Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaharakati waelezea kukerwa Ethiopia

Tume ya kuwalinda waandishi wa habari CPJ, imekosoa Ethiopia kwa kutumia sheria ya ugaidi, kuzima harakati zozote za upinzani nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Amuua mdai wake kwa kukerwa kudaiwa Sh 80,000

Kamanda wa Polisi mkoani Mara , Philpo KalangiMWANAMKE Caseline Mzee (75) mkazi wa kijiji cha Guta wilayani Bunda, mkoani Mara, ameuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani na kunyongwa na kisha mwili wake kutupwa ndani ya mto, ukiwa umefungiwa mawe mazito ili usielee.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Sam Munyavi: Afariki Uingereza baada ya kukerwa na uandishi Zimbabwe

MWEZI uliopita wa Juni nilisikia habari kwamba mwandishi wa siku nyingi, Sam Munyavi  alikuwa amepatwa na kiharusi na hali yake ni mbaya sana.

Kilikuwa ni kiharusi kibaya alichokuwa amekipata kiasi kwamba alikuwa ameachwa katika hali kudhoofika sana kimwili.

Alikuwa hawezi kufanya chochote peke yake na kuzungumza ndiyo ilikuwa shida kabisa kwake. Kwa kweli watu waliomtembelea walikuwa wakijionea kwamba ulikuwa umebaki muda tu, mpendwa huyo aage dunia.

Alikuwa katika hali hiyo ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti waelezea sababu za saratani

Utafiti umebaini kuwa ugonjwa wa saratani ni zaidi ya mtindo wa maisha ya watu na mazingira.

 

9 years ago

BBCSwahili

#Shinyanga:Wenyeji waelezea tatizo la maji

Watu wengi #Shinyanga wanasema kuwa kitu cha kwanza wanachokitaka rais ajaye awafanyie ni kuwahakikishia upatikanaji wa maji masafi

 

11 years ago

BBCSwahili

Meli ya Korea Kusini: Abiria waelezea

Watu walionusurika katika ajali ya meli ya Korea Kusini wameelezea kusikia mshindo mzito wakati ikizama

 

10 years ago

Michuzi

WAKULIMA WA SHAYIRI MONDULI WAELEZEA MAFANIKIO YAO KWA TBL

 Mkulima wa Shayiri akionesha moja ya Ghala lake (Stoo) kwa ajili ya kuhifadhia zana mbalimbali za kilimo ikiwamo utunzaji wa pembejeo, ambapo jengo hilo amelijenga kutokana na fedha za Shayiri.

Baadhi ya Wanawake wanaojishughulisha na kilimo cha Shayiri wakiwa katika picha ya pamoja na Ofisa wa  Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Editha anayesimamia wakulima katika eneo hilo la Monduli Juu, wilayani Monduli mkoani Arusha.
Mkulima wa Shayiri wilayani Monduli Meporoo Losulu akionesha Trekta...

 

10 years ago

Michuzi

WAIMBAJI WA TAMASHA LA KRISMAS MKOANI MBEYA WAELEZEA MAANDALIZI YAO

  1Mwimbaji wa muziki wa injili Tumaini Njole akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za kampuni ya Msama Promotion ambayo inaandaa Tamasha la Pasaka litakalofanyika sikukuu ya Krismas tarehe 25/12/2014 mkoani Mbeya wakati alipozungumzia maadalizi ya tamasha hilo na jinsi alivyojipanga kukonga mioyo ya mashabiki wa nyimbo za injili mkoani Mbeya , Tamasha hilo linatarajiwa kuanza muda wa Saa nane mchana viingilio vikiwa ni shilingi 5000 kwa watu wazima na watoto shilingi 2000, Katika...

 

10 years ago

Michuzi

WAJASIRIAMALI WAELEZEA WALIVYOWEZESHWA NA PROMOSHENI YA SAFARI LAGER WEZESHWA YA TBL

 Jacquline Shija Mazemle, aliyewezeshwa na TBL na kufanikiwa kuanzisha mghahawa maarufu wa FACEBOOK, ulioko karibu na Chuo Kikuu cha Kampala, Gongo la Mboto, Dar es Salaam. Akiandaa chakula na wenzake Ramadhan Seleman kushoto na Hans Shija
 Akiwahudumia na wateja wa Facebook
 Dorren Asey aliyewezeshwa na TBL kutengeneza mikate, keki na maandazi kupitia kampuni yake ya Dee Bakery,Doreen akiandaa mikate.HABARI BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani