SHINYANGA MJINI HUDUMA MBOVU ZA KIJAMII BADO NI TATIZO
![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGusNxE0YGLDxhCrs3O-Li3iLIUq9TyID8tzVa7LHYX4eRGQuXzp4cR6F-U-p6yQRwIIe065yxbXTYWZNpfmn8bED/Masele.gif?width=650)
Na Conges Mramba Shinyanga Shinyanga Mjini ni moja kati ya wilaya nane zinazounda Mkoa wa Shinyanga. Shinyanga Mjini imepakana na Mkoa wa Mwanza upande wa Kaskazini, Mashariki kuna Wilaya ya Kishapu na Magharibi kuna Wilaya ya Kahama. Pia ni jimbo la uchaguzi linaloongozwa na Mheshimiwa Stephen Masele kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mheshimiwa Stephen Masele. Wiki iliyopita, Uwazi lilifunga safari mpaka kwenye jimbo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-S5YgugT3ybNujrw*5r8WtMSIUEgx2H8ivUp0G4W3cHxcj7ztzVhkzabbeYuWX3JSJJyMcBJbPezDEjxoVajuc0/images.jpg?width=650)
MBOZI MASHARIKI: HUDUMA MBOVU ZA KIJAMII BADO NI TATIZO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx20-sRfbP1EK0t8gyO*3fLAzWMkDh4OVkW0y4vaqDfUWUqRK6LiuLfoYHkzn6dRHCgjwEBCJ3To6IEyTjBYwoKDc/Lungwe.jpg)
RUNGWE MAGHARIBI; SOKO LA MAZAO, HUDUMA ZA KIJAMII BADO NI TATIZO
10 years ago
Michuzi11 Apr
TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
#Shinyanga:Wenyeji waelezea tatizo la maji
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Kuchelewa huduma za kijamii kikwazo - Lukuvi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvu7vHJ83-B1V0ZLRCza6SIVMu3cR**r50nuJJ8YxkSnXez-sDFH9XupnqDKhsVuk1n9wI5w-yCzuyFhTmXa9p7*/Malecela.jpg?width=650)
SAME MASHARIKI: HUDUMA ZA KIJAMII ZINAVYOWATESA WANANCHI
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Ukeketaji bado tatizo
UKEKETAJI ni mila potofu inayodhaniwa kwamba ikifanywa ni heshima pindi mwanamke atakapoolewa. Lakini ukeketaji una madhara kwa wanaofanyiwa, ikiwemo maambukizi ya virusi vya ukimwi (VVU) kutokana na kuchangia nyenzo za...
5 years ago
MichuziBIL. 33 KUTUMIKA KUIMARISHA HUDUMA ZA KIJAMII NCHINI
Wizara ya Afya, kupitia Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii inatarajia kutumia Jumla ya shilingi bilioni 33.195 ili kutekeleza shughuli mbalimbali za kijamii hususani zilizopewa kipaumbele kwa mwaka wa fedha 2020/21.
Akiwasilisha Hotuba ya Wizara, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema katika mwaka wa fedha 2020/21 Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii inatarajia kutumia kiasi hicho cha fedha kwa lengo la kuimarisha huduma na mafunzo kwenye...
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Rushwa bado ni tatizo nchini