Lynda Bellingham afariki dunia Uingereza
Mwigizaji maarufu nchini Uingereza Lynda Bellingham afariki dunia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMUIGIZAJI LYNDA BELLINGHAM AFARIKI DUNIA
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Dk William Shija afariki dunia Uingereza
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
11 years ago
BBCSwahili05 May
Baltacha: Mchezaji wa Uingereza afariki
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fF5Jl8zq440/XoSBuWw3fOI/AAAAAAALlyA/7X6jzpcKqi8kGzFO0ruUuQBlm86SK77ZQCLcBGAsYHQ/s72-c/52395243_303.jpg)
MTOTO WA MIAKA 13 AFARIKI KWA CORONA UINGEREZA
MTOTO wa miaka 13 amefariki dunia nchini Uingereza mara baada ya kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona (Covid-19) hospitali King's College ya Mjini London na ndugu wa mtoto huyo wamevieleza vyombo vya habari.
Mtoto huyo raia wa Uingereza alifariki dunia siku ya Jumatatu ameelezwa kuwa ni muingereza mdogo zaidi kufariki kwa virusi hivyo.
Familia ya mtoto huyo imevieleza vyombo vya habari kuwa mtoto huyo (Ismail Mohamed Abdulwahab) alianza kuonesha...
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Sam Munyavi: Afariki Uingereza baada ya kukerwa na uandishi Zimbabwe
MWEZI uliopita wa Juni nilisikia habari kwamba mwandishi wa siku nyingi, Sam Munyavi alikuwa amepatwa na kiharusi na hali yake ni mbaya sana.
Kilikuwa ni kiharusi kibaya alichokuwa amekipata kiasi kwamba alikuwa ameachwa katika hali kudhoofika sana kimwili.
Alikuwa hawezi kufanya chochote peke yake na kuzungumza ndiyo ilikuwa shida kabisa kwake. Kwa kweli watu waliomtembelea walikuwa wakijionea kwamba ulikuwa umebaki muda tu, mpendwa huyo aage dunia.
Alikuwa katika hali hiyo ya...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Mwanakatwe afariki dunia
KATIBU Mkuu wa zamani wa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa Shirikisho la Soka Tanzania – TFF), Kanali mstaafu Ali Hassan Mwanakatwe amefariki dunia jana asubuhi katika Hospitali Kuu ya...
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mbunge afariki dunia
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Dk. Mhita afariki dunia
NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA),Dk. Mohamed Mhita, amefariki dunia. Dk. Mhita ambaye pia ni mume wa Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita, anatarajiwa kuzikwa leo baada ya kuwasili kwa mkewe, aliyeko India kwa matibabu. Akizungumza na waandishi wa habari, mtoto wa marehemu, Muhaji Mhita alisema baba yake aliugua maralia, Jumatatu alfajiri na kupelekwa hospitali, ambapo alifariki usiku. Alisema walipofika hospitali walibaini kuwa shinikizo la...