#Shinyanga:Wenyeji waelezea tatizo la maji
Watu wengi #Shinyanga wanasema kuwa kitu cha kwanza wanachokitaka rais ajaye awafanyie ni kuwahakikishia upatikanaji wa maji masafi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAJI ATEMBELEA MRADI WA MAJI ZIWA VICTORIA, KAHAMA,SHINYANGA NA KISHAPU
ZIARA ya naibu waziri ilianzia kwenye chanzo ca maji kitongoji cha Ihelele, kijiji cha Nyanghomango kwa kugagua chanzo, sehemu ya kutibu maji na kusukuma maji kisha kuongea na wananchi wa kijiji cha NysnghomangoAidha alikagua mradi unaoendelea kujengwa wa kupeleka maji miji ya mwadui, Maganzo na Kishapu.
Mradi huu mkubwa wa maji unagharimu shilingi bilioni 254 na una uwezo wa kuzalisha maji lita milioni 120 kwa siku lakini mpaka sasa unazalisha maji lita milioni 80 tu kwa siku na unahudumia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mmaBFNoqnLU/VAR4RML0gLI/AAAAAAAGZ8Q/AXPnA7sVq3w/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
NAIBU WAZIRI MAJI ALIVALIA NJUGA TATIZO LA MAJI CHAKWALE
“Kumekuwa na ugumu na uzembe wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuleta fedha za kutekeleza ...
9 years ago
StarTV23 Nov
Uharibifu Vyanzo Vya Maji Mto Zigi vya waweza kusababisha tatizo la maji Tanga
Mamlaka ya majisafi na majitaka Tanga UWASA imesema uharibifu wa mazingira katika vyanzo vya maji vya mto Zigi unaweza kusababisha jiji hilo kuingia kwenye tatizo la maji.
Tayari Mamlaka hiyo imeanzisha Umoja wa Wakulima hifadhi Mazingira Kihuwhi Zigi, UWAMAKIZI kama harakati ya kukabiliana na uchimbaji wa madini, kilimo na ukataji wa miti kwa ajili ya mbao.
Jiji la Tanga hutegemea maji ya mto zigi kama chanzo pekee cha maji na shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya mto huo huenda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGusNxE0YGLDxhCrs3O-Li3iLIUq9TyID8tzVa7LHYX4eRGQuXzp4cR6F-U-p6yQRwIIe065yxbXTYWZNpfmn8bED/Masele.gif?width=650)
SHINYANGA MJINI HUDUMA MBOVU ZA KIJAMII BADO NI TATIZO
5 years ago
Michuzi![](https://2.bp.blogspot.com/-NSUYF4Gfpu0/Xm9-i4D9wnI/AAAAAAAA2_Q/Oz7CM0DI8nM5qEtMFchWZolRMag5VSsEwCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200316-WA0109.jpg)
SHUWASA YATOA UFAFANUZI MABOMBA YA MAJI KUPASUKA SHINYANGA
![](https://2.bp.blogspot.com/-NSUYF4Gfpu0/Xm9-i4D9wnI/AAAAAAAA2_Q/Oz7CM0DI8nM5qEtMFchWZolRMag5VSsEwCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200316-WA0109.jpg)
Kushoto ni Mkurugenzi wa SHUWASA Flaviana Kifizi akiangalia bomba la maji lililopasuka katika eneo la Kata ya Masekelo jirani na Mto Kidalu leo Jumatatu Machi 16,2020.
Na Marco Maduhu - Shinyanga
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA),imetolea ufafanuzi kukithiri kwa upasukaji wa mabomba ya maji kuwa tatizo ni kubwa ni wananchi kupunguza matumizi ya maji hasa kipindi hiki cha Mvua hali inayosababisha mgandamizo mkubwa wa maji na hatimaye bomba kupasuka.
Hayo...
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AZINDUA RASMI MRADI WA MAJI UZOGORE SHINYANGA
Akizungumza wakati wa kuzindua Mradi huo leo Alhamis Juni 18,2020, Mboneko amewataka wananchi wa Uzogore kutunza miundo mbinu ya...
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAJI SHINYANGA
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Mar
Shekifu alia na tatizo la maji
MBUNGE wa Lushoto (CCM), Henry Shekifu, amelalamikia tatizo la maji mkoa wa Tanga na kuilaumu serikali kwa kutoa ahadi za mara kwa mara huku ikishindwa kuzitekeleza.
Akiuliza swali bungeni mjini hapa jana, Shekifu alisema kwa muda mrefu serikali iliahidi kupeleka maji katika wilaya ya Muheza lakini haijatimiza.
Aidha, Shekifu alitaka kuhakikishiwa kama kuna fungu lolote lililotengwa kwa ajili ya utekelezaji miradi ya maji katika wilaya hiyo kwenye bajeti ya mwaka huu wa fedha.
“Serikali...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Tatizo la maji kubaki historia — Dawasco
DAR ES SALAAM ni miongoni mwa majiji ambayo yamekuwa yakikua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huo umekuwa ukienda sambamba na ongezeko la idadi ya watu wanaokuja kutembea na kuishi jijini...