WAKULIMA WILAYANI KAHAMA WAIOPONGEZA NFRA UNUNUZI WA MAZAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-l5ygRtXQB3Y/Xr_x5kbQv0I/AAAAAAALqe0/Be56ozAYECoSzm_vAZwRZue1n2WVyUmRwCLcBGAsYHQ/s72-c/56e0b4aa-f63b-4e86-a93b-8b99c34ffdb4.jpg)
WAKULIMA wa wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga wameipongeza Wizara ya Kilimo kwa kuanza kuwajali wakulima wa Mazao mbalimbali kwa kuchukua hatua ya kuwakomboa kwa kutoa maelekezo ya kulielekeza shirika la Taifa la kuhifadhi chakula (NFRA) kununua mazao myote katika msimu huu.
Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Nyanhembe Agricultural Farm Khamis Mgeja ambayo inayojishughulisha na shughuli za Kilimo na ufugaji alipotembelewa na jopo la waandishi wa habari kwenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...
5 years ago
CCM BlogUNUNUZI MAZAO MCHANGANYIKO KUPITIA AMCOS UTAWAKOMBOA WAKULIMA: DC BARIADI
10 years ago
Mwananchi03 Feb
NFRA yaanza kuwalipa wakulima Songea
10 years ago
Mwananchi05 Feb
STAKABADHI GHALAINI Ni mfumo mzuri ununuzi mazao ila vyama vya ushirika ni tatizo
10 years ago
VijimamboWAKULIMA WA MAZAO YA HORTICULTURE WAHAMASISHWA KUUNGANA.
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Vigezo ubora wa mazao vyagharimu wakulima
9 years ago
Habarileo10 Sep
Magufuli kufuta ushuru wa mazao ya wakulima
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, ameendelea kuchanja mbuga katika kampeni zake, huku akitoa ahadi zenye kuyagusa makundi mbalimbali ya Watanzania, safari hii akiahidi kuwakomboa wakulima kwa kuwaondolea mzigo wa ushuru wa mazao.
11 years ago
MichuziWAKULIMA WATAKIWA KUONGEZA THAMANI YA MAZAO
Wakulima wametakiwa kutumia fursa ya kuongeza thamani mazao yao ili waweze kunufaika zaidi kiuchumi kuliko kuuza mazao yao yakiwa ghafi kwani watakuwa wanayonywa na kuzidi kuwa masikini.
Wito huo umetolewa jana na Ofisa masoko wa shirika la Farm Africa, Rahel Pazzia, wakati akizungumza na waandishi wa habari, kwenye maonyesho ya wakulima nane nane, kanda ya kanda ya kaskazini yanayoendelea jijini Arusha.
Alisema kupitia Farm Africa wakulima wengi wa ufuta wa mkoa huo...
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Wakulima ongezeni thamani ya mazao yenu