Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STAKABADHI GHALAINI Ni mfumo mzuri ununuzi mazao ila vyama vya ushirika ni tatizo

Stakabadhi ghalani siyo neno geni masikioni mwa Watanzania hasa, wanaoishi katika mikoa ya Mtwara, Lindi, Pwani, Singida, Kilimanjaro na Morogoro.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI HASUNGA ATANGAZA MAZAO YATAKAYOUZWA KWENYE MFUMO WA STAKABADHI GHALANI


Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati akitangaza msimamo wa serikali kuhusu Mazao yatakayouzwa kwa mfumo wa Stakabadhi Ghalani ofisini kwake Jijini Dodoma juzi tarehe 30 Mei 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)


Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imetangaza rasmi mazao ya kuanzia yatakayouzwa kupitia mfumo maalumu wa uuzaji wa mazao wa Stakabadhi ghalani.
Mazao hayo ni pamoja na zao la Korosho ambalo limekuwa na mafanikio makubwa kupitia...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA ATANGAZA MAZAO YATAKAYOUZWA KWENYE MFUMO WA STAKABADHI GHALANI I


Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati akitangaza msimamo wa serikali kuhusu Mazao yatakayouzwa kwa mfumo wa Stakabadhi Ghalani ofisini kwake Jijini Dodoma juzi tarehe 30 Mei 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)



Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma

Serikali imetangaza rasmi mazao ya kuanzia yatakayouzwa kupitia mfumo maalumu wa uuzaji wa mazao wa Stakabadhi ghalani.

Mazao hayo ni pamoja na zao la Korosho ambalo limekuwa na mafanikio makubwa kupitia...

 

5 years ago

Michuzi

MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA


Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi ameitaka Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya Dodoma kuhakikisha inatafuta suluhisho la haraka la changamoto ya maghala na mifumo ya kuhifadhia mazao inayoikabili taasisi hiyo wakati huu wa msimu wa kununua mazao.
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

UFISADI VYAMA VYA USHIRIKA


JK: Hatutabeba mizigo ya wezi

Aagiza vigogo kufikishwa kortini harakaAonya fedha za umma sio za kuchezewa
Na Mwandishi Wetu, Tunduru
RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali haitalipa madeni ambayo baadhi ya Vyama vya Ushirika nchini vinadaiwa na benki.
Amesema anataka kwanza wezi waliosababisha madeni hayo wakamatwe na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria.

Aidha, Rais Kikwete amesema ni jambo la kusikitisha kuwa baadhi ya maofisa wa serikali hujidhalilisha kwa kujifanya mawakala wa wanunuzi binafsi...

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi vyama vya ushirika wafundwa

Viongozi nchini wametakiwa kutumia kwa ufanisi rasilimali fedha zinazopangwa katika miradi mbalimbali ya kupambana na madhara ya tabianchi ili iweze kutoa matokeo chanya yatakayookoa vizazi vijavyo.

 

10 years ago

Habarileo

‘Vyama vya ushirika vipige vita ubakaji’

VYAMA vya ushirika nchini vimeombwa kushirikiana na Serikali katika mapambano yake dhidi ya matendo maovu yakiwemo ubakaji, utumiaji wa dawa za kulevya na maambukizi ya Ukimwi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mrajis kikwazo kwa vyama vya ushirika

BAADHI ya wanaushirika nchini wanaichukulia nafasi ya Mrajis wa Vyama vya Ushirika kuwa ipo kuukwamisha ushirika. Pia wapo wanaodhani kwamba cheo hicho kilianzishwa baadaye kabisa, kama moja ya mikakati ya...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

‘Vyama vingi vya ushirika vimejaa walaji’



CHAMA  Cha Mapinduzi (CCM), kimesema vyama vingi vya ushirika hapa nchini vimejaa walaji na hivyo wananchi walio wengi wamekuwa wakidhulumiwa haki zao na vyama hivyo kufa hovyo.Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alisema hayo alipokuwa akizungumza na wakazi wa Mabogini, katika Wilaya ya Moshi Vijijini. Kinana alisema kumekuwa na ongezeko kubwa la vyama vya ushirika kwa ajili ya kusaidia makundi mbalimbali ya watu hapa nchini.
Alisema pamoja na ongezeko hilo, bado baadhi ya vyama hivyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani