DK. KAMANI: Ukaguzi wa mazao ya samaki hukuza soko la nje
ILI Tanzania iweze kukubalika katika soko la mazao ya samaki la ndani na nje ya nchi ni lazima kuwe na ubora wa viwango vinavyohitajika. Viwango vya mazao ya samaki ni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YR6FiGa6AzU/XsfLU6KlooI/AAAAAAALrQ4/UByodZr0zrMxHYtaNVOJsUie8jNZHeRngCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
NDEGE YATUA MWANZA KUBEBA SAMAKI, MHANDISI STELLA MAYANYA ATANGAZA SOKO LA SAMAKI WA KANDA YA ZIWA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-YR6FiGa6AzU/XsfLU6KlooI/AAAAAAALrQ4/UByodZr0zrMxHYtaNVOJsUie8jNZHeRngCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-c9DJ_EiQfoA/XsfLVuh0ptI/AAAAAAALrRA/Trpv4svClRsx2-T5cvU1GdQlH1F_ll4JQCLcBGAsYHQ/s640/4...jpg)
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Mhandisi Stella M. Manyanya{kulia} akikagua uandaaji wa mizigo ya minofu ya samaki ya kilogram 17,262 zenye thamani ya Tsh. 191,874,837.78 iliyopelekwa ndege ya Ethiopia Airlines...
10 years ago
MichuziMHE. KAMANI AZINDUA MRADI WA UFUGAJI WA SAMAKI NDANI YA ZIWA VICTORIA
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT. TITUS MLENGEYA KAMANI (Mb) AZINDUA MRADI WA UFUGAJI WA SAMAKI NDANI YA ZIWA VICTORIA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fzuMI_pebLk/VD9kg3088yI/AAAAAAADJ1Y/fMaCGb_5JcY/s72-c/IMG-20141016-WA002.jpg)
LIVE KUTOKA SOKO LA SAMAKI FERRY
![](http://2.bp.blogspot.com/-fzuMI_pebLk/VD9kg3088yI/AAAAAAADJ1Y/fMaCGb_5JcY/s1600/IMG-20141016-WA002.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SEvsV7hPUoY/VD9kg-cAgNI/AAAAAAADJ1c/bo-twn8mMxM/s1600/IMG-20141016-WA003.jpg)
10 years ago
MichuziTASWIRA ZA SOKO LA MAZAO LA MATOMBO MKOANI MOROGOGO
![](http://2.bp.blogspot.com/-9og9zBlNR7c/VALwQv9bAZI/AAAAAAAGX1c/coys0H9lz_o/s1600/ENEO%2BLA%2BSOKO%2BLA%2BZAMANI%2BMATOMBO%2C%2BWILAYA%2BYA%2BMOROGORO.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-W5z56E2ui7Y/VALwRrI3OOI/AAAAAAAGX1s/RQNAc1TLDts/s1600/SOKO%2BLA%2BZAMANI%2BMATOMBO%2B%2CWILAYA%2BYA%2BMOROGORO.jpg)
Muonekano wa Soko la zamani.
PICHA NA JOHN NDITI.
11 years ago
GPL9 years ago
StarTV12 Nov
Biashara ya Samaki Soko la Feri Mtwara yasuasua
Wafanyabiashara wadogo wadogo wa Samaki katika Soko la Feri mkoani Mtwara wamelalamikia kukosekana kwa samaki kunakotokana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Hali hii inasababisha Samaki kupanda bei na kuwaathiri wafanyabiashara hao kutokana na mtaji wa kuendeshea Biashara kuwa mdogo na hivyo baadhi yao kutishia kuachana na biashara hiyo kutokana na kukosekana kwa faida.
Bi. Zuena Franciss ni Mmoja wa wafanyabiashara ndogo ndogo anayenunua Samaki katika soko la feri la Mtwara nabaadaye kukaanga...
10 years ago
Habarileo09 Aug
Wavuvi wahoji soko la samaki Kalambo kudoda
WAVUVI wa vijiji vya mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani Kalambo katika Mkoa wa Rukwa, wamesikitishwa kuona soko la kisasa la samaki likishindwa kufanya kazi miaka mitatu sasa tangu ujenzi wake ukamilike, huku ujenzi wake ukielezwa kugharimu zaidi ya Sh milioni 802.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--VGSUQCZTuc/XkzxZg8XIsI/AAAAAAALePQ/nypcgu1kJdIuBYeBv_x6e4pgLBOyeOkJACLcBGAsYHQ/s72-c/344.jpg)
SOKO KUBWA LA MAZAO NA MNADA WA MIFUGO KUANZISHWA KYERWA.
Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa inajipanga kujenga Soko la Mazao na Mnada wa Mifugo katika Kata ya Murongo Wilayani Kyerwa lenye thamani ya Shilingi 114, 549,996 lengo likiwa ni kudhibiti biashara ya magendo ya usafirishaji na uuzaji wa mazao na mifugo kwa njia zisizokuwa halali.
Mpango huo ni miongoni mwa vipaumbele ambavyo vimebainishwa katika Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020-2021, uliowasilishwa katika Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo,...