Sam Munyavi: Afariki Uingereza baada ya kukerwa na uandishi Zimbabwe
MWEZI uliopita wa Juni nilisikia habari kwamba mwandishi wa siku nyingi, Sam Munyavi alikuwa amepatwa na kiharusi na hali yake ni mbaya sana.
Kilikuwa ni kiharusi kibaya alichokuwa amekipata kiasi kwamba alikuwa ameachwa katika hali kudhoofika sana kimwili.
Alikuwa hawezi kufanya chochote peke yake na kuzungumza ndiyo ilikuwa shida kabisa kwake. Kwa kweli watu waliomtembelea walikuwa wakijionea kwamba ulikuwa umebaki muda tu, mpendwa huyo aage dunia.
Alikuwa katika hali hiyo ya...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Feb
Mwasiti amkana Misago, ni baada ya Diamond kumuita ‘muke halali ya Sam’
11 years ago
BBCSwahili05 May
Baltacha: Mchezaji wa Uingereza afariki
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Lynda Bellingham afariki dunia Uingereza
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Dk William Shija afariki dunia Uingereza
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fF5Jl8zq440/XoSBuWw3fOI/AAAAAAALlyA/7X6jzpcKqi8kGzFO0ruUuQBlm86SK77ZQCLcBGAsYHQ/s72-c/52395243_303.jpg)
MTOTO WA MIAKA 13 AFARIKI KWA CORONA UINGEREZA
MTOTO wa miaka 13 amefariki dunia nchini Uingereza mara baada ya kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona (Covid-19) hospitali King's College ya Mjini London na ndugu wa mtoto huyo wamevieleza vyombo vya habari.
Mtoto huyo raia wa Uingereza alifariki dunia siku ya Jumatatu ameelezwa kuwa ni muingereza mdogo zaidi kufariki kwa virusi hivyo.
Familia ya mtoto huyo imevieleza vyombo vya habari kuwa mtoto huyo (Ismail Mohamed Abdulwahab) alianza kuonesha...
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Je, Zimbabwe inaporomoka kwa mara nyengine baada ya mapinduzi?
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Uandishi usio uandishi wa habari
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mHxNACy53nU/Xmew_6FmfCI/AAAAAAALiew/B7EnXP565_UnZWFFo653UNGhkhqs_DuWQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d4f31b0851lcxt_800C450.jpg)
Hofu yatanda baada ya mshukiwa wa Corona kutoroka karantini Zimbabwe
![](https://1.bp.blogspot.com/-mHxNACy53nU/Xmew_6FmfCI/AAAAAAALiew/B7EnXP565_UnZWFFo653UNGhkhqs_DuWQCLcBGAsYHQ/s640/4bv65d4f31b0851lcxt_800C450.jpg)
Gazeti la serikali la Herald limeripoti kuwa, mshukiwa huyo wa Corona alikuwa ametengwa katika chumba maalumu akisubiri kufanyiwa vipimo katika Hospitali ya Magonjwa ya Kuambukiza ya Wilkins katika mji mkuu Harare kabla ya kukimbia.
Vyombo vya dola nchini humo vimesema vimeanzisha msako mkali wa kumtafuta raia huyo wa...
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Wanaharakati waelezea kukerwa Ethiopia