LIVE KUTOKA SOKO LA SAMAKI FERRY
![](http://2.bp.blogspot.com/-fzuMI_pebLk/VD9kg3088yI/AAAAAAADJ1Y/fMaCGb_5JcY/s72-c/IMG-20141016-WA002.jpg)
Akina mama wakiwa soko la samaki ferry katika kujitafutia riziki hapa wakifanya biashara ya vichwa vya samaki. Unaweza kujua ni kihasi gani akina mama wanatakiwa kuwezeshwa kwani ndiyo mwimili wa familia na taifa kwa ujumla.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YR6FiGa6AzU/XsfLU6KlooI/AAAAAAALrQ4/UByodZr0zrMxHYtaNVOJsUie8jNZHeRngCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
NDEGE YATUA MWANZA KUBEBA SAMAKI, MHANDISI STELLA MAYANYA ATANGAZA SOKO LA SAMAKI WA KANDA YA ZIWA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-YR6FiGa6AzU/XsfLU6KlooI/AAAAAAALrQ4/UByodZr0zrMxHYtaNVOJsUie8jNZHeRngCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-c9DJ_EiQfoA/XsfLVuh0ptI/AAAAAAALrRA/Trpv4svClRsx2-T5cvU1GdQlH1F_ll4JQCLcBGAsYHQ/s640/4...jpg)
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Mhandisi Stella M. Manyanya{kulia} akikagua uandaaji wa mizigo ya minofu ya samaki ya kilogram 17,262 zenye thamani ya Tsh. 191,874,837.78 iliyopelekwa ndege ya Ethiopia Airlines...
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Sikiliza Live kutoka soko la habari Kariakoo…!
Leo Jumatatu, Aprili 7, Redio yako ya Kijamii ya KwanzaJamii imeandika historia kwa kuwa redio ya kwanza hapa nchini kuwaletea wasikilizaji dondoo za habari za magazetini kutokea kwenye soko lenyewe la habari, ni pale kona ya Uhuru na Msimbazi, Kariakoo.
Ni kipindi cha kila siku kuanzia saa kumi na moja na nusu alfajiri. Mwandishi/ Mtangazaji wa KwanzaJamii atakuwa sokoni hapo na kuungana moja kwa moja na studio za Kwanzajamii radio Iringa.
Sambamba na redio, habari hizo na picha za...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mpMgyqaiGbU/U0JSm-rxvtI/AAAAAAAFZHo/4pFDv9Vn4Yo/s72-c/1509240_687906877940440_3664331022916754596_n.jpg)
SIKILIZA KWANZAJAMII RADION LIVE KUTOKA SOKO LA HABARI KARIAKOO...!
![](http://1.bp.blogspot.com/-mpMgyqaiGbU/U0JSm-rxvtI/AAAAAAAFZHo/4pFDv9Vn4Yo/s1600/1509240_687906877940440_3664331022916754596_n.jpg)
11 years ago
GPL10 years ago
Habarileo09 Aug
Wavuvi wahoji soko la samaki Kalambo kudoda
WAVUVI wa vijiji vya mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani Kalambo katika Mkoa wa Rukwa, wamesikitishwa kuona soko la kisasa la samaki likishindwa kufanya kazi miaka mitatu sasa tangu ujenzi wake ukamilike, huku ujenzi wake ukielezwa kugharimu zaidi ya Sh milioni 802.
9 years ago
StarTV12 Nov
Biashara ya Samaki Soko la Feri Mtwara yasuasua
Wafanyabiashara wadogo wadogo wa Samaki katika Soko la Feri mkoani Mtwara wamelalamikia kukosekana kwa samaki kunakotokana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Hali hii inasababisha Samaki kupanda bei na kuwaathiri wafanyabiashara hao kutokana na mtaji wa kuendeshea Biashara kuwa mdogo na hivyo baadhi yao kutishia kuachana na biashara hiyo kutokana na kukosekana kwa faida.
Bi. Zuena Franciss ni Mmoja wa wafanyabiashara ndogo ndogo anayenunua Samaki katika soko la feri la Mtwara nabaadaye kukaanga...
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
DK. KAMANI: Ukaguzi wa mazao ya samaki hukuza soko la nje
ILI Tanzania iweze kukubalika katika soko la mazao ya samaki la ndani na nje ya nchi ni lazima kuwe na ubora wa viwango vinavyohitajika. Viwango vya mazao ya samaki ni...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mBKET8JFpUo/VoFc6wQGiQI/AAAAAAAIPDU/2tWp4i9QSLM/s72-c/20151228075903.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa afungua soko la kimataifa la Samaki Mkoani Kigoma leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-mBKET8JFpUo/VoFc6wQGiQI/AAAAAAAIPDU/2tWp4i9QSLM/s640/20151228075903.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d0U0pLGD06c/VoFc64sznxI/AAAAAAAIPDQ/jQQpmNVPIuc/s640/20151228075911.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wcWkhBE01u0/VoFc7Rg325I/AAAAAAAIPDc/DyoVduwVtHg/s640/20151228075934.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V03Klr4z7ro/VoFc7vyMxuI/AAAAAAAIPDg/10Lt5XHSFYI/s640/20151228075943.jpg)
9 years ago
MichuziENEO LA LEBANON KATIKA SOKO LA KIMATAIFA LA SAMAKI LA FERI JIJINI DAR NI HATARI KWA UCHUMI.