muda mrefu pia. Mzee Small ni mmoja wa wasanii wa mwazo katika sanaa ya maigizo nchini kwenye enzi zake akiwa ametamba na wasanii wenzake wakongwe kama vile Bi.Chau na King Majuto, ni mmoja wa wasanii ambao mchango wake katika sanaa ya maigizo na tasnia ya filamu nchini hauwezi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtoId19AK*0fB2SvSJ5LNi2PwcqvlrgRMX1DjosmedsL00NYE2pQFECJNsdTDiBxQcSSLTsMT26ACJty2EhQAoe*/BREAKINGNEWS.gif)
LETTIE MATABANE: MUIGIZAJI MAARUFU WA ISIDINGO AFARIKI DUNIA LEO! ALIKUWA AKIISHI NA VIRUSI!
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Muigizaji wa Fresh Prince afariki