Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DK. KAMANI: Ukaguzi wa mazao ya samaki hukuza soko la nje

ILI Tanzania iweze kukubalika katika soko la mazao ya  samaki la ndani na nje ya nchi ni lazima kuwe na ubora wa viwango vinavyohitajika. Viwango vya mazao ya samaki ni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

NDEGE YATUA MWANZA KUBEBA SAMAKI, MHANDISI STELLA MAYANYA ATANGAZA SOKO LA SAMAKI WA KANDA YA ZIWA.

 Wafanyakazi wa uwanja wa ndege wa Mwanza wakiandaa mizigo ambayo ni minofu ya samaki ya kilogram 17,262 iliyosafirishwa na Ndege ya Ethiopia  Airlines iliyoanza safari zake 21 mei 2020 kuja Tanzania katika mkoa wa Mwanza  kuchukua minofu ya samaki. Tarehe 21 mei 2020.
 Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Mhandisi Stella M. Manyanya{kulia} akikagua uandaaji wa mizigo ya minofu ya samaki  ya kilogram 17,262 zenye thamani ya Tsh. 191,874,837.78 iliyopelekwa ndege ya Ethiopia  Airlines...

 

10 years ago

Michuzi

MHE. KAMANI AZINDUA MRADI WA UFUGAJI WA SAMAKI NDANI YA ZIWA VICTORIA

Mgeni Rasmi Waziri wa Maendeleao ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (MB) akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mradi wa Ufugaji wa Samaki ndani ya Ziwa Viktoria Kiteule cha Bulamba kwa kutumia teknolojia mpya ya vizimba (Cages). Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhe.John Henjewele, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mara. Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Raphael M. Muhuga.Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani akipandikiza...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT. TITUS MLENGEYA KAMANI (Mb) AZINDUA MRADI WA UFUGAJI WA SAMAKI NDANI YA ZIWA VICTORIA

Mgeni Rasmi Waziri wa Maendeleao ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (MB) akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mradi wa Ufugaji wa Samaki ndani ya Ziwa Viktoria Kiteule cha Bulamba kwa kutumia teknolojia mpya ya vizimba (Cages). Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhe.John Henjewele, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mara. Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Raphael M. Muhuga.Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani akipandikiza...

 

10 years ago

Vijimambo

LIVE KUTOKA SOKO LA SAMAKI FERRY

 Akina mama wakiwa soko la samaki ferry katika kujitafutia riziki hapa wakifanya biashara ya vichwa vya samaki. Unaweza kujua ni kihasi gani akina mama wanatakiwa kuwezeshwa kwani ndiyo mwimili wa familia na taifa kwa ujumla.


 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA ZA SOKO LA MAZAO LA MATOMBO MKOANI MOROGOGO

Muonekano wa Soko jipya la Mazao la Matombo lilinozinduliwa hivi karibuni na Mh. Rais Jakata Kikwete.
 Muonekano wa Soko la zamani.
PICHA NA JOHN NDITI.

 

11 years ago

GPL

UCHAFU WAONGEZEKA SOKO LA SAMAKI KIVUKONI DAR

Wazoa taka wakiwa kazini katika soko hilo.…

 

9 years ago

StarTV

Biashara ya Samaki Soko la Feri Mtwara yasuasua

Wafanyabiashara wadogo wadogo wa Samaki katika Soko la Feri mkoani Mtwara wamelalamikia kukosekana kwa samaki kunakotokana na mabadiliko ya hali ya hewa.

Hali hii inasababisha Samaki kupanda bei na kuwaathiri wafanyabiashara hao kutokana na mtaji wa kuendeshea Biashara kuwa mdogo na hivyo baadhi yao kutishia kuachana na biashara hiyo kutokana na kukosekana kwa faida.

Bi. Zuena Franciss ni Mmoja wa wafanyabiashara ndogo ndogo anayenunua Samaki katika soko la feri la Mtwara nabaadaye kukaanga...

 

10 years ago

Habarileo

Wavuvi wahoji soko la samaki Kalambo kudoda

WAVUVI wa vijiji vya mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani Kalambo katika Mkoa wa Rukwa, wamesikitishwa kuona soko la kisasa la samaki likishindwa kufanya kazi miaka mitatu sasa tangu ujenzi wake ukamilike, huku ujenzi wake ukielezwa kugharimu zaidi ya Sh milioni 802.

 

5 years ago

Michuzi

SOKO KUBWA LA MAZAO NA MNADA WA MIFUGO KUANZISHWA KYERWA.

Na Abdullatif Yunus wa Michuzi TV.

Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa inajipanga kujenga Soko la Mazao na  Mnada wa Mifugo katika Kata ya Murongo Wilayani Kyerwa  lenye thamani ya Shilingi 114, 549,996 lengo likiwa ni kudhibiti biashara ya magendo ya usafirishaji na uuzaji wa mazao na mifugo kwa njia zisizokuwa halali.

Mpango huo ni miongoni  mwa vipaumbele ambavyo vimebainishwa katika Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020-2021, uliowasilishwa katika Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani