Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwasiti amkana Misago, ni baada ya Diamond kumuita ‘muke halali ya Sam’

Mwasiti Almas amezungumzia salamu ya pongezi aliyopewa na Diamond Platnumz jana kwenye siku yake ya kuzaliwa iliyovumbua uhusiano usiojulikana kati yake na mtangazaji wa Power Jams ya EA Radio, Sam Misago. Katika salamu hizo, Diamond aliandika: Happy Birthday Chitty… muke halali ya @Sammisago.” Hata hivyo Mwasiti amekanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Misago. “Diamond […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Sam Misago Ft. Ben Pol — Nimepania

11875589_1003539399703044_1024575082_n

Video mpya ya Sam Misago wimbo unaitwa “Nimepania” amemshirikisha Ben Pol, Video imeongozwa na Tonee Blaze

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu azua gumzo kwenye mtandao baada ya kumuita Diamond "kaka"

Huku macho na masikio ya wananchi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania yakiwa kwenye bunge la katiba linalojadili lile sakata la tegeta ESCROW, mwanadada Wema sepetu ameamua naye kuzua gumzo kwenye mtandao baada ya kutoa salamu ya pongezi kwa kijana Naseeb al maarufu kama Chibu dangote ama Diamond platnumz kwa ushindi wake wa tuzo 3 kwenye tuzo za Channel O MUSIC AWARDS zilizofanyika huko Afrika ya kusini akitumia neno KAKA katika sentensi yake kitu ambacho kimezua minong’ono ya hapa na pale...

 

9 years ago

Bongo5

Swizz Beatz ampongeza Diamond kwa kumuita ‘King’ baada ya kushinda tuzo za MTV EMA, soma pongezi za mastaa wengine hapa

Diamond ameutafuna mfupa uliowashinda wengi. Hakuna msanii yeyote kutoka Afrika Mashariki, Magharibi na Kusini aliyewahi kushinda kipengele cha Worldwide Act, Africa/India kwenye tuzo za MTV EMA. Ushindi huo mkubwa unaomfanya sasa awe msanii namba moja Afrika. “Hii sio tunzo yangu ni tunzo ya wewe na mimi maana bila kura yako nisingeweza kabisa kushinda,” anasema Diamond. […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza: Sipendi Kumuita Mpenzi Wangu “Baby” Napenda Kumuita...

Mwigizaji mrembo wa filamu hapa Bongo,Faiza Ally ameyasema hayo iliwa ni maoni yake juu ya swala la wapenzi kuitana baby.

“Leo kuna wakati nilikua nasikiliza Clouds fm nika sikia kuna wanaume hawapendi kuitwa baby!! wanahisi ni fake na wanaibiwa, kusema kweli mimi binafsi sipendi kumuita mwanaume mzima na akili zake na ndevu zake eti baby siwezi kutamka kwa sababu naona fake na mm mwenyewe sipendi kuitwa baby , kuna majina Mengi Kama honey ,darling mpenzi ni sawa japo mimi siyatumii pia...

 

5 years ago

BBCSwahili

Imran Khan akosolewa baada ya kumuita Osama Bin Laden mfiadini (shahidi)

Upinzani Pakistan wamkaba koo Imran Khan, ambaye amesemakuwa Marekani ilimuua aliyetekeleza mauaji ya 9/11.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Sam Munyavi: Afariki Uingereza baada ya kukerwa na uandishi Zimbabwe

MWEZI uliopita wa Juni nilisikia habari kwamba mwandishi wa siku nyingi, Sam Munyavi  alikuwa amepatwa na kiharusi na hali yake ni mbaya sana.

Kilikuwa ni kiharusi kibaya alichokuwa amekipata kiasi kwamba alikuwa ameachwa katika hali kudhoofika sana kimwili.

Alikuwa hawezi kufanya chochote peke yake na kuzungumza ndiyo ilikuwa shida kabisa kwake. Kwa kweli watu waliomtembelea walikuwa wakijionea kwamba ulikuwa umebaki muda tu, mpendwa huyo aage dunia.

Alikuwa katika hali hiyo ya...

 

10 years ago

Bongo5

Huddah amkana mwanaume aliyedai kuwa mpenzi wake, aliyemtangazia Diamond dau la $40,000 ili amuache Zari

Baada ya mwanaume aliyedai kuwa ni mpenzi wa Huddah kujitokeza na kuupinga uhusiano wa Diamond na Zari The Boss Lady wa Uganda, Socialite wa Kenya Huddah Monroe naye ameibuka na kukana kuwa hajawahi kuwa na uhusiano na njemba huyo. Huddah alipost ujumbe mrefu Instagram ambao baadae aliufuta, wa kuelezea jinsi alivyokutana na jamaa huyo aitwaye […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani