Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RUNGWE MAGHARIBI; SOKO LA MAZAO, HUDUMA ZA KIJAMII BADO NI TATIZO

Na Mwandishi Wetu, Mbeya
Rungwe ni moja kati ya wilaya nane zinazounda Mkoa wa Mbeya. Upande wa Kaskazini imepakana na Wilaya ya Mbeya Vijijini, Mashariki imepakana na Mkoa wa Iringa na Wilaya ya Kyela, Kusini Magharibi kuna Wilaya ya Ileje na Magharibi kuna Wilaya ya Mbeya Vijijini. Profesa David Mwakyusa. Wilaya ya Rungwe, imeganyika katika majimbo mawili ya uchaguzi, Rungwe Magharibi linaloongozwa na Profesa David Mwakyusa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MBOZI MASHARIKI: HUDUMA MBOVU ZA KIJAMII BADO NI TATIZO

Mheshimiwa Godfrey Weston Zambi. Na Mwandishi Wetu, Mbeya
Mbozi ni moja kati ya wilaya nane zinazounda Mkoa wa Mbeya. Upande wa kaskazini, imepakana na Wilaya ya Chunya, mashariki kuna Wilaya ya Mbeya Mjini na Ileje, kusini kuna Nchi ya Zambia na magharibi kuna Mkoa wa Rukwa. Ndani ya wilaya hiyo, kuna majimbo mawili ya uchaguzi, Mbozi Mashariki na Mbozi Magharibi. Mwishoni mwa wiki iliyopita, Uwazi lilifunga safari hadi kwenye...

 

10 years ago

GPL

SHINYANGA MJINI HUDUMA MBOVU ZA KIJAMII BADO NI TATIZO

Na Conges Mramba Shinyanga Shinyanga Mjini ni moja kati ya wilaya nane zinazounda Mkoa wa Shinyanga. Shinyanga Mjini imepakana na Mkoa wa Mwanza upande wa Kaskazini, Mashariki kuna Wilaya ya Kishapu na Magharibi kuna Wilaya ya Kahama. Pia ni jimbo la uchaguzi linaloongozwa na Mheshimiwa Stephen Masele kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mheshimiwa Stephen Masele. Wiki iliyopita, Uwazi lilifunga safari mpaka kwenye jimbo...

 

10 years ago

Michuzi

TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.

Jaji mstaafu wa mahakama ya rufaa nchini tanzania mama EUSEBIA MUNUO  ambaye alikuwa ndiye mkufunzi katika mafunzo hayo yaliyoendeshwa leo jijini Dar es salaam  Rushwa ya ngono pamoja na matumizi mabaya ya madaraka yametajwa kuwa ni moja kati ya matatizo makubwa ambayo yamezidi kuweka mizizi nchini tanzania na kuwaadhiri wasichana wengi huku sheria ikishindwa kuweka wazi adhabu mahususi ili kuwabana wanaohusika katika swala hilo. Hayo yamesemwa leo jijini dare s salaam na Jaji...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Rungwe yapania kumaliza tatizo la mabara, madawati


NA MWANDISHI WETU, TUKUYU
HALMASHAURI ya Wilaya Rungwe, imetenga sh. milioni 150 kwenye bajeti yake ya mwaka 2014/2015, kununua vifaa vya maabara na kufunga mifumo imara ya gesi, katika shule zake 28 za sekondari zilizoko wilayani humo.
Kiasi hicho cha fedha kitatengwa kupitia ruzuku ya kukuza mtaji katika Serikali za Mitaa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Veronica Kessy, alisema hayo alipokuwa akielezea mkakati wa kujenga na kutumia maabara kwa wanafunzi wa shule za...

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA ZA SOKO LA MAZAO LA MATOMBO MKOANI MOROGOGO

Muonekano wa Soko jipya la Mazao la Matombo lilinozinduliwa hivi karibuni na Mh. Rais Jakata Kikwete.
 Muonekano wa Soko la zamani.
PICHA NA JOHN NDITI.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DK. KAMANI: Ukaguzi wa mazao ya samaki hukuza soko la nje

ILI Tanzania iweze kukubalika katika soko la mazao ya  samaki la ndani na nje ya nchi ni lazima kuwe na ubora wa viwango vinavyohitajika. Viwango vya mazao ya samaki ni...

 

5 years ago

Michuzi

SOKO KUBWA LA MAZAO NA MNADA WA MIFUGO KUANZISHWA KYERWA.

Na Abdullatif Yunus wa Michuzi TV.

Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa inajipanga kujenga Soko la Mazao na  Mnada wa Mifugo katika Kata ya Murongo Wilayani Kyerwa  lenye thamani ya Shilingi 114, 549,996 lengo likiwa ni kudhibiti biashara ya magendo ya usafirishaji na uuzaji wa mazao na mifugo kwa njia zisizokuwa halali.

Mpango huo ni miongoni  mwa vipaumbele ambavyo vimebainishwa katika Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020-2021, uliowasilishwa katika Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo,...

 

10 years ago

GPL

EBOLA BADO TISHIO AFRIKA MAGHARIBI

TAARIFA iliyotolewa hivi karibuni na Shirika la Afya Duniani (WHO), inaonyesha jinsi gonjwa hatari la Ebola linavyozidi kuangamiza wananchi katika eneo hilo. Agosti 22 mwaka huu, WHO walitoa taarifa kuwa, jumla ya wagonjwa walioripotiwa kuwa na Ebola ni 2,615 kwenye nchi nne za Afrika Magharibi ambapo kati yao 1,427 wamepoteza maisha kwa ugonjwa huo. Nchini Liberia ambapo ugonjwa huo ulianzia, wagonjwa 1,082 wameripotiwa kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

STAKABADHI GHALAINI Ni mfumo mzuri ununuzi mazao ila vyama vya ushirika ni tatizo

Stakabadhi ghalani siyo neno geni masikioni mwa Watanzania hasa, wanaoishi katika mikoa ya Mtwara, Lindi, Pwani, Singida, Kilimanjaro na Morogoro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani