WAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi ameitaka Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya Dodoma kuhakikisha inatafuta suluhisho la haraka la changamoto ya maghala na mifumo ya kuhifadhia mazao inayoikabili taasisi hiyo wakati huu wa msimu wa kununua mazao.
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA DODOM MH.CHIKU GALLAWA AFANYA ZIARA KITUO CHA WAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA - NFRA KANDA YA KATI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l5ygRtXQB3Y/Xr_x5kbQv0I/AAAAAAALqe0/Be56ozAYECoSzm_vAZwRZue1n2WVyUmRwCLcBGAsYHQ/s72-c/56e0b4aa-f63b-4e86-a93b-8b99c34ffdb4.jpg)
WAKULIMA WILAYANI KAHAMA WAIOPONGEZA NFRA UNUNUZI WA MAZAO
Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Nyanhembe Agricultural Farm Khamis Mgeja ambayo inayojishughulisha na shughuli za Kilimo na ufugaji alipotembelewa na jopo la waandishi wa habari kwenye...
5 years ago
CCM BlogUNUNUZI MAZAO MCHANGANYIKO KUPITIA AMCOS UTAWAKOMBOA WAKULIMA: DC BARIADI
10 years ago
Mwananchi05 Feb
STAKABADHI GHALAINI Ni mfumo mzuri ununuzi mazao ila vyama vya ushirika ni tatizo
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wakulima wapongezwa kwa kupanua kilimo cha mazao ya chakula
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika kijiji cha Mtinko jimbo la Singida kaskazini.
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amewapongeza wakulima kwa kuongeza juhudi ya kupanua kilimo cha mazao ya chakula na biashara msimu huu ikilinganishwa na misimu iliyopita.
Dk.Kone ametoa pongezi hizo wakati akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika...
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Wakulima Dodoma, wasifu Ufanisi wa TPA katika kuwezesha Usafirishaji wa Mazao na Uagizaji wa Pembejeo za Kilimo
Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akipata maelezo katika Banda la TPA lililopo viwanja vya nanenane Nzuguni, Dodoma kutoka kwa Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia). Katikati ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya.
Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (wapili kushoto) akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda...
11 years ago
Habarileo26 Apr
Ufinyu wa bajeti wakwamisha ununuzi wa pembejeo
WIZARA ya Kilimo na Maliasili imesema ufinyu wa bajeti umesababisha kuwepo kwa upungufu mkubwa wa pembejeo, ikiwemo mbolea ambayo imepungua kutoka tani 1,500 hadi 620.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp21IcrocZyt1r56q6qS5gFW4Z8z3AhKUN9biGlqlCrG-0K8R8wWvYq7AXQ01MgZk-5qdJr8d*YdcEm4*EODHdGLX/wakulimaDOM4.jpg)
WAKULIMA DODOMA, WASIFU UFANISI WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA) KATIKA KUWEZESHA USAFIRISHAJI WA MAZAO NA UAGIZAJI WA PEMBEJEO ZA KILIMO.
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Wakala wa ununuzi wasaidia wagonjwa
ALLY BADI
WAKALA wa Ununuzi wa Serikali Mkoa wa Lindi, GPSA umekabidhi msaada wenye thamani ya Sh milioni moja kwa wagonjwa wa Hospitali ya Sokoine mkoani hapa.
Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo, Kaimu Meneja wa Wakala wa Ununuzi Mkoa wa Lindi, Mwakiselu Mwambange, alisema wametoa msaada wa kanga, sabauni za kuogea na kufulia kwa wagonjwa pamoja na makopo ya maziwa kwa ajili ya kusaidia wagonjwa.
Mwambange alisema kitendo hicho ni utamaduni wa wakala wa ununuzi kusaidia watu wenye...